Rais Samia tembelea Ujenzi wa Nyerere Hydroelectric Dam

Rais Samia tembelea Ujenzi wa Nyerere Hydroelectric Dam

Mh Rais wa JMT.

Jana wakati ukizindua na kukabidhi nyumba kwa wakazi wa Magomeni Quarters.

Ulikaririwa ukisema kwamba,watu huko mitaani wanaongea kwamba miradi mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa na JPM huenda haitakamilishwa.

Lakini ukautumia mradi ule wa Magomeni Quarters kama uthibitisho wa kauli yako, kwamba miradi yote itatekelezwa na kukamilika kwa sababu ni mojawapo ya ilani ya CCM na serikali yake.

Kisha ukasema "unawasamehe kwa sababu hawajitambuwi"

Sasa swali la wananchi wengi liko kwenye mradi mkubwa wa kimkakati wa ujenzi wa bwawa la umeme wa kutumia nguvu za maji huko mto Rufiji. Nyerere hydroelectric Dam.

Huu mradi ulikuwa umeanza kwa kasi kubwa chini ya serikali ya awamu ya Tano, ambapo wewe ulikuwa makamu wa Rais.

Haukuwa ukipita muda bila kuona kiongozi mwandamizi wa serikali akitembelea site ile ili kujiridhisha kwamba mambo yanakwenda kama yalivyopangwa. Pamoja na kuhimiza bidii ya kazi iendelee.

Ilifikia mahali tena ndani ya bunge, ambapo serikali kupitia waziri uliyemuondoa alitamka bungeni kwamba ujenzi ule ungekamilika kwa tarehe ambayo aliitaja na ilikwishapita.

Lakini tangu ulipoingia madarakani na kufanya mabadiliko ya serikali yako, ambapo umetuwekea waziri Makamba. Umeanza utaratibu wa porojo na ahadi ambazo hazieleweki.

Mara tumemsikia akisema kuhusu kukosekana winchi ya kunyanyulia milango ya maji ya bwawa husika. Akiahidi winchi hiyo kuletwa toka nje.

Baadae wabunge walimbana bungeni ili atowe majibu ya kueleweka lakini akaishia kuwajibu taarabu "kwamba kama shida ni uwaziri wake na urais wako Watasubiri sana"

Baada ya hapo kero ya umeme kukatika imeendelea kwa kasi ile ile ya mwaka 2010 - 2015.

Waziri husika anaendelea na Porojo zake tena kwa kejeli za hapa na pale.

Yeye kwa sasa amegeuka kuwa kama Marketing Minister wa wizara ya Nishati.

Kila uchao yeye ni kusaini mikataba mipya ya mabilioni ya walipa kodi za watanzania. Mikataba ambayo kwa ujumla wake ina utata mtupu, mara Software nk.

Hivi majuzi alikuwa Houston kule Marekani akitafuta soko la gesi yetu ya LPG. (Na huko pia ndio nyumbani kwa Richmond PLY).

Mheshimiwa katika hotuba zako pia hatukusikii ukiongelea lolote kuhusu hizi kero za Umeme.

Sasa basi...tunakuomba utembelee huo mradi ili uweze kusimamia kile ulichokiongea kwa watanzania hiyo jana pale Magomeni.
Rufiji ni karibu sana na Dar es salaam na ni suala la Day trip tu.

Badala ya kumuachia Makamba akitufunga kamba zake kila uchao.

Jambo hilo litawapa ahueni wananchi na kuwaondolea taharuki waliyonayo kuhusu kusuasua kwa mradi huo muhimu kwa uchumi wa Taifa letu.

Kero ya umeme ni kubwa kwa wananchi na inagusa sehemu kubwa ya uchumi wa wapiga kura wako.

Picha za hivi karibuni zilionyesha kama hakuna kikubwa kinachoendelea
[emoji116]
View attachment 2162472View attachment 2162473View attachment 2162474View attachment 2162475View attachment 2162476
Hakuna kitu makamba anadanganya,ni nyie tu ndio mmeamua kuamini hivyo ika makamba atawaprove wrong siku moja
 
Tofautisha kati ya Rais na mnyapara, ukijua tabia za Rais ni zipi na tabia za nyapara ni zipi huwezi kupata shida.

Rais anapewa daily briefing ya nchi mzima kila siku asubuhi, labda hulijui hili.

Rais kuzurura hovyo mabarabarani ni usumbufu mkubwa kwa raia na ni sababu ya kuuwa uchumi wa mtu mmoja mmoja.

Tatizo wengine mlizoea kuongozwa na washamba, sasa akiwa mtu mstaarabu madarakani vijambio vinaanza kuwapwita.
Rubbish
 
Hayo mambo aliyaweza jembe....acha tuendelee na business as usual.
 
Ni kiongozi yupi wa ccm unaweza kusimama mbele ya wananchi bila mbeleko ya vyombo vya dola ukasema anaaminika na wananchi?
Humphrey Polepole na Bashiru kakuru Ally kwa uchache wao.

Paramagamba kabudi na William Lukuvi kwa wingi wao.
 
Eti mradi ulikuwa unaenda kwa kasi kubwa! Wewe ni mpumbavu uliyekuwa huna uwezo wa kuchanganua propaganda na uhalisia enzi za jiwe

Fuatilia maelezo ya serikali ya awamu ya 5 juu ya kujaza maji bwawa ni lini, utaona muda waliosema ulipita jiwe akiwa bado hai na hawakusema lolote

Mtu mtafiti kidogo tu atagundua ilikuwa haiwezekani kujenga bwawa lile kwa unadhubuti na umakini kwa muda uliosemwa.

Watanzania tunsojielewa hatutaki kukuru kakara za kijnga, ujenzi hafifu Halafu kesho bwawa libomoke liue Watu kwa mafuriko na matrilioni ya ujenzi yapotee kisa tunataka kuonesha tuna kasi.

Mtu yeyote apite Magufuli hostel UDSM aone zile nyufa kila mahali, kisha apite zile hostel za Nyerere alinganishe.
Tuache ujinga wa kukurupuka
Kwa sababu wewe ni house boy [emoji65] wa msoga....siwezi kukulazimisha uamini tunachokiamini wale tunaopinga wezi na vizazi vyao kama nyinyi?
 
Hakuna kitu makamba anadanganya,ni nyie tu ndio mmeamua kuamini hivyo ika makamba atawaprove wrong siku moja
Tangu alipokuwa anahudumia nafasi yake @Kigogo14

Mtaendelea kumsujudu mpaka mwisho.
 
Mh Rais wa JMT.

Jana wakati ukizindua na kukabidhi nyumba kwa wakazi wa Magomeni Quarters.

Ulikaririwa ukisema kwamba,watu huko mitaani wanaongea kwamba miradi mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa na JPM huenda haitakamilishwa.

Lakini ukautumia mradi ule wa Magomeni Quarters kama uthibitisho wa kauli yako, kwamba miradi yote itatekelezwa na kukamilika kwa sababu ni mojawapo ya ilani ya CCM na serikali yake.

Kisha ukasema "unawasamehe kwa sababu hawajitambuwi"

Sasa swali la wananchi wengi liko kwenye mradi mkubwa wa kimkakati wa ujenzi wa bwawa la umeme wa kutumia nguvu za maji huko mto Rufiji. Nyerere hydroelectric Dam.

Huu mradi ulikuwa umeanza kwa kasi kubwa chini ya serikali ya awamu ya Tano, ambapo wewe ulikuwa makamu wa Rais.

Haukuwa ukipita muda bila kuona kiongozi mwandamizi wa serikali akitembelea site ile ili kujiridhisha kwamba mambo yanakwenda kama yalivyopangwa. Pamoja na kuhimiza bidii ya kazi iendelee.

Ilifikia mahali tena ndani ya bunge, ambapo serikali kupitia waziri uliyemuondoa alitamka bungeni kwamba ujenzi ule ungekamilika kwa tarehe ambayo aliitaja na ilikwishapita.

Lakini tangu ulipoingia madarakani na kufanya mabadiliko ya serikali yako, ambapo umetuwekea waziri Makamba. Umeanza utaratibu wa porojo na ahadi ambazo hazieleweki.

Mara tumemsikia akisema kuhusu kukosekana winchi ya kunyanyulia milango ya maji ya bwawa husika. Akiahidi winchi hiyo kuletwa toka nje.

Baadae wabunge walimbana bungeni ili atowe majibu ya kueleweka lakini akaishia kuwajibu taarabu "kwamba kama shida ni uwaziri wake na urais wako Watasubiri sana"

Baada ya hapo kero ya umeme kukatika imeendelea kwa kasi ile ile ya mwaka 2010 - 2015.

Waziri husika anaendelea na Porojo zake tena kwa kejeli za hapa na pale.

Yeye kwa sasa amegeuka kuwa kama Marketing Minister wa wizara ya Nishati.

Kila uchao yeye ni kusaini mikataba mipya ya mabilioni ya walipa kodi za watanzania. Mikataba ambayo kwa ujumla wake ina utata mtupu, mara Software nk.

Hivi majuzi alikuwa Houston kule Marekani akitafuta soko la gesi yetu ya LPG. (Na huko pia ndio nyumbani kwa Richmond PLY).

Mheshimiwa katika hotuba zako pia hatukusikii ukiongelea lolote kuhusu hizi kero za Umeme.

Sasa basi...tunakuomba utembelee huo mradi ili uweze kusimamia kile ulichokiongea kwa watanzania hiyo jana pale Magomeni.
Rufiji ni karibu sana na Dar es salaam na ni suala la Day trip tu.

Badala ya kumuachia Makamba akitufunga kamba zake kila uchao.

Jambo hilo litawapa ahueni wananchi na kuwaondolea taharuki waliyonayo kuhusu kusuasua kwa mradi huo muhimu kwa uchumi wa Taifa letu.

Kero ya umeme ni kubwa kwa wananchi na inagusa sehemu kubwa ya uchumi wa wapiga kura wako.

Picha za hivi karibuni zilionyesha kama hakuna kikubwa kinachoendelea
[emoji116]
View attachment 2162472View attachment 2162473View attachment 2162474View attachment 2162475View attachment 2162476
Hongera sana kwa ujumbe na tone nzuri katika ujumbe wako
 
Humphrey Polepole na Bashiru kakuru Ally kwa uchache wao.

Paramagamba kabudi na William Lukuvi kwa wingi wao.
Kwakuwa wanapenda kuvaa kaunda Suit ndio unadhani ni wasafi. Au kwakuwa walikuwa wanamsujudia Magufuli basi ndio unadhani kuna wasafi?
 
Kutambelea Site kunahimiza watendaji kuongeza bidii ya kazi na pia kunazuia baadhi ya upigaji.

Kama ule tunaoambiwa na Makamba kwamba imekosekana winch ya kunyanyulia mlango wa bwawa.
commonmwananchi
10101
Hizo winch walishazileta?
Sisikii chochote kuhusu maendeleo ya hilo bwana,huku hali ya mgao ukikolea.
 
Huo mradi sio kipaumbele cha awamu ya sita.

Labda uwaambie maswala ya gesi kama zile alikua anagawa waziri wa nishati hapo watakuelewa.
 
Mh Rais wa JMT.

Jana wakati ukizindua na kukabidhi nyumba kwa wakazi wa Magomeni Quarters.

Ulikaririwa ukisema kwamba,watu huko mitaani wanaongea kwamba miradi mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa na JPM huenda haitakamilishwa.

Lakini ukautumia mradi ule wa Magomeni Quarters kama uthibitisho wa kauli yako, kwamba miradi yote itatekelezwa na kukamilika kwa sababu ni mojawapo ya ilani ya CCM na serikali yake.

Kisha ukasema "unawasamehe kwa sababu hawajitambuwi"

Sasa swali la wananchi wengi liko kwenye mradi mkubwa wa kimkakati wa ujenzi wa bwawa la umeme wa kutumia nguvu za maji huko mto Rufiji. Nyerere hydroelectric Dam.

Huu mradi ulikuwa umeanza kwa kasi kubwa chini ya serikali ya awamu ya Tano, ambapo wewe ulikuwa makamu wa Rais.

Haukuwa ukipita muda bila kuona kiongozi mwandamizi wa serikali akitembelea site ile ili kujiridhisha kwamba mambo yanakwenda kama yalivyopangwa. Pamoja na kuhimiza bidii ya kazi iendelee.

Ilifikia mahali tena ndani ya bunge, ambapo serikali kupitia waziri uliyemuondoa alitamka bungeni kwamba ujenzi ule ungekamilika kwa tarehe ambayo aliitaja na ilikwishapita.

Lakini tangu ulipoingia madarakani na kufanya mabadiliko ya serikali yako, ambapo umetuwekea waziri Makamba. Umeanza utaratibu wa porojo na ahadi ambazo hazieleweki.

Mara tumemsikia akisema kuhusu kukosekana winchi ya kunyanyulia milango ya maji ya bwawa husika. Akiahidi winchi hiyo kuletwa toka nje.

Baadae wabunge walimbana bungeni ili atowe majibu ya kueleweka lakini akaishia kuwajibu taarabu "kwamba kama shida ni uwaziri wake na urais wako Watasubiri sana"

Baada ya hapo kero ya umeme kukatika imeendelea kwa kasi ile ile ya mwaka 2010 - 2015.

Waziri husika anaendelea na Porojo zake tena kwa kejeli za hapa na pale.

Yeye kwa sasa amegeuka kuwa kama Marketing Minister wa wizara ya Nishati.

Kila uchao yeye ni kusaini mikataba mipya ya mabilioni ya walipa kodi za watanzania. Mikataba ambayo kwa ujumla wake ina utata mtupu, mara Software nk.

Hivi majuzi alikuwa Houston kule Marekani akitafuta soko la gesi yetu ya LPG. (Na huko pia ndio nyumbani kwa Richmond PLY).

Mheshimiwa katika hotuba zako pia hatukusikii ukiongelea lolote kuhusu hizi kero za Umeme.

Sasa basi...tunakuomba utembelee huo mradi ili uweze kusimamia kile ulichokiongea kwa watanzania hiyo jana pale Magomeni.
Rufiji ni karibu sana na Dar es salaam na ni suala la Day trip tu.

Badala ya kumuachia Makamba akitufunga kamba zake kila uchao.

Jambo hilo litawapa ahueni wananchi na kuwaondolea taharuki waliyonayo kuhusu kusuasua kwa mradi huo muhimu kwa uchumi wa Taifa letu.

Kero ya umeme ni kubwa kwa wananchi na inagusa sehemu kubwa ya uchumi wa wapiga kura wako.

Picha za hivi karibuni zilionyesha kama hakuna kikubwa kinachoendelea
[emoji116]
View attachment 2162472View attachment 2162473View attachment 2162474View attachment 2162475View attachment 2162476

Wosia wa Raisi Magufuli kabla ya kifo chake "nikifa mtanikumbuka.​

 
Back
Top Bottom