Makamba ameingia ameukuta umeme upo hata kama ulikuwa unakatika haikuwa mbaya na hovyo kama ulivyo sasa hivi.Ni wivu tu, hamna lolote.
Huyo Makamba hiyo nafasi ana muda gani tangu ateuliwe. Yani muda huo mfupi ndio atatue matatizo tuliyojitengenezea miaka kibao?
Waendeleee kumkumbatia ila adhabu yao wataiona kwenye uchaguziUtakunywa sana spar letta bar! Makamba ni kama reincarnation ya Makonda wa enzi za Magufuli. Yuko kimkakati pale hata aharibu vipi hutoskia katolewa[emoji28]
Ujinga uliopo wahuni wanakula watakaosema wanasemwa wivu.
Kwanini vyombo vyote vya usalama viko kimya?
1. TISS kimyaaaaa
2. Intel ya Jeshi kimyaaa
3. Intel ya polisi zote kimyaa
4. Intel ya fedha na uchumi kimya
Inamaanisha wako konekitedi nao kutafuna mali za vizazi vijavyo, hayupo aliye tayari kuifia nchi?
Jamani vizazi vijavyo !
Matatizo gani yaliyojilimbikiza miaka kibao, uliwahi ona mgao mkubwa kiasi hiki in recent years???Ni wivu tu, hamna lolote.
Huyo Makamba hiyo nafasi ana muda gani tangu ateuliwe. Yani muda huo mfupi ndio atatue matatizo tuliyojitengenezea miaka kibao?
Kutoka kwa wakatantaKauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.
Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.
Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?
Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za gafla na kinzani.
Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!
Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.
Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.
Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.
Utakua jinsia ya KE,neno wivu mara nyingi hutamkwa na jinsia nilioitajaHata mimi nashangaa wanavyompigia debe la kuwa ahamishwe hata miezi sita haijafika.
Lazima kuna team fulani hivi inapiga majungu kila siku kwenye mtandao.
Really, Pius Msekwa na Salmini Amour ni mifano miwili tu iliyotumia neno wivu.Utakua jinsia ya KE,neno wivu mara nyingi hutamkwa na jinsia nilioitaja
Kwa nini ameingia na kuleta madudu yote haya?Ni wivu tu, hamna lolote.
Huyo Makamba hiyo nafasi ana muda gani tangu ateuliwe. Yani muda huo mfupi ndio atatue matatizo tuliyojitengenezea miaka kibao?
Watu eanahitaji perfectionism ambayo haitokaa itokee.Ina maana expatriates wote tulionao hakuna wa kukalia kiti kile😆?
Mbona unanichekesha mkuu, wako watu waliobobea katika management ya electric industry toka abroad ni diaspora tunaweza waweka.
Najua wabongo hatuaminiani hasa waliosomea vyuo vya humu humu ila wako walio exposed ulaya they can play part n parcel ya kuokoa jahazi!
Kajamaa ni kaswahili kweli kama yule aliekalea pale magogoniHawamjui Makamba kama ni mfitini
Dikteta ndio Sababu ya kero zote hiziNchi ipo hapa ilipo sababu ya wapumbavu kama wewe
Nendeni mkamfufue kichaa wenu Basi,mna chuki na Rais kenge nyinyiKajamaa ni kaswahili kweli kama yule aliekalea pale magogoni
Madudu ya ukame ameyaleta yeye? Mitambo mikongwe inatumia umeme wa maji halafu inakuwa overworked. Kuna siku ingeishia kugoma tu hata kama JPM bado angekuwa yuko hai.Kwa nini ameingia na kuleta madudu yote haya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa walivyoingia madarakani wakaharibu kila kitu. Kwasasa watu waliokuwa wanafanyakazi kwa mzuka kwishine. Hadi kabudi hasikiki utafikiri nae kafa na kuzikwa huko chato
Kweli wewe ni bitimkongwe kwelikweliMadudu ya ukame ameyaleta yeye? Mitambo mikongwe inatumia umeme wa maji halafu inakuwa overworked. Kuna siku ingeishia kugoma tu hata kama JPM bado angekuwa yuko hai.
Wanazingua sana wabongoWatu eanahitaji perfectionism ambayo haitokaa itokee.
Labda uweke malaika.
Kwanza watanzania kulalamika na kulaumu ni sehemu ya maisha yao.
Utasikia, Yanga kufungwa leo ni nani alaumiwe.
In short, wabongo kwenye kila kitu lazima mtu alaumiwe.
Tatizo ni mfumo ccm.Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.
Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.
Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?
Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za gafla na kinzani.
Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!
Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.
Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.
Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.