#COVID19 Rais Samia: Tanzania tuna wagonjwa wa Wimbi la Tatu la Corona

haya kadungwe
 
Ni usanii tu kinachofanyika,hiyo Corona haipo kiviile hata yeye mama mwenyewe anajua ni vile kuonyesha tu na yeye kama anajali.
 
Ingalifaa wizara ya afya ianze tena kutoa takwimu za wagonjwa walioko kwenye hospitali zetu mbali mbali kila wiki kama ilivyokuwa kwenye wimbi la kwanza. Hii itasaidia wananchi wetu ku comply na njia za kupungupunguza maambukizi. Takwimu za kuchokonoa pua watu mitaani ambao ni wazima, ambazo ndizo WHO wanazitaka, waachane nazo kwani zoezi hilo linatisha, halina maana yo yote na linaweza kusambaza virusi vya corona.

Pesa itakayokopwa IMF (Tsh 1 trillion) itumike kununua mashine za kuzalisha oxygen kwenye kila hospitali zetu na vituo vyetu vya afya. Pesa hiyo inunue ventilators, respirators na vifaa tiba muhimu kuboresha huduma za hospitali zetu. Hii itasaaidia na wagonjwa wengine wasio na corona wanaohitaji uangalizi huo na vitakuwa ni vya kudumu hata pale corona itakapoondoka.

Pesa hiyo isinunue chanjo wala mabarakoa. Haya watupatie bure.
 
Tunakushukuru Madam President kwa Tahadhali sasa yunaomba utoe maelekezo haya
1. Daladala iwe kukeep social distance seat 1 iwe empty kila baada ya mtu

2. Mbio za Mwenge wa Uhuru zisimame ni kueneza ugonjwa

3. Bunge la bajeti nalo likatishwe kuepuka phase 3 ya Covd 19.

4. Piga Curfew, bar mwisho saa 1 jioni na shughuli zingine

5. Twanga Lockdown angalau siku 30. Mtu asitoke zaidi ya kata yake.

6. Fanya Mass Testing mtaa kwa mtaa , door to door.

7. Vurumisha Chanjo kwa kila anayepumua Tz

Nashukuru kwa kuwa huwa unapitia humu na kusoma naamini utalitekeleza vzr.

Ni hayo tu mama
 
Anzeni kutoa takwimu
 
Mungu wa Mbinguni alitushindia mawimbi yote mawili ya awali ndiye atakaye tushindia hili linaloitwa la tatu.Pamoja na kwamba uongozi wake hautilii manani kuhimiza anao waongoza kumtegemea Mungu kwanza lakini bado Mungu wa Mbinguni amemletea Ujumbe, kuwa barako zitavaliwa na wanamzunguka tu si huku mitaani.

Kwa kutumia kutokuvaa barakoa mitaani ajue Mungu wa Mbinguni kampa Ujumbe kwamba Watanzania hawata acha ule msingi walio jengewa na mtangulizi wake 'JPM' wa KUMTEGEMEA na KUMPA KIPAUMBELE CHA KWANZA Mungu wa Mbinguni kwa kila jambo.
Asihadaiwe na anao kutana nao kwenye mikutano wamevaa barakoa uhalisia uko huku mitaani kwenye maisha ya kila siku. Wengine huvaa barakoa kulinda ajira ila nyoyo zao hazifurahishwi wala hazihiari.
 
Hata kama sikufa Mimi wengi walikufa kwa kuaminishwa uongo na yule tapeli Mwendazake
Hii biashara ya kusema "eti wengi walikufa" walikufa wapi huko ambapo wengine hawafiki?.

Kuna watu humu mnakuwa wanafiki sana.

👉🏾 Wewe ndiye mmojawapo wa wale waliosema "mlioenda Kilimarathon mjiandae kupukutika" leo kuna nini?.

Kwa kuwa kuna wimbi wa tatu na leo kuna mechi ya Biashara United na Yanga SC huko Tabora, watu waliojazana huko mpaka nafasi hakuna so, ni nini mnaaminisha watu?.

Kuna wakati tumia akili yako badala ya kutumia ya mtu mwingine 🤐!.
 
Hii ndiyo legacy ya mwendazake; kuwabadilisha watu wenye akili timamu kuwa majinga na maghalasha ya ajabu! Watu wanafariki kwa COVID 19 wewe 'unagaya' tu, unataka kujaribu sumu kwa kuionja!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…