Utuambie kwanza mpaka anakopa 29t Marehemu JPM alikuwa anakaa na nani?Nikiendelea na uchambuzi wa hotuba ya juzi ya Rais Samia, kuna sehemu alisema walikaa kikao cha watu watatu, yaani yeye Rais, Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kuhusu kufanya maamuzi juu ya masuala mkopo na hali ya nchi kwenye ukopeshwaji!
Kauli hiyo imenitia mashaka? Nimejiuliza iko wapi nafasi ya baraza la mawaziri kwenye kufanya maamuzi magumu kama hayo kwa maslahibya nchi?
Hapa si mlikuwa mnasema TUNAJENGA KWA KODI ZETU??Hoja ni kwamba deni limetuelemea na Hilo linajulikana wazi!Hiyo ndio hoja kuu!
Tunakopa kulipa mkopo maana Kwa mapato yetu hatuwezi!
Deni litaendelea kupaa,subiri mpaka mwezi wa 6 utaona deni limefika wapi!
Kwanini Ndugai hakuanza kuhoji mikopo iliyokuwa inakopwa kwa siri bila bunge kuhusishwa na manunuzi ya ndege nakadhalika pasipo muhuri wa bunge ama kujadiliwa? Kwanini aanze kuhoji wakati huu tena mkopo wa wazi kabisa ambao umma umefahamishwa pamoja na matumizi yake kuwa ya wazi.
Hapo ndipo wenye akili wanapohoji uhalali wa Ndugai kuhoji mkopo wa sasa tena wa 1.3 tr nakuacha mikopo kibao ya awamu ya tano iliyokopwa gizani.
CAG katika ukaguzi wake alibaini kutoonekana kwa matumizi ya zaidi zaidi ya 1.5 trilion lakini Ndugai hakuhoji badala yake CAG aliondolewa kinyume cha sheria.
Ndio apendavyo.Afanye apendavyo duuh[emoji3]
Hoja ni je bunge hushirikishwa? Najua kwenye hatua za mwanzo wanaweza kuwa hata watu wawili au watatu. Ila wakisha-draft kila kitu bunge hushirikishwa? Na kama linashirikishwa mbona Ndugai analalama sasa hivi?
Nani alikuwa anasema?Usinijumlishe humo!Hapa si mlikuwa mnasema TUNAJENGA KWA KODI ZETU??
Bunge linatakiwa lishirikishwe kuidhinisha mikopo? Kwa kifungu kipi cha katiba?Hoja ni je bunge hushirikishwa? Najua kwenye hatua za mwanzo wanaweza kuwa hata watu wawili au watatu. Ila wakisha-draft kila kitu bunge hushirikishwa? Na kama linashirikishwa mbona Ndugai analalama sasa hivi?
Nafasi ya bunge ni ipi katika kuidhinisha mikopo?Kikao cha mawaziri huwa kinaitishwa baada ya kwanza waziri wa sekta husika kukaa na rais na katibu mkuu kiongozi na kujadili kipi kitaongelewa. Ni preliminary meeting,
Suala likiwa ni la wizara ya michezo atakaa na waziri wa michezo na katibu mkuu kiongozi wakishaafikiana ndio kinaitishwa kikao cha mawaziri wote.
Kwahiyo akili yako inaishia hapo? Katiba inapozungumzia wajibu mkuu wa bunge ni kuisimamia serikali na kuishauri unadhani ililenga nini? Kwahiyo mpaka katiba itamke kwamba miongoni moja ya wajibu wa bunge ni kuidhinisha mikopo?Tukiacha ushabiki wa kivyama na Unafiki, Hoja ya Spika haijajibiwa
Bajeti ya 32T au 34T au 36 T ni ya serikali yote including taasisi zake ambazo hazitegemei makusanyo ya TRA kujiendesha. Kwa hiyo kama naksi ipo, basi haiwezi kufika 10Twww.jamiiforums.com
Duh!...usipaniki bhana....Kama awamu ya 5 walikuwa wanakunya nje na hii nayo ni sawa kuendelea kunya nje?
NI ile ile ya miaka yote.Nafasi ya bunge ni ipi katika kuidhinisha mikopo?
Vichaa hawa achana nao,kunya anye kuku,akinya bata kaharishaMarehemu alikuwa anakaa na nani...
Si bora hata Mama kasema yaliyojiri..
Wapumbavu nini!??
Na nafasi ya bunge ambao ndio wawakilishi wa wananchi kwenye masuala ya kulitia taifa madeni ya riba za ajabu ajabu ni ipi?! Wabunge walipewa fursa ya kukubali au kukataa kukopa kwa ajili ya Zanzibar halafu deni tulipe sisi?!Nikiendelea na uchambuzi wa hotuba ya juzi ya Rais Samia, kuna sehemu alisema walikaa kikao cha watu watatu, yaani yeye Rais, Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kuhusu kufanya maamuzi juu ya masuala mkopo na hali ya nchi kwenye ukopeshwaji!
Kauli hiyo imenitia mashaka? Nimejiuliza iko wapi nafasi ya baraza la mawaziri kwenye kufanya maamuzi magumu kama hayo kwa maslahibya nchi?
Makamu wa Raisi na yeye hana nafasi yupo kama naibu waziri tuNafas ya Bunge pia haipo alaf anaenda kumshambulia ndugai , na wengine wanashangilia what a shame
Mapovu ya nini kunguni wewe.?Wewe ni mbuzi, aliyekwambia kila maamuzi yanahitaji Baraza la Mawaziri ni nani? Ndio maana ya kuwepo Katibu wa Baraza la Mawaziri Chief Secretary
Mkuu inaonekana umri wako bado ni mdogo sana. Umeshindwa kuelewa kuwa upo muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Nchi ikiuzwa mama hajali.. yeye anaenda zake Zanzibar
Soma uelewe. Najua nchi yetu ina tatizo la elimu lakini jitihadi uelewe kitu tunachojadili.Bunge linatakiwa lishirikishwe kuidhinisha mikopo? Kwa kifungu kipi cha katiba?
Anahoji ktk kikao cha wagogo wakati ana nafasi ya kutumia kamati ya fedha na mipango iliyopo chini yake kuweni na AKILI ni yatimaNafasi ya Ndugai iko wapi hapa? hii akili ndogo inayotuongoza itatupeleka pabaya zaidi, na ndio sababu Ndugai alihoji juu ya hii mikopo.
Matokeo yake badala ya kujibu hoja ya Ndugai kwa kujua amekosea akaona dawa yake amkodishie kikundi cha mipasho toka mikoani wakamsute ikulu.
Trillion 10 ndani miezi 9 kwa ajili ya madarsa, madawati na Zanzibar , au sio?Marehemu alikuwa anakaa na nani...
Si bora hata Mama kasema yaliyojiri..
Wapumbavu nini!??