Rais Samia tembelea Ujenzi wa Nyerere Hydroelectric Dam

Rais Samia tembelea Ujenzi wa Nyerere Hydroelectric Dam

Hayo ni mawazo ya hovyo, kajifunze majukumu ya Rais.
Kwa hiyo mawazo ya kijanja ni majukumu ya Rais kufungua maji Chalinze.
Na sio kutembelea mradi mkubwa kama Nyerere Dam!
 
Kwanza huu mradi wa magomeni quater ulikuwa umekamilika kwa 98 kazi iliyokuwa imebaki ni kama kumakizai usafi tu sasa rahis kujigamba kuwa amemalizia huo ni uongo mwingine .. mfano daraja la wami lilikuwa linaenda kww kasi ya ajabu , lakini sasa ni amna kitu bara bara ya njia nane nayo ilikuw imekamilika kwa zaidi ya 92 lakini kwa sasa ni kama vile mradi unaanza upya
Halafu unamsikia Makalla akitaka kupasuka kifua kwa sifa nyiingi kwa SSH.
 
Mkuu Ng'wanamalundi.

Baadhi ya wachangiaji humu ni watu wenye kutoelewa kauli zao.
Saa ingine na changamoto za umri mdogo pia.

Pia ninadhani baadhi wanasukumwa na mahaba binafsi au itikadi za uchama kuliko kuangalia maslahi mapana ya Miradi hii mikubwa ya kitaifa.

Kama Rais yuko serious na anachohubiri majukwaani basi asingetimiza mwaka mmoja bila kukanyaga kwenye ule mradi kuukagua na kuuhimiza ujenzi kwenda kwa kasi iliyopangwa awali.
commonmwananchi
10101
 

Attachments

  • 20220324112148.mp4
    1.1 MB
Makonda umeshamalizana na GSM?

Miradi yako ya chato imefikia wapi?

Unapaswa kujua, miradi inafanywa na kusimamiwa na wataalam, Rais hatakiwi kutembelea mradi ili ujue unaendelea, Rais ana majukumu mengi sana!

Tulia tu Dawa ikuingie vizuri
Kwa hiyo Rais ni mtaaluma wa kuzindua miradi na siyo kusimamia pia utekelezaji?

Wataalamu wa Tanzania si ndio hao hao kila siku tunawasikia kwenye Media wakikamatwa kwa upigaji?

Umemkariri Makonda as if kila msemakweli humu ni mambo ya Makonda?

Kama alikukondesha nenda kwake akumalizie.

Mimi ni commonmwananchi
10101
 
Tofautisha kati ya Rais na mnyapara, ukijua tabia za Rais ni zipi na tabia za nyapara ni zipi huwezi kupata shida.

Rais anapewa daily briefing ya nchi mzima kila siku asubuhi, labda hulijui hili.

Rais kuzurura hovyo mabarabarani ni usumbufu mkubwa kwa raia na ni sababu ya kuuwa uchumi wa mtu mmoja mmoja.

Tatizo wengine mlizoea kuongozwa na washamba, sasa akiwa mtu mstaarabu madarakani vijambio vinaanza kuwapwita.
Kwani anakoenda sasa hivi kuna tofauti gani?

Mfano Chalinze, Magomeni,Tanzanite bridge!

Tabia binafsi ya Rais haituhusu bali inamhusu yeye binafsi na familia yake.
Sisi tunamhitaji atutumikie kwa sababu alituomba kura zetu.

Hayupo hapo kwa matakwa yake binafsi,bali tulimpa kura na kumtuma kututumikia sisi wananchi.

Wewe ni mjinga kama unaona Rais kutembelea mradi mkubwa na wa kimkakati kama huo wa Bwawa la Nyerere ni kuzurura.
Inaonyesha jinsi usivyojua vipaumbele vya kitaifa.

Pia wewe sio mstaarabu hata kidogo.
Maana unajitambulisha kutokana na lugha na baadhi ya maneno yako uliyotumia kutokuwa ya kistaarabu hata kidogo.

Wewe ni uzao wa laana!

Basi kwa hayo machache, sina jina lingine la kukuita zaidi ya MJINGA.

commonmwananchi
10101
 
Rais anaehamasisha ufisadi katika Serikali yake hawezi kuwa na uwezo hata wa kukamilisha mradi wa mabanda ya Kuku katika Taifa🐒🐒🐒
 
Siyo kila mradi. Bwawa hilo ni mradi mkubwa unaostahili hadhi hiyo. Kuisha kwa mradi huo kutanufaisha miradi mingine mingi. Kwa mfano kuna mradi wa SGR ambao ukiisha utategemea kwa asilimia kubwa sana huu mradi wa bwawa. Vivyo hivyo kuna vilio vingi kuhusu kukatikakatika kwa umeme ambako kunakwamisha miradi mingine mingi. Siyo sahihi kukosoa mtu anayetaka Rais aende huko kwa kusema 'kila mradi'. Mradi huu ni maalumu unaostahili hadhi hiyo, na siyo kulinganishwa na kufungua mradi wa maji Chalinze.
Aidha, awali mradi huo ulitajwa kukamilika (au kuanza kujaza maji) mwezi huu wa Machi. Sasa kama Waziri anasema hilo lengo halitafikiwa kutokana na maelezo yasiyoeleweka ya kukosekana winchi la kunyanyulia mlango, ipo haja ya Rais kwenda kujionea kulikoni.
Makamu wa Rais na PM wote wameshaenda lakini nothing done, umeme kipindi cha dikteta mbona ulikuwa haukatika na vyanzo ni vilevile? dikteta pamoja na mabaya yake lakini kwenye umeme aliweza sn, huu mradi Kalemani angeendelea kuwepo pale nadhani tungekuwa mbali sn, Makamba anawaza uRais 2030 hivyo hataki kugombana na watu hasa wafanyabiashara.
 
Huu mradi utakuja geuka kuwa Midege isiyoliwa! Tusimlaumu mama kwa kila kitu .kuna katibu, waziri mdogo,waziri na kamati ya bunge ya kufuatilia suala hili. hawa jamaa wabebe lawama ya kuwa slow sana .
 
Baada ya hapo kero ya umeme kukatika imeendelea kwa kasi ile ile ya mwaka 2010 - 2015.
Ila kuna wakati nyie raia mnakuwa nyanokho sana! Umeme mbona UK fresh tu? Wapi huko ambako mnakaa gizani masaa yote?
 
Makamu wa Rais na PM wote wameshaenda lakini nothing done, umeme kipindi cha dikteta mbona ulikuwa haukatika na vyanzo ni vilevile? dikteta pamoja na mabaya yake lakini kwenye umeme aliweza sn, huu mradi Kalemani angeendelea kuwepo pale nadhani tungekuwa mbali sn, Makamba anawaza uRais 2030 hivyo hataki kugombana na watu hasa wafanyabiashara.
Anahangaika zaidi na 10% ili apate fungu la kufanyia kampeni 2025.
 
Kwa kifupi ,rais anaogopa akifanya hivyo kigogo2014 atachukia, so anaogopa kumuudhi makamba.
Umeongea jambo ambalo wengi hawalijui.

Kigogo14 anaogopwa na mama.

Maana anajua siri zao nyingi tokea uhai wa JPM.

Ndio maana Kigogo14 anakuwa na Over confidence.
 
Back
Top Bottom