Rais Samia: Tozo zitaendelea kuwepo

Rais Samia: Tozo zitaendelea kuwepo

Hizi kampeni za kujenga madarasa mara vituo vya afya huwa haziishi? nafikiri yupo sahihi kusema tozo zitaendelea kuwepo maana na yeye ataendelea kuwepo.
Unauliza kama mpumbavu,ziishw uzazi umepungua? Huku ni Ulaya ambako kuna growth rate ni ndogo au hamna kabisa?

Watu kama nyie mlipomaliza kujibu mitihani mkaoshia hapo hapo,uwe unafuatilia hata nchi zingine,juzi tuu hapo unaona akina Biden wanahaha kupotosha mabilioni ya fedha kwenye sekta ya Afya sasa sijui kama huko kulikoendelea hizo kampeni ziliisha?

Maendelea yataisha siku watu wakitoweka Duniani
 
[emoji1787]
Ngoja waje walioshuhudia misingi ikijengwa watoe mrejesho!
tulieni, kuna vikao kwanza huko matarafani na makatani vya kukubaliana sehemu ya kujenga n.k

kwenye hili, jamaa zangu wa legacy kubalini tu kuwa hapa mama kaupiga mwingi......akisimamia vema, anaenda kufanya vizuri kabisa maeneo korofi na ya aibu za kijinga km hayo ya watoto kukaa chini mashuleni n.k.
 
Hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila 2025 tunawasubiri trip hii kwa kweli ujinga hatukubali yaan jino kwa jino km zambia mpaka kieleweke haiwezekani ka nchi kama zambia kamebadili chama ss bado tuna lichama hilo hilo lililo jaa wanafiki.Ww rasili mali tunazo kibao ila hazina faida tumejaziwa mi tozo kila sehem mafuta tu ya kula 5000 lita huu si ujinga na wao wamebaki wananzunguka na mi v8 na kutuona km mazombi kila tunapo lalamika.
 
Kikwete alipoingia alikuta hazina ina akiba ya $5 bilioni. Huyu amekuta account ikiwa na zero balalnce.
Hata kama hazina ingekuwa na matilioni huko kwani ndio inaweza kumaliza matatizo ya Nchi?.

Namkubali Rais huyu kwa matokeo Chanya sio kwa upuuzi wa propaganda za kijinga.
 
Hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila 2025 tunawasubiri trip hii kwa kweli ujinga hatukubali yaan jino kwa jino km zambia mpaka kieleweke haiwezekani ka nchi kama zambia kamebadili chama ss bado tuna lichama hilo hilo lililo jaa wanafiki.Ww rasili mali tunazo kibao ila hazina faida tumejaziwa mi tozo kila sehem mafuta tu ya kula 5000 lita huu si ujinga na wao wamebaki wananzunguka na mi v8 na kutuona km mazombi kila tunapo lalamika.
Wewe kama mwenye rasilimali hapo kwako umefanya nini cha maana kwako na kwenye jamii Ili ku justify ujinga wako huu?

Huna akili huko Zambia,Nigeria,Malawi kila siku wanabadili vyama ehee umeona maisha yao ni bora kuliko Tzn? Hujui chochote ,this is Africa.
 
Wewe kama mwenye rasilimali hapo kwako umefanya nini cha maana kwako na kwenye jamii Ili ku justify ujinga wako huu?

Huna akili huko Zambia,Nigeria,Malawi kila siku wanabadili vyama ehee umeona maisha yao ni bora kuliko Tzn? Hujui chochote ,this is Africa.
Hahaaa kwanza nakaa kwangu hilo moja na nimejiajiri na kuajiri watanzania wenzangu tunasukuma gurudumu la maisha japo kwa ugumu na huko zambia vitu viko chini kuliko hapa na vingi vinapita hapa hapa ndo kaa ujiulize sisi tumekwama wapi na Mungu katupa mali asili kibao lakini hazina faida yoyote kwetu km nchi.
 
tulieni, kuna vikao kwanza huko matarafani na makatani vya kukubaliana sehemu ya kujenga n.k

kwenye hili, jamaa zangu wa legacy kubalini tu kuwa hapa mama kaupiga mwingi......akisimamia vema, anaenda kufanya vizuri kabisa maeneo korofi na ya aibu za kijinga km hayo ya watoto kukaa chini mashuleni n.k.
Nasema hivi Samia hadi 2025 atavunja rekodi na kuifunika ya mwendazake kabisaa.

Saizi mataga walichobaki nacho ni kusema eti Magu aliweza bila tozo,ukiwaambia aliweza nini miaka 6 unakuta hakuna kilichokamilika miaka yote hiyo zaidi ya kuvuruga uchumi,kuua,kusumbuana na wapinzani,kuteua na kufukuza,kufika,kutukana na kukunja ndita,wizi na kupiga watu propaganda za tunajenga kwa pesa zetu wakati kumbe ni full mikopo.

Mama hawezi kwenda hiyo njia kwa sababu kwanza tayari amerekebisha uchumi japo kwa kiasi ndio maana mapato ya bandari yameongezeka,Mazao ya wakulima yameongezeka,Kazi kila kona nk sasa kama vipato vya watu vimeongezeka kwa nini asiweke tozo kiasi za kuchangia maendeleo?

Ukienda njia ya mikopo utaishia kuwa kama Zambia,Kenya,Ghana nk kumbuka mikopo ya Sasa sio ya ki LDC bali uchumi wa kati masharti magumu ya kibiashara.
 
Hahaaa kwanza nakaa kwangu hilo moja na nimejiajiri na kuajiri watanzania wenzangu tunasukuma gurudumu la maisha japo kwa ugumu na huko zambia vitu viko chini kuliko hapa na vingi vinapita hapa hapa ndo kaa ujiulize sisi tumekwama wapi na Mungu katupa mali asili kibao lakini hazina faida yoyote kwetu km nchi.
Kukaa kwako ndio kumeleta tija kwenye nchi? Sasa ukiwa na v m pesa sijui bajaji ndio kuleta tija kwenye nchi?

Vitu viko chini kwa nini walikuwa wanalalamika? Uliwahi ona Zambia imeizidi Tzn kwa Uchumi na Chochote cha maana? Au wewe lini uliwahi ona Zambia imetajwa kwenye nchi ambazo maisha yao yako juu?

Vitu gani vinatoka kwenu ambavyo bei ni Chee kule? Kwa taarifa yako Zambia wanaweka ruzuku kwenye baadhi ya vitu hasa mafuta kwa sababu Wana watumiaji wachache na idadi yao ni kidogo.

Huwezi linganisha nchi yenye population 60 mil na 14mil. Utakuwa kichaa.

Serikali iliwahi kuweka ruzuku kwenye mbolea ikaona ni ujinga na mzigo wa kipuuzi.Uchumi wa soko haihitaji huo upumbavu
 
Kukaa kwako ndio kumeleta tija kwenye nchi? Sasa ukiwa na v m pesa sijui bajaji ndio kuleta tija kwenye nchi?

Vitu viko chini kwa nini walikuwa wanalalamika? Uliwahi ona Zambia imeizidi Tzn kwa Uchumi na Chochote cha maana? Au wewe lini uliwahi ona Zambia imetajwa kwenye nchi ambazo maisha yao yako juu?

Vitu gani vinatoka kwenu ambavyo bei ni Chee kule? Kwa taarifa yako Zambia wanaweka ruzuku kwenye baadhi ya vitu hasa mafuta kwa sababu Wana watumiaji wachache na idadi yao ni kidogo.

Huwezi linganisha nchi yenye population 60 mil na 14mil. Utakuwa kichaa.

Serikali iliwahi kuweka ruzuku kwenye mbolea ikaona ni ujinga na mzigo wa kipuuzi.Uchumi wa soko haihitaji huo upumbavu
Ww ulie leta tija kwa taifa hongera ila kaa ukijua kwamba copper iliyopo zambia ndo inasaidia kuweka ruzuku kwenye vitu vingi zambia ili kupunguza makali ya maisha kwa wananchi sasa ww unataka kutoza wananchi kodi kibao wakati hata mazingira mazuri ya ajira hujaweka.Mfano tu hivi gas ya mtwara ina faida gani kwetu km watanzani si bora hata isingechimbwa maana tuliambiwa itakuja kushusha bei ya umeme je umeme umeshuka.Sisi km taifa tumekua tunadanganywa sana na viongozi kipindi cha kampeni maana wanatuona ni mapimbi furani.
 
Ww ulie leta tija kwa taifa hongera ila kaa ukijua kwamba copper iliyopo zambia ndo inasaidia kuweka ruzuku kwenye vitu vingi zambia ili kupunguza makali ya maisha kwa wananchi sasa ww unataka kutoza wananchi kodi kibao wakati hata mazingira mazuri ya ajira hujaweka.Mfano tu hivi gas ya mtwara ina faida gani kwetu km watanzani si bora hata isingechimbwa maana tuliambiwa itakuja kushusha bei ya umeme je umeme umeshuka.Sisi km taifa tumekua tunadanganywa sana na viongozi kipindi cha kampeni maana wanatuona ni mapimbi furani.
Ndio maana sibezi wanaojitahidi bahati mbaya nchi ina watu walalamishi na walaumuji kama wewe sasa ni WA kupuuzwa.

Kwa akili zako za kipuuzi unadhani Chadema leo wakiingia madarakani utapata nafuu gani ndugu? Kwamba hao chadema watapata wapi pesa za kuendesha serikali?

Acha ujinga mkuu.
 
Ndio maana sibezi wanaojitahidi bahati mbaya nchi ina watu walalamishi na walaumuji kama wewe sasa ni WA kupuuzwa.

Kwa akili zako za kipuuzi unadhani Chadema leo wakiingia madarakani utapata nafuu gani ndugu? Kwamba hao chadema watapata wapi pesa za kuendesha serikali?

Acha ujinga mkuu.
Sikatai wanajitahidi ila wapunguze matumizi serikalini pia waangalie mali asili ili kupunguza makali ya maisha.Mfano kama mafuta ya kula kuna nchi zina mafuta ya kula mengi kwa nn wasiagize huko kuliko kucha wananchi tunalia tu mkuu.Mkuu pia nchi haijengwi siku moja sasa hivi kuna cahangamoto ya corona lakini serikali inamiladi mkubwa ambayo inatakiwa hela nyingi ndo maana wanatubana kwa nn wasiangalie ile ya muihimu tu ndo iendelezwe kupunguza makali ya maish.
 
Uzuri ni kwamba tunao uwezo mkubwa wa kukwepa tozo.ova
 
Wewe upo kisiasa mimi siko huko. Mama kasema ukweli, nchi yetu itajengwa na sisi wenyewe, watoto wetu tumewazaa wenyewe na tutawasomesha sisi wenyewe. Hiyo ya kutegemea mfadhili nao ulikuwa upumbavu tu kama upumbavu mwingine, na pia ni laana kuishi kwa kudra za watu wengine.
Asikudanganye mtu nchi hii Bado masikini Sana kuwabebesha Wananchi Kodi lukuki kias hicho hapo hukuzi uchumi zaidi ya kubomoa.Kama Jana njia mbdala ya kupata pesa kuendesha nchi bila kuumiza watu ni Bora akae pembeni
 
Huyu Rais anaona maendeleo ni kuumiza Wananchi kwa Kodi za ajabuajabu.Kwa Hali hii nchi ipo gizani.
 
Hizi kampeni za kujenga madarasa mara vituo vya afya huwa haziishi? nafikiri yupo sahihi kusema tozo zitaendelea kuwepo maana na yeye ataendelea kuwepo.
Mkuu Popolation growth na public social service ni vitu vinavyotakiwa kukuwa kwa pamoja, ni bahati sana kama unaishi mijini ni ngumu kuona au kusikia kuna baadhi ya shule watoto wanatembea 10km+ kufuata elimu kila siku. Shule nyingine madarasa yanabeba wanafunzi 100+ , ni miaka 60 sasa baada ya uhuru. Kuna wazazi / wagonjwa wanatembea km 15+ kufuta huduma za matibabu, wazazi wanajifungulia njiani, tuacheni kubeza jitihada hizi japo najua matokeo hayawezi kuonekana ndani ya miezi miwili/ mitatu...

Tumekuwa tukilalamika serikali haiajiri, sasa itahajiri vipi wakati haijengi shule mpya, haiongezi madarasa, haiongezi huduma za afya kwa kupanua na kuongeza vituo vya kutolea huduma???? Tujiulize ni lini tutafikia level za darasa moja kuwa na wanafunzi chini ya 40 kama hizi jitihada hazifanyiki.

Najua tozo zinaumiza, ila nikikumbuka nachangia maendeleo ya nchi yangu napata nguvu ya kuendelea kuchangia. Tukumbuke hata misaada tunayopata kutoka nchi marafiki ni kodi / tozo za wananchi wao. Kwa nini tuunung'unike kwa tozo zinazokwenda kuboresha elimu/ afya / maji na barabara za nchini mwetu?
 
Asikudanganye mtu nchi hii Bado masikini Sana kuwabebesha Wananchi Kodi lukuki kias hicho hapo hukuzi uchumi zaidi ya kubomoa.Kama Jana njia mbdala ya kupata pesa kuendesha nchi bila kuumiza watu ni Bora akae pembeni
Kwa hiyo unataka mzigo wa kujenga na kuendesha nchi umbebeshe nani kama si wananchi? Kudeka deka tu.
 
Namwonea huruma Rais Samia. Namwunga mkono katika mengi. Aliponikwaza ni kwenye kesi ya kumbambikia Mbowe. Lakini najua siyo maagizo yake.

Naelewa shida kubwa ya upungufu mkubwa wa fedha aliokutana nao kutokana na sera mbaya za uchumi alizokuwa amezianzisha marehemu.

Rais Samia hana namna, la sivyo mambo mengi yatasimama. Wakati tukiendelea kutozana ili kuokoa jahazi, juhudi kubwa zielekezwe kwenye kubadilisha sera na sheria ili zivutie na kuimarisha uwekezaji.
Hapana Mama anakosea sana sidhani kama kipaumbele ni hizo zahanati sijui na madarasa katika uchumi kila tarafa sababu gharama zake ni kuchokonoa uchumi na kuharibu sector ya Mobile money. Ningeelewa kama labda serikali haina pesa kukamilisha miradi ya kimkakati iliyokuwa tayari imeanza lakini sio unaleta tozo za ajabu kutaka kuanzisha kitu kipya ambacho huna uwezo nacho. Hivyo vituo vya afya na madarasa ni kazi ya serikali za mikoa makusanyo ya ndani tu wangeweza kutenga fungu kila mwaka lakini tunajuwa pesa zinazopotea huko ni nyingi sana. Kazi za local goverment zinaenda kufanywa na serikali kuu badala ya kuchochea uchumi ili pesa izunguke zaidi kwa watu ndio kwanza wanapunguza mzunguko. Mama hapa kachemka sana hiyo pesa aliyotamka wamekusanya ni ndogo sana kwa serikali ingeweza kwa njia zingine badala ya kuleta hili kelele kwa watu bila sababu ya msingi. Siku zote kama unaongeza kodi unaongeza kwa service provider japo yeye ataongeza lakini itakuwa kiwango kidogo sababu ya ushindani mwananchi inatosha analipa VAT basi katika bidhaa chukuwa kwa watoa huduma kidogo katika faida zao lakini sio direct tozo kwa mwananchi alfu moja inaweza kuwa ndogo kwangu lakini mtu mwingine alfu ni pesa nyingi sana. Mama kakosea sana katika hili.
 
Back
Top Bottom