Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Siasa ndio zimetuleta hapa huwezi kuukimbia ukweli. Hata jukwaa hili ni la siasa na ndio maisha yetu . Siasa safi huleta maisha nafuu, siasa mbovu hule TOZO na Dhiki.Wewe upo kisiasa mimi siko huko. Mama kasema ukweli, nchi yetu itajengwa na sisi wenyewe, watoto wetu tumewazaa wenyewe na tutawasomesha sisi wenyewe. Hiyo ya kutegemea mfadhili nao ulikuwa upumbavu tu kama upumbavu mwingine, na pia ni laana kuishi kwa kudra za watu wengine.
TOZO ni UFISADI na Haramu. Wananchi kwa nini waumizwe.
Miaka 60 Nchi inaongozwa na GENGE la CCM ikiwa na Raslimali chungu mzima, ziko wapi, wameiba kina Magufuli raslimali zote.
Sasa tunaumiza wananchi mnawaita wanyonge na mnawataka wawe wazalendo. Huku watawala toka enzi za Mkapa , Kikwete na Magufuli wakifanya wizi wa raslimali. na Samia sasa anaona aumize tu wanyonge.
CCM imepoteza uhalali wa kuongoza Nchi. Anachofanya Samia na WAHUNI wenzie ni UGAIDI.