Rais Samia tembelea Ujenzi wa Nyerere Hydroelectric Dam

Hayo ni mawazo ya hovyo, kajifunze majukumu ya Rais.
Kwa hiyo mawazo ya kijanja ni majukumu ya Rais kufungua maji Chalinze.
Na sio kutembelea mradi mkubwa kama Nyerere Dam!
 
Halafu unamsikia Makalla akitaka kupasuka kifua kwa sifa nyiingi kwa SSH.
 
 

Attachments

  • 20220324112148.mp4
    1.1 MB
Makonda umeshamalizana na GSM?

Miradi yako ya chato imefikia wapi?

Unapaswa kujua, miradi inafanywa na kusimamiwa na wataalam, Rais hatakiwi kutembelea mradi ili ujue unaendelea, Rais ana majukumu mengi sana!

Tulia tu Dawa ikuingie vizuri
Kwa hiyo Rais ni mtaaluma wa kuzindua miradi na siyo kusimamia pia utekelezaji?

Wataalamu wa Tanzania si ndio hao hao kila siku tunawasikia kwenye Media wakikamatwa kwa upigaji?

Umemkariri Makonda as if kila msemakweli humu ni mambo ya Makonda?

Kama alikukondesha nenda kwake akumalizie.

Mimi ni commonmwananchi
10101
 
Kwani anakoenda sasa hivi kuna tofauti gani?

Mfano Chalinze, Magomeni,Tanzanite bridge!

Tabia binafsi ya Rais haituhusu bali inamhusu yeye binafsi na familia yake.
Sisi tunamhitaji atutumikie kwa sababu alituomba kura zetu.

Hayupo hapo kwa matakwa yake binafsi,bali tulimpa kura na kumtuma kututumikia sisi wananchi.

Wewe ni mjinga kama unaona Rais kutembelea mradi mkubwa na wa kimkakati kama huo wa Bwawa la Nyerere ni kuzurura.
Inaonyesha jinsi usivyojua vipaumbele vya kitaifa.

Pia wewe sio mstaarabu hata kidogo.
Maana unajitambulisha kutokana na lugha na baadhi ya maneno yako uliyotumia kutokuwa ya kistaarabu hata kidogo.

Wewe ni uzao wa laana!

Basi kwa hayo machache, sina jina lingine la kukuita zaidi ya MJINGA.

commonmwananchi
10101
 
Rais anaehamasisha ufisadi katika Serikali yake hawezi kuwa na uwezo hata wa kukamilisha mradi wa mabanda ya Kuku katika Taifa🐒🐒🐒
Your browser is not able to display this video.
 
Makamu wa Rais na PM wote wameshaenda lakini nothing done, umeme kipindi cha dikteta mbona ulikuwa haukatika na vyanzo ni vilevile? dikteta pamoja na mabaya yake lakini kwenye umeme aliweza sn, huu mradi Kalemani angeendelea kuwepo pale nadhani tungekuwa mbali sn, Makamba anawaza uRais 2030 hivyo hataki kugombana na watu hasa wafanyabiashara.
 
Huu mradi utakuja geuka kuwa Midege isiyoliwa! Tusimlaumu mama kwa kila kitu .kuna katibu, waziri mdogo,waziri na kamati ya bunge ya kufuatilia suala hili. hawa jamaa wabebe lawama ya kuwa slow sana .
 
Baada ya hapo kero ya umeme kukatika imeendelea kwa kasi ile ile ya mwaka 2010 - 2015.
Ila kuna wakati nyie raia mnakuwa nyanokho sana! Umeme mbona UK fresh tu? Wapi huko ambako mnakaa gizani masaa yote?
 
Anahangaika zaidi na 10% ili apate fungu la kufanyia kampeni 2025.
 
Kwa kifupi ,rais anaogopa akifanya hivyo kigogo2014 atachukia, so anaogopa kumuudhi makamba.
Umeongea jambo ambalo wengi hawalijui.

Kigogo14 anaogopwa na mama.

Maana anajua siri zao nyingi tokea uhai wa JPM.

Ndio maana Kigogo14 anakuwa na Over confidence.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…