Rais Samia: Tulikaa kikao na Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kujadili mkopo. Iko wapi nafasi ya Baraza la Mawaziri?

Utuambie kwanza mpaka anakopa 29t Marehemu JPM alikuwa anakaa na nani?
 
Hoja ni kwamba deni limetuelemea na Hilo linajulikana wazi!Hiyo ndio hoja kuu!
Tunakopa kulipa mkopo maana Kwa mapato yetu hatuwezi!
Deni litaendelea kupaa,subiri mpaka mwezi wa 6 utaona deni limefika wapi!
Hapa si mlikuwa mnasema TUNAJENGA KWA KODI ZETU??
 
 
Afanye apendavyo duuh[emoji3]
Ndio apendavyo.

Kama ambavyo wengine walifanya wapendavyo wanafki kama ninyi mkakaa kimya kwa kigezo cha anayefanya ni mzalendo 'kweri' kweri.
 
Sio kila jambo linahitaji kikao cha baraza la mawaziri. Sasa ikiwa kila jambo kihitaji baraza la mawaziri iko wapi nafasi ya Rais kufanya maamuzi sahihi kwa mujibu wa katiba kwa mustakabali wa taifa.

Kwa katiba iliyopo Rais ana maamuzi makubwa mno na hakuna chakumfanya. Katiba mpya ni moja ya suluhisho la matatizo kama haya.
 
Hoja ni je bunge hushirikishwa? Najua kwenye hatua za mwanzo wanaweza kuwa hata watu wawili au watatu. Ila wakisha-draft kila kitu bunge hushirikishwa? Na kama linashirikishwa mbona Ndugai analalama sasa hivi?
 
Hoja ni je bunge hushirikishwa? Najua kwenye hatua za mwanzo wanaweza kuwa hata watu wawili au watatu. Ila wakisha-draft kila kitu bunge hushirikishwa? Na kama linashirikishwa mbona Ndugai analalama sasa hivi?
Bunge linatakiwa lishirikishwe kuidhinisha mikopo? Kwa kifungu kipi cha katiba?
 
Nafasi ya bunge ni ipi katika kuidhinisha mikopo?
 
Kwahiyo akili yako inaishia hapo? Katiba inapozungumzia wajibu mkuu wa bunge ni kuisimamia serikali na kuishauri unadhani ililenga nini? Kwahiyo mpaka katiba itamke kwamba miongoni moja ya wajibu wa bunge ni kuidhinisha mikopo?

Sifa mojawapo ya katiba ni "bravity" kwa maana huzungumzia mambo kwa ufupi sana bali sheria nyinginezo ndo huweka mambo kwa undani wake.

Pia katiba moja ya sifa yake ni kwamba inaeleza mambo in general. Kwahiyo kitendo cha katiba kueleza tu kwa ujumla kwamba miongoni mwa majukumu makuu na muhimu ya muhimili wa bunge ni kuisimamia serikali. Inaisimamiaje serikali no kama hivi mambo ya kujadili na kupitisha ama kuikataa bajeti ya serikali kwa maslahi mapana ya wananchi.
 
Marehemu alikuwa anakaa na nani...
Si bora hata Mama kasema yaliyojiri..

Wapumbavu nini!??
Vichaa hawa achana nao,kunya anye kuku,akinya bata kaharisha
 
Na nafasi ya bunge ambao ndio wawakilishi wa wananchi kwenye masuala ya kulitia taifa madeni ya riba za ajabu ajabu ni ipi?! Wabunge walipewa fursa ya kukubali au kukataa kukopa kwa ajili ya Zanzibar halafu deni tulipe sisi?!
 
Nafas ya Bunge pia haipo alaf anaenda kumshambulia ndugai , na wengine wanashangilia what a shame
Makamu wa Raisi na yeye hana nafasi yupo kama naibu waziri tu
 
Anahoji ktk kikao cha wagogo wakati ana nafasi ya kutumia kamati ya fedha na mipango iliyopo chini yake kuweni na AKILI ni yatima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…