MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Diwani, Biswalo, Kilangi et al.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au njombe kwa ole sendekaSiyo mbaya ampeleke Mwanza.
Waziri mkuu ni lazima awe mbunge wa kuchaguliwa!Hii imekaa fresh.
😁😁😁😁😁👤Ndiyo mkuu,naelekea Dom kama Arasii mpya wa mkoa mpya wa Chato
kina Makamba na NapelenyeMama anajua kuchagua sana maana hata wale "wenye hili na lile" amewaacha
Serikali huwa hailali Bwashee.Hujamuelewa.
Hayo maagizo kawapa wayatekeleze wakati wa sikukuu?!
Kama una ghetto hapo Dom nikaokomodeti, baada ya inagurasheni tutajua namna ya kusaidiana😁😁😁😁😁👤
Kilangi atabakiDiwani, Biswalo, Kilangi et al.
Mama anatulaza na viatu, Yani IGP analala na viatu, moja haishiki mbili haishiki.Rais Samia Suluhu Hassan amesema Jumanne kutakuwa na uapisho wa wateule wengine Ikulu, Dodoma.
Je, ni nani hao watakaoteuliwa na kuapishwa?
Ngoja tuone.
Maendeleo hayana vyama!
Njoo Bwashee utalala Nzuguni kwenye nyumba ya MekoKama una ghetto hapo Dom nikaokomodeti, baada ya inagurasheni tutajua namna ya kusaidiana
kina Makamba na Napelenye
OkWaziri mkuu ni lazima awe mbunge wa kuchaguliwa!
Hakuwa na dini yule, huoni hata matendo yake mengi hayakuwa na uchaji wa Mungu pamoja na kujionyesha hadharani kua ni mcha Mungu.Kwani yeye haienzi kaulimbiu ya hapa Kazi tu,Magu alikuwa hana weekend wala sikukuu yeye anateua na kuapisha hata jumapili[emoji23][emoji23]
Ni mbunge wa jimbo gani?Waziri mkuu bashiru
Ni mbunge wa jimbo gani?
Unatuonaje watu wa Mwanza?Boom!Mara Bashite karudishwa Ukuu wa Mkoa akapewa Mwanza.
Na "wenye mbele".Mama anajua kuchagua sana maana hata wale "wenye hili na lile" amewaacha