Rais Samia: Tumerudisha nyongeza ya mishahara ya mwaka kwa Wafanyakazi
Jamaa alivuruga mambo mengi sana.
Weewe ni wale wale msoataka kukubali jamaa alidhamiria kuifanya tanzania iwe nchi ya viwanda akakazania kufika huko lazima tuwe na barabara za uhakika/ hospital za uhakika na umeme wa uhakika lakini enzi hizi mvua zinanyesha na umeme hakuna wewe utakuwa mchumia tumbo unayeishi lumumba
 
""Na ukishaajiriwa huko KUHAMA ni Kama unataka kupindus serikali.""

I understand You.

#YNWA
Yaani ukiwa kazini wanaona Kama unawabania mambo yao.

Ukiwaambia nipeni Basi Uhamisho, niwaache mfurahi Hawataki. DED ndio kabisa anasema hahamishi mtumishi.

Halmashauri ni Kama zimelaaniwa.

Yaani niko Kilimanjaro, huku hata kuku huwezi kufuga.

Kila mtu anataka kuhama🤣

Huku ukikaa hata miaka 20 utakuwa vile vile,utashiba majungu, wivu, umbeya, roho mbaya na upumbavu mwingi sana.
 
Kwahiyo, mishahara ya wabungr, waasiasa, wafanyakazi wa mashirika yenyewe haina haha ya kuwa consolidated.

Ila Mshahara wa mfanyakazi Halmashauri, ndio unatakiwa kuwa consolidated.

Haya salary slip hiyo hapo chini, nambie upi ni MSHAHARA, ipi ni TRANSPORT ALLOWANCE na ipi ni HOUSE ALLOWANCE??

Kwahiyo Kama zamani walikuwa wanaonesha, kilichomfanya waache kuonesha ni Nini?

Michango ya mwenge ni hiari, haipo kisheria.

Ila ukiandikiwa barua ya VITISHO kutoka kwa Mwajiri wako, utoe mchango.

Na majina ya wote waliochanga yapelekwe kwake.

HAKUNA uhiari Tena hapo.

Hususani unapotishiwa na mtu anayrtakiwa kuhakikisha unapata haki zako.
Kuna watu uwezo wao wa kujenga hoja ni mdogo sana kutokana na level ya elimu waliyonayo, ila kwako nimegundua huna kabisa huo uwezo, na siamini kuwa una level ndogo ya elimu ninachokiona kina miss ni quality tu basi.
Nikiendelea na wewe naona utazidi kunichosha.
Naona hoja hazina mpangio, hazina relevance ukipewa ufafanuzi wa hoja zako unazigeuza zionekane mtoa ufafanuzi ndie alie raise hiyo hoja.
Na opt nikusamehe kwenye mjadala huu.
 
Umenena b
Kwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.


Ambayo wala siyo kitu cha ajabu, Kwasababu ni ipo kisheria.


Pili, siyo hata pesa ya maajabu.


Ni Tsh 5,000, au Tsh 7,000, au Tsh 15,000, inategemeana na kiwango Cha Mshahara wako.


Tatu, hicho kiwango utakachopewa ujue labda kama ni Tsh 7,000 mtakigawana kwenye Makato ya LAZIMA ya vyama vya wafanyakazi na, Kodi.


Kwahiyo, KUSUBIRIA mwaka mzima, uongezwe Elfu 7 halafu ikatwe ubaki na AFU TATU ni mtindio wa UBONGO.

Umenena vyema
 
Kuna watu uwezo wao wa kujenga hoja ni mdogo sana kutokana na level ya elimu waliyonayo, ila kwako nimegundua huna kabisa huo uwezo, na siamini kuwa una level ndogo ya elimu ninachokiona kina miss ni quality tu basi.
Nikiendelea na wewe naona utazidi kunichosha.
Naona hoja hazina mpangio, hazina relevance ukipewa ufafanuzi wa hoja zako unazigeuza zionekane mtoa ufafanuzi ndie alie raise hiyo hoja.
Na opt nikusamehe kwenye mjada huu.
Kijana, tafuta kazi ya kufanya.


Machawa mwisho wa siku mtafirwa.

99% ya kila mtu anaelewa isipokuwa wewe takataka, unayelazimisha script uliyopewa ikubalike.


Tumia kichwa kufikiri. Tumia nguvu na akili zako.


Uchawa siyo kazi.
 
Yaani ukiwa kazini wanaona Kama unawabania mambo yao.

Ukiwaambia nipeni Basi Uhamisho, niwaache mfurahi Hawataki. DED ndio kabisa anasema hahamishi mtumishi.

Halmashauri ni Kama zimelaaniwa.

Yaani niko Kilimanjaro, huku hata kuku huwezi kufuga.

Kila mtu anataka kuhama[emoji1787]

Huku ukikaa hata miaka 20 utakuwa vile vile,utashiba majungu, wivu, umbeya, roho mbaya na upumbavu mwingi sana.
Kilimanjaro kwetu huko,Mbona tunafuga au Upo Rombo huko kwa wazee wa kusafisha house?
 
Weewe ni wale wale msoataka kukubali jamaa alidhamiria kuifanya tanzania iwe nchi ya viwanda akakazania kufika huko lazima tuwe na barabara za uhakika/ hospital za uhakika na umeme wa uhakika lakini enzi hizi mvua zinanyesha na umeme hakuna wewe utakuwa mchumia tumbo unayeishi lumumba
Huo ndiyo UKWERIIIIII ,Jamaa alivuruga nchi.
 
Kwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.


Ambayo wala siyo kitu cha ajabu, Kwasababu ni ipo kisheria.


Pili, siyo hata pesa ya maajabu.


Ni Tsh 5,000, au Tsh 7,000, au Tsh 15,000, inategemeana na kiwango Cha Mshahara wako.


Tatu, hicho kiwango utakachopewa ujue labda kama ni Tsh 7,000 mtakigawana kwenye Makato ya LAZIMA ya vyama vya wafanyakazi na, Kodi.


Kwahiyo, KUSUBIRIA mwaka mzima, uongezwe Elfu 7 halafu ikatwe ubaki na AFU TATU ni mtindio wa UBONGO.

Na hapo hujaweka mfumuko wa bei!!! Hiyo yote inayeyuka na mfanyakazi anabakia pale pale if not WORSE OFF!
 
Sasa ongezeko la mishahara la Wafanyakazi ni kila mwaka. Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amerudisha utaratibu huu baada ya kuondolewa kwa muda mrefu. Rais Samia anazidi kugusa kila hoja ya watumishi wa Tanzania, anazidi kugusa kila hoja ya Mtanzania. Hakuna kama Rais Samia. #HakunaKilichosimama
 

Attachments

  • -652801165.mp4
    2.3 MB
Yaani ukiwa kazini wanaona Kama unawabania mambo yao.

Ukiwaambia nipeni Basi Uhamisho, niwaache mfurahi Hawataki. DED ndio kabisa anasema hahamishi mtumishi.

Halmashauri ni Kama zimelaaniwa.

Yaani niko Kilimanjaro, huku hata kuku huwezi kufuga.

Kila mtu anataka kuhama[emoji1787]

Huku ukikaa hata miaka 20 utakuwa vile vile,utashiba majungu, wivu, umbeya, roho mbaya na upumbavu mwingi sana.
Hahahaaaa!Halmashauri oyeee!.
 
HV mnaochangiaga Hz mada huwa NI wafanya KAZI?nyongeza za mshahara Enzi za jk ilikuwa 5000 au 7000?
Humu ndani kama hujawahi kugundua issue za wafanyakazi huwa hawacomment wafanyakazi.. .
Kwanza angalia wanavokuwa wachungu sana na maneno ya kashfa sana kwa wafanyakazi....
Ni vijana wa chuo na wa mtaani na wake wanaojiona much know wazee wa vijiweni au ambao wana tabia ya kuuliza uliza ndugu zao wanaofanya kazi. Majibu wanayopewa bila kujua kama ni ya kweli ama ya uongo ndo wanakuja kuyashikia bango huku🤣🤣.Na kwakuwa wafanyakazi tunatunza siri za kambi tunasomaga tu comment na kucheka kimya kimya Mie kuna issue nasomaga humu mpaka nashangaa haya mambo ni ya wafanyakazi wa tanzania wu nchi nyingine..maana hayaendani na ninachokijua huko kazini. Anyway uhuru wa kuongea ni mzuri sana watu wanapunguza uchungu wa maisha tuvumiliane😀😀😀
 
Back
Top Bottom