MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Hangaya hajielewi. Misemo yake tata ndio inasababisha kina Ndugai wamrushie mayai viza.Nikiendelea na uchambuzi wa hotuba ya juzi ya Rais Samia, kuna sehemu alisema walikaa kikao cha watu watatu, yaani yeye Rais, Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kuhusu kufanya maamuzi juu ya masuala mkopo na hali ya nchi kwenye ukopeshwaji!
Kauli hiyo imenitia mashaka? Nimejiuliza iko wapi nafasi ya baraza la mawaziri kwenye kufanya maamuzi magumu kama hayo kwa maslahibya nchi?
Marehemu alikuwa anakaa na nani...
Si bora hata Mama kasema yaliyojiri..
Naam He has acted as a Bigger Man..., Kwa Maslahi mapana ya Nchi..., Hapa Taifa ndio limepoteza kuonyesha kwamba ukiwa mbishi / tofauti unapata mashinikizoSawa mkuu, Ndugai kasepa mwenyewe sasa.
Maana yake mama hana tofauti na marehemu. Ni chatu wale wale.Marehemu alikuwa anakaa na nani...
Si bora hata Mama kasema yaliyojiri..
Kuwa disbursed awamu ya sita sasa kwanini tuendelee kukopa? Yaani umeshapewa pesa trillion 8.7 halafu bado unakopa tena trillion 1.3, means trillion 10 za mkopo zimekuwa availed kwake ndani ya kioindi cha miezi 9, na bado anaendelea kukopa, mnataka tupigwe mnada?!Wewe ni kenge jike unasubiria kupandwa tuu uzae maana umeelezwa huelewi,majitu kama nyie mwendazake alikuwa anawatia kwenye viroba na kutupwa bahatini.
Serikali imesema mkopo wa Samia ni til 1.3,, hiyo mingine ilitafutwa na kina Mpango enzi za Jiwe,but haikuwa disbursed.
Imeanza kutolewa kipindi cha mama na ilishasainiwa na kubainishwa itakavyotumika sasa sijui wewe mpuuzi unataka nini unless huna Kazi za kufanya..
Mara kadhaa nimeweka humu jukwaani maelezo ya hiyo mikopo lakini huelewi kama nguruwe yuko kwenye period.
Mna akili tope sana. Kwahiyo awamu ya tano haikuwepo, ya sita isiwepo na kwa hiyo huu ni mfumo ambao unatakiwa kuendelea na hakuna mwenye haki ya kuhoji.Kwenye awamu ya 5 nafasi ya hilo bunge ilikuwepo?...
Nikiendelea na uchambuzi wa hotuba ya juzi ya Rais Samia, kuna sehemu alisema walikaa kikao cha watu watatu, yaani yeye Rais, Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kuhusu kufanya maamuzi juu ya masuala mkopo na hali ya nchi kwenye ukopeshwaji!
Kauli hiyo imenitia mashaka? Nimejiuliza iko wapi nafasi ya baraza la mawaziri kwenye kufanya maamuzi magumu kama hayo kwa maslahibya nchi?
Punguzeni kelele basi... Get matured.Hii reference ya Past unatakiwa kujifunza kuiacha. Kwenye makosa.... hakuna si bora huyu kuliko huyu .......
Hatuwezi kusema kufanya kosa ni bora ya huyu kuliko yule. Suala la mwendazake halipo tena , halitokusaidia kitu , yeye alienjoy maisha wakati yupo hai, ameshakufa na wewe pia utakufa na yule na Mimi , tusione Mtu akifa ni kama vile ameadhibiwa, ni ujinga kuwaza hilo maana hata wewe utakufa... ni suala la Muda tu . So tujadili hoja kwa mapana.
Hoja ya msingi ni hiki anachofanya Mama ; Deep down kauli ya ndungai, na kujiuzulu kwake, kuna maelezo mengi nyuma ya pazia.
Tatizo kubwa wa TZ, hatujawahi kupewa uwezo wa kufikiri, lakini , ukimtizama Ndungai, speaks louder than what has been presented in Media.
Ninaamini hili suala halipo sawa, something is being cooked : only time will tell
Ushatoka chato kufagia kwenye kaburi la yule shetani?
Enzi zake alikuwa alfa na omega haitaji hata mkewe achilia mbali bunge na mawaziri amshauri.
Na maamuzi yake ndo kila kitu.
Muacheni mama afanye apendavyo wanafki wakubwa nyinyi.
Wewe ni kima,kwa hiyo mahitaji yameisha au? Na ndio target ya serikali kupata til.10 kwa mikopo kwenye bajeti ya mwaka huu.Kuwa disbursed awamu ya sita sasa kwanini tuendelee kukopa? Yaani umeshapewa pesa trillion 8.7 halafu bado unakopa tena trillion 1.3, means trillion 10 za mkopo zimekuwa availed kwake ndani ya kioindi cha miezi 9, na bado anaendelea kukopa, mnataka tupigwe mnada?!
Trillion 10 kwa ajili ya madawati na vinavyofanania? HahahWewe ni kima,kwa hiyo mahitaji yameisha au? Na ndio target ya serikali kupata til.10 kwa mikopo kwenye bajeti ya mwaka huu.
Yaani uache mkopo wa riba free eti Kwa vile kuna mikopo ya riba.Kwa taarifa yako tutakopa zaidi mikopo ya hivyo Ili kulipa madeni ya nyuma na kupeleka kwenye miradi.
Usichoelewa hata hiyo til.8.7 ni mikopo ya miradi,kumbe mnafurahia tuu barabara mara mqendokasi hamjui zilikotoka sio?
Mbowe sio gaidi kubali ama kataa.Naam He has acted as a Bigger Man..., Kwa Maslahi mapana ya Nchi..., Hapa Taifa ndio limepoteza kuonyesha kwamba ukiwa mbishi / tofauti unapata mashinikizo
Rasmi Bunge ni Rubber Stamp (Sad Times for our Country)
KumamayoUshatoka chato kufagia kwenye kaburi la yule shetani?
Enzi zake alikuwa alfa na omega haitaji hata mkewe achilia mbali bunge na mawaziri amshauri.
Na maamuzi yake ndo kila kitu.
Muacheni mama afanye apendavyo wanafki wakubwa nyinyi.