Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Wewe ni mtaalamu wa Umeme? Kiasi cha maji cha kuzalisha umeme kinapimwa kwa macho yako yanayoona mto Ruaha una maji kila siku au kwa volume ambayo inapimwa kitaalamu?Hivi kwa plant ya uzalishaji umeme pale Kidatu, unasemaje maji yamepungua wakati mto Ruaha unaingia kila siku?
Watu wasiwe wanafiki. Wawe wawazi kama alivyokuwa JPM. Waseme kwamba wanatengeneza frasturation ya supply ili kutengeneza uhalali wa kuja na maamuzi yao.
Huu ukame ulianza from nowhere? Walikuwa hawajui hali ingefikia hapa ilipo na namna gani wajipange kuikabili mapema?Repair zimeanza kufanyika alipoingia, hata kwenye taarifa ya TANESCO ya jana wameelezea vituo ambavyo wanarepair ili kuongeza umeme kwenye grid ya taifa, then Ukame umeingilia hapa kati na kulifanya tatizo liwe worse! Inashangaza kidogo kumchukia mtu ambaye hata hamumfahamu zaidi ya kumuona kwenye TV na magazetini
Inaonekana na wewe ni layman kwenye uzalishaji wa umeme wa HEP.Wewe ni mtaalamu wa Umeme? Kiasi cha maji cha kuzalisha umeme kinapimwa kwa macho yako yanayoona mto Ruaha una maji kila siku au kwa volume ambayo inapimwa kitaalamu?
Kushindwa haijawahi na pengine haitatokea hata huko mbele. Ila hali halisi kilichotokea kwenye masunduku ya kura huwa wanafahamu.CCM haijawahi kushindwa
Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.
Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.
Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?
Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za gafla na kinzani.
Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!
Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.
Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.
Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.
Tutajie hiyo serikali Chief, nani anaiongoza?
Lawama ziende kwa Serikali zote kuanzia awamu ya kwanza kwa kutegemea chanzo kimoja kikuu cha umeme kwa kipindi cha miaka 60, Na siyo eti leo hii tatizo la Umeme lionekane ni la Samia na January, ni upuuzi wa hali ya juuHuu ukame ulianza from nowhere? Walikuwa hawajui hali ingefikia hapa ilipo na namna gani wajipange kuikabili mapema?
Ni mjinga pekee anaweza kuamini upuuzi kama huu...Stories za wachunga ng'ombe hiziUndoubtedly, none other than Vasco Dagama himself!!
Ndiyo maana siwezi kuongelea kiundani mambo ya HEP! Ila na ulayman wangu siwezi kusema eti sababu nimeona maji mto Ruaha basi yanatosha kama ulivyosema wewe, umetoa a very simple conclusionInaonekana na wewe ni layman kwenye uzalishaji wa umeme wa HEP.
Umenipa kufikiri sana. Nani huwa anafanya vetting ya viongozi?Utakunywa sana spar letta bar! Makamba ni kama reincarnation ya Makonda wa enzi za Magufuli. Yuko kimkakati pale hata aharibu vipi hutoskia katolewa[emoji28]
Eeh mzee ni mwendo wa kusimika wana, unamtupia King D wizara ya ardhi, jecha man unamuweka Nishati na Madini, ukija kwa mwanao Lupacriss unampa wizara ya fedha pale mnamenya tu nchi!Umenipa kufikiri sana. Nani huwa anafanya vetting ya viongozi?
Je taasisi hiyo iko huru au la?
Kwahiyo baada ya mama yetu nikija kuwa rahisi wenyu, nabandika vile roho yangu inapenda siyo?
Bantu haitakaa itoboe kiraisi
Repair zimeanza kufanyika alipoingia, hata kwenye taarifa ya TANESCO ya jana wameelezea vituo ambavyo wanarepair ili kuongeza umeme kwenye grid ya taifa, then Ukame umeingilia hapa kati na kulifanya tatizo liwe worse! Inashangaza kidogo kumchukia mtu ambaye hata hamumfahamu zaidi ya kumuona kwenye TV na magazetini
Sawa mkuuUsimfananishe makamba na vitu vya chooni
Hakuna anayeongopewa, kuna manyoka kila sehemu katika nchi yetu, Mama akitaka ukweli kuhusu jambo lolote anaupata ndani ya dakika moja! CHUKI ZENU KWA JANUARY ZINAWAPA UPOFU, KAMA NI KWA SABABU YA URAIS 2030 BASI HIZO MBIO MMEZIANZA MAPEMA SANA, MMEKOSEA TIMING...BY THAT TIME MTAKUWA MMECHOKA HOI NA KUJIEXPOSE VYA KUTOSHA KWA WAPINZANI WENUWananchi hawana haja ya kumfahamu mtu la muhimu ni utendaji wake wenye matokeo yenye tija!! Hatutaki mumuongopee mama na longolongo zenu huku mkiwa na ajenda zenu za siri!!
MAJALIWA- Umeme upo wa kutosha wawekezaji waje.TPDC - Mafuta hakuna
DAWASA - Maji hakuna
TANESCO - Umeme Umepungua
CCM - Mambo Mazuri kila kitu kipo vizuri.
Bullshit. Times change. Teknologia, options na alternative solutuons zilizo available leo hiii siyo sawa na zile za miaka 60 iliyopita au hata miaka 5 iliyopita. What hasn’t changed in 60 years is the CCM policies na hao wawili are part of the problem.Lawama ziende kwa Serikali zote kuanzia awamu ya kwanza kwa kutegemea chanzo kimoja kikuu cha umeme kwa kipindi cha miaka 60, Na siyo eti leo hii tatizo la Umeme lionekane ni la Samia na January, ni upuuzi wa hali ya juu
Ujinga uliopo wahuni wanakula watakaosema wanasemwa wivu.Eeh mzee ni mwendo wa kusimika wana, unamtupia King D wizara ya ardhi, jecha man unamuweka Nishati na Madini, ukija kwa mwanao Lupacriss unampa wizara ya fedha pale mnamenya tu nchi!
Hahaha! Ni Sawa Jamaa walivyoamua kuifanya Nov. 19 kuwa ni SIKU YA WANAUME DUNIANI and also SIKU YA CHOO DUNIANI!! Sijui wantuchukuliaje wanaume, and siku yenyewe imepooza balaaSawa mkuu