Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Na maji ya kujaza hilo libwawa lao sijui yatatoka wapi na haya mabadiliko ya tabia nchi yasiyotabirikaMakamba JR na bodi ndio wameleta ukame? Hivi ni chuki zinawasumbua au ni ni hasa?
In fact wapuuzi wa awamu ya 5 ndio wametufikisha hapa,haiwezekani unaweka pesa nyingi Kwenye mradi ambao haujui utaisha lini maana pesa za kuukamilisha huna na hujawekeza kujiandaa na hali ya dharura kama ukame huku ukitegegemea kudra za Mungu.Huu ni utaahira kabisa.
Ewaaaa...
Sasa hii timu mwendazake inadhani kutunbua ndio suluhisho la matatizo. Wametumbuliwa wangapi na bado tuko palepale
Tatizo ni watu walioamua kujipa madaraka uongozi wa nchi kwa.kutumia nguvu za dola.
Akili zilizoleta mharibiko ndio akili hizohizo eti zinataka kuondoa mharibiko na kuleta maendeleo
CCM yajenga nchi
Orodhesha hayo matatizo.matatizo tuliyojitengenezea miaka kibao?
Hili neno deep state tangu mlisikie basi mnalitumia tumia hovyo tu! Deep state ya JF labda
Ndio mpaka Mungu apende.Lazima serikali iwe na umeme wa vyanzo ambavyo havitegemei Hali ya hewa hata pindi Bwawa likikamilika maana itafika mahali nalo litaathirika tuu regardless of how big is the dam..Na maji ya kujaza hilo libwawa lao sijui yatatoka wapi na haya mabadiliko ya tabia nchi yasiyotabirika
Mabwawa yamehujumiwa kwa makusudi ,ebhoh!Na maji ya kujaza hilo libwawa lao sijui yatatoka wapi na haya mabadiliko ya tabia nchi yasiyotabirika
Duuui Majaliwa alisema wawekezaji njooni tuna umeme wa kutosha ? Halafu akaja Makamba akasema atauza umeme nje….
Baraza la mawaziri la Magufuli bado lipo kwa zaidi 90%.Kwahiyo huwezi kuwaondoa kwenye lawama hizi.Kwani washamba wako bado wapo madarakani?
Si chama kimerudi kwenye mikono salama?
Hivi jibu la utatuzi wa matatizo haya ni kutengua? Kwani ni lini mlimshauri Makamba J. abadili jambo fulani ili matatizo yaishe akakataa ushauri wenu huo? Kama una ushahidi mliwashuri wateuliwa hawa wabadili mambo ili maboresho yatekelezeke ulete hapa jamvini; kama hauna ushahidi huo, basi wakutenguliwa kwanza kabla ya wateuliwa ni wewe mleta mada!Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?
Unatetea upumbavu,yaani wizara ifanyie majaribio ?,Kuna nyakati wizara mbili zilisumbua sana lakini taratibu na baada ya muda hali ilikaa sawa.
Nazisemea Maliasili na Ardhi.
Tuwape muda wahusika.
Huu ni mtihani mkubwa kwa Rais Samia S H. Ana uamuzi wakunyoa au kusuka. Atahuzunika sana baada ya uchaguzi wa 2025. Hata kama atapita, lakini ukweli katika masanduku ya kura ataambiwa na wapambe wake. Nia ni kumuonyesha jinsi walivyofanya kazi kubwa kumuokoa japo alikuwa anaanguka. Fadhila zitahitajika.Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.
Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.
Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?
Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za gafla na kinzani.
Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!
Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.
Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.
Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.
kwa sasa kisingizio kimekua mvua akati tangu mwezi wa 9 alipoteuliwa kila siku umeme ulikatika na alipoulizwa sababu alidai repair, kama tatizo lilikua ukame why hakusema?Makamba ndiye kazuia mvua zisinyeshe? Ndiye amesababisha muwe wajinga na kutegemea chanzo cha umeme kimoja cha maji badala ya kugeukia njia mbadala (Gas)? Na kwa mabadiliko haya ya hali ya hewa hilo libwawa lenu mnalojenga bila akili litajaza matope na vyura tu...
Usimfananishe makamba na vitu vya chooniUtakunywa sana spar letta bar! Makamba ni kama reincarnation ya Makonda wa enzi za Magufuli. Yuko kimkakati pale hata aharibu vipi hutoskia katolewa😅
Hivi kwa plant ya uzalishaji umeme pale Kidatu, unasemaje maji yamepungua wakati mto Ruaha unaingia kila siku?Makamba ndiye kazuia mvua zisinyeshe? Ndiye amesababisha muwe wajinga na kutegemea chanzo cha umeme kimoja cha maji badala ya kugeukia njia mbadala (Gas)? Na kwa mabadiliko haya ya hali ya hewa hilo libwawa lenu mnalojenga bila akili litajaza matope na vyura tu...
CCM haijawahi kushindwaHuu ni mtihani mkubwa kwa Rais Samia S H. Ana uamuzi wakunyoa au kusuka. Atahuzunika sana baada ya uchaguzi wa 2025. Hata kama atapita, lakini ukweli katika masanduku ya kura ataambiwa na wapambe wake. Nia ni kumuonyesha jinsi walivyofanya kazi kubwa kumuokoa japo alikuwa anaanguka. Fadhila zitahitajika.
Huzuni kubwa zitampata Mama Samia.
"Kipi cha maana" unamaanisha nini? Una Mfano wowote kwenye wizara yeyote ambapo kimefanyika "kipi cha maana"? Kabebwe na wewe kama ni rahisi kubebwaKubebwa tu jina baba yake.
Tuambie hizo wizara alifanya kipi Cha maana?
Tutajie hiyo serikali Chief, nani anaiongoza?Kwani ni uongo kuwa kuna Serikali nyingine ndani ya serikali hii tunayoifahamu?
Ndiyo upuuzi mnaoambiana huo mkikutana huko kwenye vikao vyenu vya waleviMabwawa yamehujumiwa kwa makusudi ,ebhoh!
Repair zimeanza kufanyika alipoingia, hata kwenye taarifa ya TANESCO ya jana wameelezea vituo ambavyo wanarepair ili kuongeza umeme kwenye grid ya taifa, then Ukame umeingilia hapa kati na kulifanya tatizo liwe worse! Inashangaza kidogo kumchukia mtu ambaye hata hamumfahamu zaidi ya kumuona kwenye TV na magazetinikwa sasa kisingizio kimekua mvua akati tangu mwezi wa 9 alipoteuliwa kila siku umeme ulikatika na alipoulizwa sababu alidai repair, kama tatizo lilikua ukame why hakusema?