Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weewe ni wale wale msoataka kukubali jamaa alidhamiria kuifanya tanzania iwe nchi ya viwanda akakazania kufika huko lazima tuwe na barabara za uhakika/ hospital za uhakika na umeme wa uhakika lakini enzi hizi mvua zinanyesha na umeme hakuna wewe utakuwa mchumia tumbo unayeishi lumumbaJamaa alivuruga mambo mengi sana.
Na usipoongezewa hata mia makato ya ATM unasamehewa?Sasa ukiongezewa 5000 au 7000 alafu ukawekewa makato ya tozo kwenye ATM unakua umeongezewa nini?
Yaani ukiwa kazini wanaona Kama unawabania mambo yao.""Na ukishaajiriwa huko KUHAMA ni Kama unataka kupindus serikali.""
I understand You.
#YNWA
Kuna watu uwezo wao wa kujenga hoja ni mdogo sana kutokana na level ya elimu waliyonayo, ila kwako nimegundua huna kabisa huo uwezo, na siamini kuwa una level ndogo ya elimu ninachokiona kina miss ni quality tu basi.Kwahiyo, mishahara ya wabungr, waasiasa, wafanyakazi wa mashirika yenyewe haina haha ya kuwa consolidated.
Ila Mshahara wa mfanyakazi Halmashauri, ndio unatakiwa kuwa consolidated.
Haya salary slip hiyo hapo chini, nambie upi ni MSHAHARA, ipi ni TRANSPORT ALLOWANCE na ipi ni HOUSE ALLOWANCE??
Kwahiyo Kama zamani walikuwa wanaonesha, kilichomfanya waache kuonesha ni Nini?
Michango ya mwenge ni hiari, haipo kisheria.
Ila ukiandikiwa barua ya VITISHO kutoka kwa Mwajiri wako, utoe mchango.
Na majina ya wote waliochanga yapelekwe kwake.
HAKUNA uhiari Tena hapo.
Hususani unapotishiwa na mtu anayrtakiwa kuhakikisha unapata haki zako.
Kwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.
Ambayo wala siyo kitu cha ajabu, Kwasababu ni ipo kisheria.
Pili, siyo hata pesa ya maajabu.
Ni Tsh 5,000, au Tsh 7,000, au Tsh 15,000, inategemeana na kiwango Cha Mshahara wako.
Tatu, hicho kiwango utakachopewa ujue labda kama ni Tsh 7,000 mtakigawana kwenye Makato ya LAZIMA ya vyama vya wafanyakazi na, Kodi.
Kwahiyo, KUSUBIRIA mwaka mzima, uongezwe Elfu 7 halafu ikatwe ubaki na AFU TATU ni mtindio wa UBONGO.
Kijana, tafuta kazi ya kufanya.Kuna watu uwezo wao wa kujenga hoja ni mdogo sana kutokana na level ya elimu waliyonayo, ila kwako nimegundua huna kabisa huo uwezo, na siamini kuwa una level ndogo ya elimu ninachokiona kina miss ni quality tu basi.
Nikiendelea na wewe naona utazidi kunichosha.
Naona hoja hazina mpangio, hazina relevance ukipewa ufafanuzi wa hoja zako unazigeuza zionekane mtoa ufafanuzi ndie alie raise hiyo hoja.
Na opt nikusamehe kwenye mjada huu.
Kilimanjaro kwetu huko,Mbona tunafuga au Upo Rombo huko kwa wazee wa kusafisha house?Yaani ukiwa kazini wanaona Kama unawabania mambo yao.
Ukiwaambia nipeni Basi Uhamisho, niwaache mfurahi Hawataki. DED ndio kabisa anasema hahamishi mtumishi.
Halmashauri ni Kama zimelaaniwa.
Yaani niko Kilimanjaro, huku hata kuku huwezi kufuga.
Kila mtu anataka kuhama[emoji1787]
Huku ukikaa hata miaka 20 utakuwa vile vile,utashiba majungu, wivu, umbeya, roho mbaya na upumbavu mwingi sana.
Huo ndiyo UKWERIIIIII ,Jamaa alivuruga nchi.Weewe ni wale wale msoataka kukubali jamaa alidhamiria kuifanya tanzania iwe nchi ya viwanda akakazania kufika huko lazima tuwe na barabara za uhakika/ hospital za uhakika na umeme wa uhakika lakini enzi hizi mvua zinanyesha na umeme hakuna wewe utakuwa mchumia tumbo unayeishi lumumba
Kwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.
Ambayo wala siyo kitu cha ajabu, Kwasababu ni ipo kisheria.
Pili, siyo hata pesa ya maajabu.
Ni Tsh 5,000, au Tsh 7,000, au Tsh 15,000, inategemeana na kiwango Cha Mshahara wako.
Tatu, hicho kiwango utakachopewa ujue labda kama ni Tsh 7,000 mtakigawana kwenye Makato ya LAZIMA ya vyama vya wafanyakazi na, Kodi.
Kwahiyo, KUSUBIRIA mwaka mzima, uongezwe Elfu 7 halafu ikatwe ubaki na AFU TATU ni mtindio wa UBONGO.
Kwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.
5,000 uione kama million? we jamaa kiazi kweliSi sawa na kukosa kabisa kabisa.
Hiyo 5,000, 7000 unayoidharau mwenzako anaiona kama milioni.
Hahahaaaa!Halmashauri oyeee!.Yaani ukiwa kazini wanaona Kama unawabania mambo yao.
Ukiwaambia nipeni Basi Uhamisho, niwaache mfurahi Hawataki. DED ndio kabisa anasema hahamishi mtumishi.
Halmashauri ni Kama zimelaaniwa.
Yaani niko Kilimanjaro, huku hata kuku huwezi kufuga.
Kila mtu anataka kuhama[emoji1787]
Huku ukikaa hata miaka 20 utakuwa vile vile,utashiba majungu, wivu, umbeya, roho mbaya na upumbavu mwingi sana.
Humu ndani kama hujawahi kugundua issue za wafanyakazi huwa hawacomment wafanyakazi.. .HV mnaochangiaga Hz mada huwa NI wafanya KAZI?nyongeza za mshahara Enzi za jk ilikuwa 5000 au 7000?