Rais Samia, tengua uteuzi wa Waziri Makamba na Bodi nzima ya TANESCO. Au na wewe una maslahi na kinachoendelea?

Rais Samia, tengua uteuzi wa Waziri Makamba na Bodi nzima ya TANESCO. Au na wewe una maslahi na kinachoendelea?

Hafanyi vizuri kivipi? Ameingia juzi ameongeza megawatt kwenye gridi ya taifa ya umeme kwa kutumia gesi ambayo ilikuwepo lakini kwa sababu mbalimbali ikawa haitumiki.
Mlitaka muwe na waziri anayesimamia nishati huku kukiwa hakuna mvua ya kutosha watu wakae gizani? January kakuta umeme unaozalishwa na maji yaani mabwawa uko chini ya kiwango kwa ukame. Kajiongeza kaenda kuitumia gesi ambayo tayari ilikuwepo lakini haikuingizwa kwenye grid ya taifa! Kaingiza hizo megawat ambazo hata bwawa likiwa chini ya kiwango nchi inakuwa bado inao umeme wa uhakika. Anakuwaje chini ya kiwango?
 
Bado upo na huu msimamo?
Sana. Bado ninao. This man is real not only talented but also a visionary leader. Within few days he managed the country to apply its own resources for power generated from songas gas plant and increase over 30 megawatts to national eletricity supply through TANESCO! for me he is a man who decide!
 
Sana. Bado ninao. This man is real not only talented but also a visionary leader. Within few days he managed the country to apply its own resources for power generated from songas gas plant and increase over 30 megawatts to national eletricity supply through TANESCO! for me he is a man who decide!
Mpuuzi wewe umeme wenyewe uko wapi zaidi ya kukatika katika
 
Hafanyi vizuri kivipi? Ameingia juzi ameongeza megawatt kwenye gridi ya taifa ya umeme kwa kutumia gesi ambayo ilikuwepo lakini kwa sababu mbalimbali ikawa haitumiki.
Mlitaka muwe na waziri anayesimamia nishati huku kukiwa hakuna mvua ya kutosha watu wakae gizani? January kakuta umeme unaozalishwa na maji yaani mabwawa uko chini ya kiwango kwa ukame. Kajiongeza kaenda kuitumia gesi ambayo tayari ilikuwepo lakini haikuingizwa kwenye grid ya taifa! Kaingiza hizo megawat ambazo hata bwawa likiwa chini ya kiwango nchi inakuwa bado inao umeme wa uhakika. Anakuwaje chini ya kiwango?
Aliingia umeme haukatika sasa unakatika kila siku
 
Mpuuzi wewe umeme wenyewe uko wapi zaidi ya kukatika katika
Hapo ukute ni oficer wa serikali ndio unaona unatimiza sifa za kuita kila unayepingana nae kwa hoja mpuuzi. Iko hivi huo uafisa wako utakwisha, huo utumishi wako pia utakwisha. Heshimu kila mtu katika dunia hii.
 
Hapo ukute ni oficer wa serikali ndio unaona unatimiza sifa za kuita kila unayepingana nae kwa hoja mpuuzi. Iko hivi huo uafisa wako utakwisha, huo utumishi wako pia utakwisha. Heshimu kila mtu katika dunia hii.
Officer dingi ako, mm ni ofisa kwenye familia yangu asee, siyo kila mtu ni mtumishi wa umma Bashite mkubwa wewe
 
Hapo ukute ni oficer wa serikali ndio unaona unatimiza sifa za kuita kila unayepingana nae kwa hoja mpuuzi. Iko hivi huo uafisa wako utakwisha, huo utumishi wako pia utakwisha. Heshimu kila mtu katika dunia hii.
Ukiwa mjinga hutaki uambiwe?
 
Makamba ndiye kazuia mvua zisinyeshe? Ndiye amesababisha muwe wajinga na kutegemea chanzo cha umeme kimoja cha maji badala ya kugeukia njia mbadala (Gas)? Na kwa mabadiliko haya ya hali ya hewa hilo libwawa lenu mnalojenga bila akili litajaza matope na vyura tu...
Mvua zilisha nyesha sasa, shida iko wapi au ni dumzi mtu yule
 
Sana. Bado ninao. This man is real not only talented but also a visionary leader. Within few days he managed the country to apply its own resources for power generated from songas gas plant and increase over 30 megawatts to national eletricity supply through TANESCO! for me he is a man who decide!
Duuuh.yaani Kama janu he device to be thea,Basi hii nchi mtu yeyote anaweza kuwa waziri hakiyanani!!
 
Ni wivu tu, hamna lolote.

Huyo Makamba hiyo nafasi ana muda gani tangu ateuliwe. Yani muda huo mfupi ndio atatue matatizo tuliyojitengenezea miaka kibao?
Wala hapakua na matatizo eti ya kuja kutatua januari. Januari ana weledi gani kumshinda dr medard aliyekuepo. January kama kumshinda ni upigaji na ubabaishaji. Hilo ndio jambo wahuni wamempeleka january nishati aweze tunga kandarasi za wao kupiga hela ya umma.
 
Wala hapakua na matatizo eti ya kuja kutatua januari. Januari ana weledi gani kumshinda dr medard aliyekuepo. January kama kumshinda ni upigaji na ubabaishaji. Hilo ndio jambo wahuni wamempeleka january nishati aweze tunga kandarasi za wao kupiga hela ya umma.
Hivi ndivyo mnvyoaminishwa huko sasa mnakuja nayo hapa
 
Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.

Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.

Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?

Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za ghafla na kinzani.

Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!

Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.

Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.

Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.

Soma pia

1) Kwa nia njema kabisa, Rais Samia mfute kazi Waziri Makamba

2) January Makamba: Umeme mwisho kukatika wiki mbili, baada ya hapo nitafukuza watu

3) Waziri January Makamba hana msaada wowote kwenye wizara ya Nishati, Tumechoka aisee
Zimwi la uchafuzi mkuu wa 2020 linaendelea kutesa. Na kazi iendelee.
 
Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.

Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.

Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?

Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za ghafla na kinzani.

Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!

Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.

Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.

Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.

Soma pia

1) Kwa nia njema kabisa, Rais Samia mfute kazi Waziri Makamba

2) January Makamba: Umeme mwisho kukatika wiki mbili, baada ya hapo nitafukuza watu

3) Waziri January Makamba hana msaada wowote kwenye wizara ya Nishati, Tumechoka aisee
ngoja tuuze wese kwanza. Acha roho mbaya
 
Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.

Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.

Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?

Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za ghafla na kinzani.

Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!

Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.

Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.

Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.

Soma pia

1) Kwa nia njema kabisa, Rais Samia mfute kazi Waziri Makamba

2) January Makamba: Umeme mwisho kukatika wiki mbili, baada ya hapo nitafukuza watu

3) Waziri January Makamba hana msaada wowote kwenye wizara ya Nishati, Tumechoka aisee
Akili zako ziko matakoni

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom