Rais Samia tembelea Ujenzi wa Nyerere Hydroelectric Dam

Hakuna kitu makamba anadanganya,ni nyie tu ndio mmeamua kuamini hivyo ika makamba atawaprove wrong siku moja
 
Rubbish
 
Hayo mambo aliyaweza jembe....acha tuendelee na business as usual.
 
Ni kiongozi yupi wa ccm unaweza kusimama mbele ya wananchi bila mbeleko ya vyombo vya dola ukasema anaaminika na wananchi?
Humphrey Polepole na Bashiru kakuru Ally kwa uchache wao.

Paramagamba kabudi na William Lukuvi kwa wingi wao.
 
Kwa sababu wewe ni house boy [emoji65] wa msoga....siwezi kukulazimisha uamini tunachokiamini wale tunaopinga wezi na vizazi vyao kama nyinyi?
 
Hakuna kitu makamba anadanganya,ni nyie tu ndio mmeamua kuamini hivyo ika makamba atawaprove wrong siku moja
Tangu alipokuwa anahudumia nafasi yake @Kigogo14

Mtaendelea kumsujudu mpaka mwisho.
 
Hongera sana kwa ujumbe na tone nzuri katika ujumbe wako
 
Humphrey Polepole na Bashiru kakuru Ally kwa uchache wao.

Paramagamba kabudi na William Lukuvi kwa wingi wao.
Kwakuwa wanapenda kuvaa kaunda Suit ndio unadhani ni wasafi. Au kwakuwa walikuwa wanamsujudia Magufuli basi ndio unadhani kuna wasafi?
 
Kutambelea Site kunahimiza watendaji kuongeza bidii ya kazi na pia kunazuia baadhi ya upigaji.

Kama ule tunaoambiwa na Makamba kwamba imekosekana winch ya kunyanyulia mlango wa bwawa.
commonmwananchi
10101
Hizo winch walishazileta?
Sisikii chochote kuhusu maendeleo ya hilo bwana,huku hali ya mgao ukikolea.
 
Huo mradi sio kipaumbele cha awamu ya sita.

Labda uwaambie maswala ya gesi kama zile alikua anagawa waziri wa nishati hapo watakuelewa.
 

Wosia wa Raisi Magufuli kabla ya kifo chake "nikifa mtanikumbuka.​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…