Rais Samia: Tozo zitaendelea kuwepo

Siasa ndio zimetuleta hapa huwezi kuukimbia ukweli. Hata jukwaa hili ni la siasa na ndio maisha yetu . Siasa safi huleta maisha nafuu, siasa mbovu hule TOZO na Dhiki.
TOZO ni UFISADI na Haramu. Wananchi kwa nini waumizwe.
Miaka 60 Nchi inaongozwa na GENGE la CCM ikiwa na Raslimali chungu mzima, ziko wapi, wameiba kina Magufuli raslimali zote.

Sasa tunaumiza wananchi mnawaita wanyonge na mnawataka wawe wazalendo. Huku watawala toka enzi za Mkapa , Kikwete na Magufuli wakifanya wizi wa raslimali. na Samia sasa anaona aumize tu wanyonge.
CCM imepoteza uhalali wa kuongoza Nchi. Anachofanya Samia na WAHUNI wenzie ni UGAIDI.
 
Hivyo vituo vinajengwa wap?
Alafu mmekusanya bilion 48 au 60..
 
Mnachekeshaga mashabiki wa vyama vya siasa!

Nshakwambia kama mtoto umemzaa mwenyewe msomeshe mwenyewe basi. Huo ndio ukweli haijalishi unapenda au unachukia CCM na magenge mengine yanayojiita vyama vya siasa. Siasa safi ni kusema ukweli na kusimamia ukweli. Ukweli humweka mtu huru.

Sasa wewe unataka kuniambia kwamba tungeogozwa na NCCR ya mrema au CUF ya lipumba enzi za Mkapa ndio maisha yangekuwa safi? Au kwamba Mbowe angeshinda urais ile 2005 ndio maisha yangekuwa bora kuliko Kikwete wa CCM?
 
Eti vituo 20.
Si wauze ndege zilizopo kiwandani wajenge vituo kibao
 
wakati anatoka madarakani kikwete kulikua na uhaba wa pesa pia je, nae alikua na sera mbaya za kiuchumi?

hili taifa linaumwa kuanzia viongozi hadi wanananchi
 
Swali fikirishi je tozo za simu kitakuwa chanzo cha uhakikka cha ingizo la fedha
 
Hivi anashindwaje kusema kuwa alikuta bwana yule amemaliza pesa kwenye miradi yake isiyopangiliwa
 
Hivi ni kweli kabisa kwamba serikali imeshindwa kabisa kutengeneza vyanzo vya mapato, ila kwa kutumia tozo?! Maana nimemwona Chemba anasema wana mpango wa kuanzisha tozo ya huduma za kimtandao!! Na hizi tozo anaziongelea kama vile wananchi wamezikubali, ila anajua fika huu ni wizi/ujambazi mtupu. Shame on her!
i
 
Tunaomba vunja baraza la mawaziri na kumteu waziri mmzoefu wa fedha
 
Punguzo la TOZO linaanza kutumika lini mbona bado hazijapungua??
 

Super mama. Kazi na iendelee.
 
Kwahiyo hao walio maliza la saba hawakuwa na viti madawati wala madarasa ya kusomea? Tuliwaambieni munapiga vita shule binafsi
 
Hivi hiyo 30% ishaanza kufanya kazi au bado tunaibiwa?
 
wakati anatoka madarakani kikwete kulikua na uhaba wa pesa pia je, nae alikua na sera mbaya za kiuchumi?

hili taifa linaumwa kuanzia viongozi hadi wanananchi
Kikwete alipoingia alikuta hazina ina akiba ya $5 bilioni. Huyu amekuta account ikiwa na zero balalnce.
 
Safi Sana napenda Rais mkweli mda wa propaganda wakati pesa inatakiwa ulienda na Mwendazake.

Tozo ziko pale pale na lazima Nchi isonge mbele na kitu kizuri matokeo yanaonekana ila kwa wajinga unaachana nao na kuwapuuza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…