Rais Samia: Tulikaa kikao na Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kujadili mkopo. Iko wapi nafasi ya Baraza la Mawaziri?

Aliyemtangulia alikuwa na confidence iliyopitiliza, Matokeo yake akawa anaogopwa mpaka watu wanashindwa kufanya kazi kwa amani.
 
Makusanyo yanaongezwa kwa tozo za simu, ambazo pia zinalalamikiwa. Tatizo wabongo wanataka kwenda mbinguni lakini kifo wanakiogopa.

Mama anafaa sana kuwa kiongozi, hana ukatili, anayo fairness. Anajua kuongea na wasio watanzania, hana majivuno yasiyo na kichwa wala miguu na anayo convincing power ya kufikia muafaka baada ya mazungumzo mazito kwa faida ya Tanzania.
 
Kwa vile marehemu alikuwa anakosea ni sawa mama nae kufuata nyayo hizo hizo?

Kwa hiyo hata kumfunga Mbowe ni sahihi pia?

Hivyo vichwa mmejaza makamasi tu?
Ni sahihi sababu alifikia stage akaanza kukosa adabu wazi wazi
 

 
Fairness ya kuongeza majobless na kurudisha ada, tozo na inflation?
 
Ndio majukumu ya waziri wa fedha. Ni kila sekta kabla hayajafanyika maamuzi makubwa waziri husika hukaa pamoja na rais na katibu mkuu kiongozi.
Hoja ni je bunge hushirikishwa? Najua kwenye hatua za mwanzo wanaweza kuwa hata watu wawili au watatu. Ila wakisha-draft kila kitu bunge hushirikishwa? Na kama linashirikishwa mbona Ndugai analalama sasa hivi?
 
🚮
 
Majobless wapo tangu awamu ya kwanza. Umeusahau msemo maarufu wa awamu ya tano. Kwamba asiyefanya kazi na......
Unafikiri ni raia kiasi gani wamepoteza uwezo wa kuzalisha hata 10K kwa siku tokana na biashara zao za kubangaiza za kimachinga kufilisiwa
 
Hoja ni je bunge hushirikishwa? Najua kwenye hatua za mwanzo wanaweza kuwa hata watu wawili au watatu. Ila wakisha-draft kila kitu bunge hushirikishwa? Na kama linashirikishwa mbona Ndugai analalama sasa hivi?
Ndugai hakutegemea huu muitikio wa Rais Samia na wanachama wa CCM. Alidhani kila kitu kitakuwa kama mazoea yalivyo.
 
Hivi unajua implication ya kauli yake mbele ya lenders yakuwa wametumia mkopo kulipa deni na waziri alimshauri kwa sasa uwezo wa makusanyo kulipa madeni shida.

Trust me if you know anything about public finances and national debt management ile ni kauli ya ovyo mno kutamkwa na kiongozi wa nchi; ni kama kujiwashia green light kwa IMF/WB hali yetu tete huku.

Hajui ata madhara ya kauli zake, kwa nchi.
 
Rais kasema alikaa na nani?wewe unaeleza taratibu, bibi yeye anaeleza kilichofanyika. Kwa akili ya kawaida kuonyesha alipata idhini asingetaja hako kakikao bali angetaja kikao cha baraza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…