Rais Samia: Tumerudisha nyongeza ya mishahara ya mwaka kwa Wafanyakazi

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Rais Samia akiwa katika Sherehe za Siku ya Wafanyakazi mkoani Morogoro amebainisha kuwa nyongeza za mishahara za mwaka ambazo kwa muda mrefu zilikuwa zimesitishwa, zimerudishwa mwaka huu

Amesema “Wafanyakazi wote mwaka huu, mbali na Kupanda Madaraja, na mambo mengine, kuna nyongeza za mishahara za kila mwaka kuanzia mwaka huu na kila miaka ijayo kama zamani”

Aidha, ameongeza kuwa nyongeza hizo hataziweka hadharani kuzuia tabia ya Watu kupandisha bei za bidhaa madukani mara nyongeza hizo sisemwapo hadharani

 
Kwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.


Ambayo wala siyo kitu cha ajabu, Kwasababu ni ipo kisheria.


Pili, siyo hata pesa ya maajabu.


Ni Tsh 5,000, au Tsh 7,000, au Tsh 15,000, inategemeana na kiwango Cha Mshahara wako.


Tatu, hicho kiwango utakachopewa ujue labda kama ni Tsh 7,000 mtakigawana kwenye Makato ya LAZIMA ya vyama vya wafanyakazi na, Kodi.


Kwahiyo, KUSUBIRIA mwaka mzima, uongezwe Elfu 7 halafu ikatwe ubaki na AFU TATU ni mtindio wa UBONGO.
 
Kwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.


Ambayo wala siyo kitu cha ajabu, Kwasababu ni ipo kisheria.


Pili, siyo hata pesa ya maajabu.


Ni Tsh 5,000, au Tsh 7,000, au Tsh 15,000, inategemeana na kiwango Cha Mshahara wako.


Tatu, hicho kiwango utakachopewa ujue labda kama ni Tsh 7,000 mtakigawana kwenye Makato ya LAZIMA ya vyama, Kodi.


Kwahiyo, KUSUBIRIA mwaka mzima, uongezwe Elfu 7 halafu ikatwe ubaki na AFU TATU ni mtindio wa UBONGO.
Inategemea na daraja pia ,in short Kuna mambo hataki kuyaweka hadharani!!
Pili jiongeze ndugu inchi Ina fursa kibao kopa wekeza
 
Kwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.


Ambayo wala siyo kitu cha ajabu, Kwasababu ni ipo kisheria.


Pili, siyo hata pesa ya maajabu.


Ni Tsh 5,000, au Tsh 7,000, au Tsh 15,000, inategemeana na kiwango Cha Mshahara wako.


Tatu, hicho kiwango utakachopewa ujue labda kama ni Tsh 7,000 mtakigawana kwenye Makato ya LAZIMA ya vyama, Kodi.


Kwahiyo, KUSUBIRIA mwaka mzima, uongezwe Elfu 7 halafu ikatwe ubaki na AFU TATU ni mtindio wa UBONGO.
Sad
 
Kwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.


Ambayo wala siyo kitu cha ajabu, Kwasababu ni ipo kisheria.


Pili, siyo hata pesa ya maajabu.


Ni Tsh 5,000, au Tsh 7,000, au Tsh 15,000, inategemeana na kiwango Cha Mshahara wako.


Tatu, hicho kiwango utakachopewa ujue labda kama ni Tsh 7,000 mtakigawana kwenye Makato ya LAZIMA ya vyama, Kodi.


Kwahiyo, KUSUBIRIA mwaka mzima, uongezwe Elfu 7 halafu ikatwe ubaki na AFU TATU ni mtindio wa UBONGO.

Si sawa na kukosa kabisa kabisa.
Hiyo 5,000, 7000 unayoidharau mwenzako anaiona kama milioni.
 
Si sawa na kukosa kabisa kabisa.
Hiyo 5,000, 7000 unayoidharau mwenzako anaiona kama milioni.
Sio kweli 5000 na 7000 haiwezi Kuwa kubwa hivyo.
Kitu pekee alipaswa kuondoa tozo kwenye miamala ya ATM. Kuliko kuongeza 5000 au 7000. Bora angewaondolea tozo za miamala kwenye ATM.

Tozo kwa mwezi bank Sasa hivi inafika hadi 18000
 
Sio kweli 5000 na 7000 haiwezi Kuwa kubwa hivyo.
Kitu pekee alipaswa kuondoa tozo kwenye miamala ya ATM. Kuliko kuongeza 5000 au 7000. Bora angewaondolea tozo za miamala kwenye ATM.

Tozo kwa mwezi bank Sasa hivi inafika hadi 18000
HV mnaochangiaga Hz mada huwa NI wafanya KAZI?nyongeza za mshahara Enzi za jk ilikuwa 5000 au 7000?
 
Sio kweli 5000 na 7000 haiwezi Kuwa kubwa hivyo.
Kitu pekee alipaswa kuondoa tozo kwenye miamala ya ATM. Kuliko kuongeza 5000 au 7000. Bora angewaondolea tozo za miamala kwenye ATM.

Tozo kwa mwezi bank Sasa hivi inafika hadi 18000
Nakubaliana na wewe ila mie pointi yangu ni kwamba hiyo elfu 5 na 7 mnayoidharau sii sawa na 0 hasa kwa watu wenye hali ngumu.
 
Hongereni,watumishi hakika mh Rais amesikia maumivu makali mliyoyapa kipindi Cha miaka takribani sita iliyopita!!

Annual increment sio Hab.a,kama Utawala iliyopita ambayo ulijinasibu ni Wawanyonge ingefata hii Sheria hakika mngekuwa mbali!!. Fupa lillilo mshinda mtangulizi wa mama Samia la kushindwa kuongeza increment lilitia doa historia ya utumushi Tanzania!!

Mbali na Mh Samia kurudisha increment, of pia amefungua milango ya ajira iliyoshindikana Kwa mtangulizi wake!!, Hakika vijana militeseka, Sasa mnaona nuru!!.

Pia,Mama yetu ameondoa makato ya kikatili Kwa wahitimu wa bodi ya mikopo!! Yaani Retention fee, malipo haya kiukweli yalikuwa ni kandamizi ambayo yaliasisiwa na mtangulizi wake!!

Pia mama ameongeza boom,hakika Mama anaweza!!
 
Rais Samia akiwa katika Sherehe za Siku ya Wafanyakazi mkoani Morogoro amebainisha kuwa nyongeza za mishahara za mwaka ambazo kwa muda mrefu zilikuwa zimesitishwa, zimerudishwa mwaka huu

Amesema “Wafanyakazi wote mwaka huu, mbali na Kupanda Madaraja, na mambo mengine, kuna nyongeza za mishahara za kila mwaka kuanzia mwaka huu na kila miaka ijayo kama zamani”

Aidha, ameongeza kuwa nyongeza hizo hataziweka hadharani kuzuia tabia ya Watu kupandisha bei za bidhaa madukani mara nyongeza hizo sisemwapo hadharani

View attachment 2606001
Huyu presidaa angekuwa anapita huku vilingeni ningemtumia angalau mbili kumpongeza kwa kazi nzuri iliotukuka....
 
Hongereni,watumishi hakika mh Rais amesikia maumivu makali mliyoyapa kipindi Cha miaka takribani sita iliyopita!!
Annual increment sio Hana,kama Utawala iliyopita ambayo ulijinasibu ni Wawanyonge ingefata hii Sheria hakika mngekuwa mbali!!
Fupa lillilo mshinda mtangulizi wa mama Samia la kushibdwa kuongeza increment lilitia doa historia ya utumushi Tanzania!!
Mbali na Mh Samia kurudisha increment pia amefungua milango ya ajira iliyoshindikana Kwa mtangulizi wake!! Hakika vijana militeseka Sasa mnaona nusu!!
Pia,Mama yetu ameondoa makato ya kikatili wa wahitimu wa bodi ya mikopo!! Yaani Retention fee, malipo haya kiukweli yalikuwa ni kandamizi ambaya yaliasisiwa na mtangulizi wake!!
Pia mama ameongeza boom,hakika Mama anaweza!!
usijekimbia wasubiri sukuma gang na wafia legacy ya mwendazake.
 
Sio kweli 5000 na 7000 haiwezi Kuwa kubwa hivyo.
Kitu pekee alipaswa kuondoa tozo kwenye miamala ya ATM. Kuliko kuongeza 5000 au 7000. Bora angewaondolea tozo za miamala kwenye ATM.

Tozo kwa mwezi bank Sasa hivi inafika hadi 18000
Apunguze Kodi, PAYE.

Awaambie vyama vyake vinavyojiita vya wafanyakazi wapunguze Makato, wanaumiza wafanyakazi.

Africa mashariki yote, Tanzania ndio wafanyakazi wanakatwa Kodi kubwa.

KIKOKOTOO Cha KUSTAAFU ni uonevu.


Madaraja yapande kwa wakati.
 

Attachments

  • IMG_20230414_194308.jpg
    IMG_20230414_194308.jpg
    56.6 KB · Views: 13
Back
Top Bottom