Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Uchumi unatakiwa uakisi mezani kwa maana Awamu ya yule Punguwani hata Vitumbua vilikauka mezani.

Uchumi wa kati watu walikuwa wanashindia mlo mmoja uchumi gani sasa?
Yaani ukomi kumuongelea magu??!!muongelee mama yako huyu kila siku janga tu hana hata jipya🙄🙄🙄🙄🙄 kinyesi wewe
 
Yaani ukomi kumuongelea magu??!!muongelee mama yako huyu kila siku janga tu hana hata jipya🙄🙄🙄🙄🙄 kinyesi wewe
Kwanini nisimuongelee wakati ni yeye ndie alietaka nimuongelee

Kama ni hivyo angebaki Chato asingejihusisha na siasa nani angemuongelea.
 
Sisi Kama siri kali tumeonelea tuongeze vijitozo Uchumi wa Kati umetushinda tumerudisha uchumia tumbo angalau tusikose vyote
 
Hivi tuliwahi kuwa uchumi wa kati kwa vigezo vipi?
Mbona mimi sikufaidika!
 
Kwa kweli huyu Mama hii nchi ishamshinda....alishaambiwa asimsikilize JK lakini hataki tu, matokeo yake ndiyo haya.
 
Magufuli alikuwa ana cook data ili aonekane mzuri. Ukosefu wa ajira upo karibia asilimia 80, unaingiaje uchumi wa kati?
 
Magufuli alikuwa ana cook data ili aonekane mzuri. Ukosefu wa ajira upo karibia asilimia 80, unaingiaje uchumi wa kati?
Kwani yeye ndiye aliyejiingiza au vipi vyombo na vigezo vilivyotumika?. Mwacheni Mwendazake apumzike kwa amani.
 
Kwani yeye ndiye aliyejiingiza au vipi vyombo na vigezo vilivyotumika?. Mwacheni Mwendazake apumzike kwa amani.
Yeye ndo alikuwa ana cook data anazipeleka world bank...mzee wa fix. Hawezi pumzika, anateseka huko aliko
 
Hivi tuliwahi kuwa uchumi wa kati kwa vigezo vipi?
Mbona mimi sikufaidika!
Kwani marekani hakuna maskini japo ni taifa taifa tajiri duniani, unataka pesa ziwe zinakuja mfukoni mwako bila kufanya kazi acha upumbavu wa kifikra.

Waliotuweka uchumi wa kati mwaka 2019 ndio waliotuondoa Feb 2022.
 
Kuomba omba misaada kumelud tena!!!!


Ndo maana!!!
 
Hoja iko mezani, lete counterarguments. Nimekuwekea na reference. Mapenzi ya kijinga bila hoja inaonyesha jinsi ulivyomufisili.
Hayo mashirika yangekuwa yanafanya kazi zao kwa fikra zako hata yasingekuwepo
 
Hoja iko mezani, lete counterarguments. Nimekuwekea na reference ya ugomvi wa Magufuli na IMF juu ya data za kubumba zisizo halisia. Sijui unabisha nini tu. Mapenzi ya kijinga bila hoja inaonyesha jinsi ulivyomufisili.
 
Kumbe yeye ndio alitangaza?Nilijua ni WB? So rais wa nchi akitangaza tu kuwa nchi ipo uchumi wa kati na WB nao kwenye taarifa zao wana update?
 
Lete hoja. Acha matusi. Hauna hoja kabisa??!! Kicha chako ni tupu kabisa yaani!!?? Ulichoandika hapa chini ndio kimejaa ndani ya kichwa chako!! Loh!
Ki

Kichwa chako kimejaa utegemezi, toka kwa mjomba nenda kaangaike ndugu achana na utegemezi! Na haya ndo madhara ya maziwa ya kopo!
 
Huwezi kuelewa maana neno UCHUMI limekupita pembeni
Miradi mikubwa ndio inayotoa ajira, miradi mikubwa ndio inayoweza kutoa uhakika wa upatikanaji wa huduma muhimu kama nishati nk ambazo ndio economic indicators ambazo hutumika na mashirika hayo ku rank Mataifa kwenye maendeleo, we zuzu😎.
huo upuuzi mwingine ulioandika hapo sijui kuhusu fedha za madawa ya kulevya sijui viungo vya albino,sijui hata ulitaka kusema nini maana inaonekana hata kuandika vitu kama mtu anayejitambua huwezi,poor you😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…