Hata alivokuwa anaumwa walificha sawa na mficha maradhi... Hata kuficha aina ya kifo haishangazi.kwa nini kuficha? Mama anajiuliza, kwa nini! Waliojivik uongo hawaelewiMisukule ya bwana yule ungali inambishia Mama kuwa huo ugonjwa haupo.
Kusikia kwao heri ya kenge.
Haipo haja ya kubishana chanjo ni hiari.
Mimi sijachanjwa na sitakuja kuchanjwa lakini najua kuwa corona ipo na ni hatari.Wengi wapi hao?
Una wazimu wewe? Hao wengi uliwauwa wewe!?
Tutafika tu.... majizi ya chanjo nyinyi!
We can not allow our people to be vaccinated with TOXIC poisons!
Hizo pesa za wazungu mlizokula ni bora mzitapike wakati mnao muda bado.
Fuatilia tangu nilipocomment mwanzo ndio utaelewaJiangalieni tu msije anza kuwa mazuzu!!
Kwa mfano hapo kinachokupa mchecheto ni kuwepo kwa korona ya magazetini wimbi la tatu au ni mahaba kwa mama?
Umeng'ang'ana tu, corona ipo, corona ipo!corona ipo na ni hatari.
Wanaouguza na kufiwa ni wengi. Kuwa mstaarabu punguza matusi ya watoto wa shule za msingi na sekondari.Umeng'ang'ana tu, corona ipo, corona ipo!
Mbona hiyo corona mtaani hatuioni? Au umeificha kwenye sketi yako!?
Majizi nyinyi!
Mbona mmeo hajafa?Wanaouguza na kufiwa ni wengi.
Ug wanazika majeneza matupu kutisha watu video ipo inazungukaMkuu jikinge na wakinge ndugu zako. Mtoto wa Museveni yupo hoi akisumbuliwa na hii kitu.
Kirusi kimepitia kanda ya ziwa kimetokea Uganda kinasumbua. Juzi kafa Doctor mmoja bugando.
Mke wangu ni wewe au ndio ushapata bwana mwingine?.Mbona mmeo hajafa?
kwani wamekutuma?Nenda regency ukajionee ,kichwa ngumu kusikia kwa kenge ni mpaka damu itoke madikioni
Anza kusema ya kwako tuone una vigezo vya kumuliza mtu hilo swaliUna elimu gani
Juz nilikuwa Zanzibar kwenye Tamasha na wazungu wengi tu tuna cheza mziki na kunywa na tuna kumbatiana,, na mpaka sasa sija pata corona, ila nilikunywa bia ya coronaWatu gani hao?
Nyie madalali wa machanjo ya wazungu mmechanganyikiwa sio bure!
Mtaani hakuna corona. HAIPO HAIPO HAIPO.
HAIPOOO!
Corona ipo kwenye magazeti na TV tuuuu!!
You to Hadesgo to hell!
Barakoa huendana na kuepuka mikusanyiko ila sisi tunakusanyana tu mikusanyiko isiyo ya lazima mara sijui mkutano wa vijana mara wanawake halafu et tunategemea barakoa.Ubishi wa kipumbavu kama huu wa kwako umepoteza maisha ya wengi sana.
Wenye akili wanavaa barakoa wakiwa katika mikusanyiko.