Rais Samia tembelea Ujenzi wa Nyerere Hydroelectric Dam

Ila kuna wakati nyie raia mnakuwa nyanokho sana! Umeme mbona UK fresh tu? Wapi huko ambako mnakaa gizani masaa yote?
Wewe mkuu unayetutukana ovyo nikuulize swali dogo tu!

Hivi una upana kiasi gani hadi kuiishi Tanzania nzima kwa wakati mmoja na kuona kama nchi nzima hakuna mahali umeme unakatika?

Au wewe ni house maid wa kigogo ambako hawapewi mgao wa Umeme?
 
Umeongea jambo ambalo wengi hawalijui.

Kigogo14 anaogopwa na mama.

Maana anajua siri zao nyingi tokea uhai wa JPM.

Ndio maana Kigogo14 anakuwa na Over confidence.
 

Attachments

  • 20220324112148.mp4
    1.1 MB
Jamani like limradi ni kubwa sana, na linaendelea vizuri, pale ni full mazege lazima yapewe muda wa kukauka vizuri
 
Inasikitisha sana.Kutokana na hali inayoendelea hapa nchini Ninashauri kiongozi mkuu wa serikali ajiuzulu ili kupisha kiongozi mwingine mwenye uwezo zaidi
 
Pole mkuu! JNHPP huenda ukakamilika, lakini kwamba huo mradi utakuwa ufumbuzi wa matatizo ya umeme nchini hicho ni kitendawili! Tatizo kubwa ni uhaba wa maji kutokana na tabia nchi!
 
Pole mkuu! JNHPP huenda ukakamilika, lakini kwamba huo mradi utakuwa ufumbuzi wa matatizo ya umeme nchini hicho ni kitendawili! Tatizo kubwa ni uhaba wa maji kutokana na tabia nchi!
Piga hesabu za Megawatts 2100 ukiongeza na zilizopo kwa sasa kisha ugawanye kwa mahitaji ya nchi na unaobaki tunauza nje.

Hayo mabadiliko ya tabia nchi ni masuala ya Natural justice na tutakabiliana nayo kwa wakati wake huko mbeleni.

Pia hata maji yakipungua kwa msimu,kitakachopungua sio Megawatts zote 2100 kwa wakati mmoja bali wastani fulani kidogo ambacho hakitaweza kuathiri matumizi ya ndani.

Wataalamu walikwishalitambua hilo kupitia tafiti za kina kabla ya mradi kuanza.
 
Hii gas kwa nn haitumiki Tanzania kwa matumizi ya nyumbani?
 

Hela ipo ya huo mradi? Wakati wa Magufuli kulikuwa na kelele za propaganda kuliko uhalisia wa huo ujenzi. Uongo ulikuwa mwingi na ww na wenzako mkauamini. Sasa hivi kinachoendelea ni ukweli, hivyo kwakuwa ulizoea kuamini uongo, ukweli unapowadia unahisi kuna uzembe.
 

Ni kiongozi yupi wa ccm unaweza kusimama mbele ya wananchi bila mbeleko ya vyombo vya dola ukasema anaaminika na wananchi?
 
Eti mradi ulikuwa unaenda kwa kasi kubwa! Wewe ni mpumbavu uliyekuwa huna uwezo wa kuchanganua propaganda na uhalisia enzi za jiwe

Fuatilia maelezo ya serikali ya awamu ya 5 juu ya kujaza maji bwawa ni lini, utaona muda waliosema ulipita jiwe akiwa bado hai na hawakusema lolote

Mtu mtafiti kidogo tu atagundua ilikuwa haiwezekani kujenga bwawa lile kwa unadhubuti na umakini kwa muda uliosemwa.

Watanzania tunsojielewa hatutaki kukuru kakara za kijnga, ujenzi hafifu Halafu kesho bwawa libomoke liue Watu kwa mafuriko na matrilioni ya ujenzi yapotee kisa tunataka kuonesha tuna kasi.

Mtu yeyote apite Magufuli hostel UDSM aone zile nyufa kila mahali, kisha apite zile hostel za Nyerere alinganishe.
Tuache ujinga wa kukurupuka
 
Tatizo lenu nyie Wasukuma mnataka kumsukumia Mama. yetu Kila baya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…