Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ila kwenye mafuta ya kula yaliyopanda zaidi ni ya alizeti mengine ya viwandani bei zina nafuu japo zimepanda pia toka mwaka juzi kwa kusukumwa zaidi na aluzeti.Sikatai wanajitahidi ila wapunguze matumizi serikalini pia waangalie mali asili ili kupunguza makali ya maisha.Mfano kama mafuta ya kula kuna nchi zina mafuta ya kula mengi kwa nn wasiagize huko kuliko kucha wananchi tunalia tu mkuu.Mkuu pia nchi haijengwi siku moja sasa hivi kuna cahangamoto ya corona lakini serikali inamiladi mkubwa ambayo inatakiwa hela nyingi ndo maana wanatubana kwa nn wasiangalie ile ya muihimu tu ndo iendelezwe kupunguza makali ya maish.
Miaka 60 ya uhuru story ni zile zile? shule, madarasa, vituo vya afya na mara zote zimekuwa ni kampeni za kujenga utafikiri hii nchi imeanza kuwepo leo....kwa hiyo ni lini tutafikiria hata kurusha satellite yetu angani kama hadi leo tunatumia akili na nguvu nyingi kujenga shule, madarasa, matundu ya vyoo, zahanati....Mkuu Popolation growth na public social service ni vitu vinavyotakiwa kukuwa kwa pamoja, ni bahati sana kama unaishi mijini ni ngumu kuona au kusikia kuna baadhi ya shule watoto wanatembea 10km+ kufuata elimu kila siku. Shule nyingine madarasa yanabeba wanafunzi 100+ , ni miaka 60 sasa baada ya uhuru. Kuna wazazi / wagonjwa wanatembea km 15+ kufuta huduma za matibabu, wazazi wanajifungulia njiani, tuacheni kubeza jitihada hizi japo najua matokeo hayawezi kuonekana ndani ya miezi miwili/ mitatu...
Tumekuwa tukilalamika serikali haiajiri, sasa itahajiri vipi wakati haijengi shule mpya, haiongezi madarasa, haiongezi huduma za afya kwa kupanua na kuongeza vituo vya kutolea huduma???? Tujiulize ni lini tutafikia level za darasa moja kuwa na wanafunzi chini ya 40 kama hizi jitihada hazifanyiki.
Najua tozo zinaumiza, ila nikikumbuka nachangia maendeleo ya nchi yangu napata nguvu ya kuendelea kuchangia. Tukumbuke hata misaada tunayopata kutoka nchi marafiki ni kodi / tozo za wananchi wao. Kwa nini tuunung'unike kwa tozo zinazokwenda kuboresha elimu/ afya / maji na barabara za nchini mwetu?
Miaka 60 ya uhuru story ziwe zile zile za kujenga shule, madarasa, matundu ya vyoo, zahanati kwa emergency, kwa hiyo akili zako na hao punguani wenzako ndo zimeishia hapo kwamba maisha ni kujenga madarasa na matundu ya choo, hopeless!Unauliza kama mpumbavu,ziishw uzazi umepungua? Huku ni Ulaya ambako kuna growth rate ni ndogo au hamna kabisa?
Watu kama nyie mlipomaliza kujibu mitihani mkaoshia hapo hapo,uwe unafuatilia hata nchi zingine,juzi tuu hapo unaona akina Biden wanahaha kupotosha mabilioni ya fedha kwenye sekta ya Afya sasa sijui kama huko kulikoendelea hizo kampeni ziliisha?
Maendelea yataisha siku watu wakitoweka Duniani
VAT,madini, uvuvi , madini,na kodi mbali mbali fedha zake zinakwenda wapi?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi eneo la Tegeta Mkoani Dar es Salaam amesema Tozo zitaendelea kuwepo na hataki kuficha hilo
Amesema, "Tuliweka tozo kwenye mambo ya fedha za mitandao, yamepigiwa kelele sana, nimesikia. Nimekaa na Wataalamu tumepunguza 30%. Miezi miwili tuliyoanza nayo tumekusanya kama Bilioni 60 na zimepelekwa kujenga Vituo 220 vya Afya"
Ameongeza, "Januari tuna wimbi kubwa la Watoto wanataka kuingia Sekondari, lakini wapya wanaoingia Darasa la Kwanza. Hakuna wa kutujengea ni sisi wenyewe. Fedha zitakazokusanywa Septemba na Oktoba zitaenda kujenga madarasa zaidi ya 500"
Wamekuja viongozi / utawala mwingine kwa approach tofauti lakini tunabeza juhudi zao, hatuwezi kutoka hapa tulipo bila kukubali tulikosea huko nyuma. Support yetu ni muhimu naimani kufunga mkanda kwa mwaka mmoja tutaona manufaa ya hizi tozo. Sidhani hata kama CDM / NCCR / ACT watakamata dola tutapata mseleleko kwenye hizi kodi na tozo. Serikali yoyote makini hukusanya na huitaji fedha ili kuwaletea wananchi wake maendeleo ya kweli.Miaka 60 ya uhuru story ni zile zile? shule, madarasa, vituo vya afya na mara zote zimekuwa ni kampeni za kujenga utafikiri hii nchi imeanza kuwepo leo....kwa hiyo ni lini tutafikiria hata kurusha satellite yetu angani kama hadi leo tunatumia akili na nguvu nyingi kujenga shule, madarasa, matundu ya vyoo, zahanati....
Bajeti iliyopitishwa 80% ni kwa matumizi ya kawaida na 20% ndio kwa ajili ya Maendeleo, Sasa ikiwa bajeti kubwa inaenda kulipa mishahara na posho alafu ndogo kabisa ndio inaenda kwenye Maendeleo huoni ni kukwama huko?Wamekuja viongozi / utawala mwingine kwa approach tofauti lakini tunabeza juhudi zao, hatuwezi kutoka hapa tulipo bila kukubali tulikosea huko nyuma. Support yetu ni muhimu naimani kufunga mkanda kwa mwaka mmoja tutaona manufaa ya hizi tozo. Sidhani hata kama CDM / NCCR / ACT watakamata dola tutapata mseleleko kwenye hizi kodi na tozo. Serikali yoyote makini hukusanya na huitaji fedha ili kuwaletea wananchi wake maendeleo ya kweli.
Mimi ningeomba uanishe matumizi yasiyo ya lazima,Bajeti iliyopitishwa 80% ni kwa matumizi ya kawaida na 20% ndio kwa ajili ya Maendeleo, Sasa ikiwa bajeti kubwa inaenda kulipa mishahara na posho alafu ndogo kabisa ndio inaenda kwenye Maendeleo huoni ni kukwama huko?
Mnasema watu walipe tozo na Kodi, mbona hamsemi pia serikali ipunguze matumizi yasiyo ya lazima?
Huna akili ndio maana unaishia kulaumu huna suluhu? Wewe ulivyo mbumbumbu unachokiona serikali inafanya ni madarasa tuu? Huo ni mfano ndio maana una poor reasoningMiaka 60 ya uhuru story ziwe zile zile za kujenga shule, madarasa, matundu ya vyoo, zahanati kwa emergency, kwa hiyo akili zako na hao punguani wenzako ndo zimeishia hapo kwamba maisha ni kujenga madarasa na matundu ya choo, hopeless!
kiongozi nakubaliana na wewe kabisa na namuomba Mungu amnyoshee katika mipango na maono yake......jana katika kata ninayoishi kulikuwa na kikao kizito cha kuamua wapi ijengwe (yaani fedha tayari imeshatinga). wenyeviti na wajumbe wamerumbana vya kutosha mwishowe jibu limepatikana. huku chini tayari watu wameanza kuona kitu, hilo nakuhakikishia kabisa. hivi vikebehi na vimatusi vya kishamba vipo humuhumu mitandaoni na vinasikika sana sababu kuna hofu fulani hivi yenye mchanganyiko wa wivu na chuki.Nasema hivi Samia hadi 2025 atavunja rekodi na kuifunika ya mwendazake kabisaa.
Saizi mataga walichobaki nacho ni kusema eti Magu aliweza bila tozo,ukiwaambia aliweza nini miaka 6 unakuta hakuna kilichokamilika miaka yote hiyo zaidi ya kuvuruga uchumi,kuua,kusumbuana na wapinzani,kuteua na kufukuza,kufika,kutukana na kukunja ndita,wizi na kupiga watu propaganda za tunajenga kwa pesa zetu wakati kumbe ni full mikopo.
Mama hawezi kwenda hiyo njia kwa sababu kwanza tayari amerekebisha uchumi japo kwa kiasi ndio maana mapato ya bandari yameongezeka,Mazao ya wakulima yameongezeka,Kazi kila kona nk sasa kama vipato vya watu vimeongezeka kwa nini asiweke tozo kiasi za kuchangia maendeleo?
Ukienda njia ya mikopo utaishia kuwa kama Zambia,Kenya,Ghana nk kumbuka mikopo ya Sasa sio ya ki LDC bali uchumi wa kati masharti magumu ya kibiashara.
Marehemu aliamuru kuanzishwa kwa wakati mmoja shughuli/miradi mingi inayohitaji fedha nyingi.Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi eneo la Tegeta Mkoani Dar es Salaam amesema Tozo zitaendelea kuwepo na hataki kuficha hilo
Amesema, "Tuliweka tozo kwenye mambo ya fedha za mitandao, yamepigiwa kelele sana, nimesikia. Nimekaa na Wataalamu tumepunguza 30%. Miezi miwili tuliyoanza nayo tumekusanya kama Bilioni 60 na zimepelekwa kujenga Vituo 220 vya Afya"
Ameongeza, "Januari tuna wimbi kubwa la Watoto wanataka kuingia Sekondari, lakini wapya wanaoingia Darasa la Kwanza. Hakuna wa kutujengea ni sisi wenyewe. Fedha zitakazokusanywa Septemba na Oktoba zitaenda kujenga madarasa zaidi ya 500"