MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Huko misikitini, Allah anawafunza uwongo na propaganda?Wewe huna kazi nini? Wafanyakazi wote wamefurahi leo kwa kuongezwa mishahara, wewe unahororoja bila mpango.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko misikitini, Allah anawafunza uwongo na propaganda?Wewe huna kazi nini? Wafanyakazi wote wamefurahi leo kwa kuongezwa mishahara, wewe unahororoja bila mpango.
TGSD na E kuwa 150,000 unamaanisha nini?2005 TGSD na E ilikua 150000? uzuri hizi propaganda zinaisha hapa tu alafu kesho maisha yanaendelea
Unakwenda kujiunga rasmi na umaskiniEhe mungu namimi niingie kwenye system huu mwaka
Katika kitu huwa nashangaa,ni kuona watumishi wenye mishahara mikubwa ndiyo pia wanaopewa posho ya nauli na nyumba na wale wa taki 3 ndiyo wanakomaa na vimishahara vyao katika kujilipia kila kitu.Wafanyakazi wanatumia pesa ngapi kutoka kwenye mishahara yao hiyo hiyo kufanya kazi za serikali????
Ni zaidi ya hizo.
Unamtoa mtu Lindi, unmwajiri Kigoma, hakuna nyumba za umma, anapanga Tena kwa Mshahara wake huo huo.
Kwahiyo Mshahara huo huo:
- Ulipe nyumba
- Ufanyie kazi za serikali
- Ulipe Michango eg Mwenge [emoji1787]
- Utapeliwe ( Matapeli wanaoshirikiana na Maafisa utumishi)
Whatever 'll be, lkn nyongeza imerudishwa kama sheria isemavyo!! Ubabe kweny mamb ya msingi hauna maan.Elfu tatu eeh.
Mungu atakuona ndugu yanguEhe mungu namimi niingie kwenye system huu mwaka
Mshahara gani ulioongezwa? Hiyo annual increments au kitu gani?Wewe huna kazi nini? Wafanyakazi wote wamefurahi leo kwa kuongezwa mishahara, wewe unahororoja bila mpango.
Kasome post namba 1 au ingia youtube uisikilize hotuba ya kipenzi Rais wetu Mama Samia.Mshahara gani ulioongezwa? Hiyo annual increments au kitu gani?
Acha utabiri wa kienyeji, kimsingi hotuba yote nimeisikiliza ila sijaiona hotuba kwa ukubwa huo kama ulivyoiona chawa wa samia.Kasome post namba 1 au ingia youtube uisikilize hotuba ya kipenzi Rais wetu Mama Samia.
Ma jobless poleni lakini msikate tamaa, mama anazalisha kazi mpya kila kukicha.
Kama "hujaiona" kazi ni kwako.Acha utabiri wa kienyeji, kimsingi hotuba yote nimeisikiliza ila sijaiona hotuba kwa ukubwa huo kama ulivyoiona chawa wa samia.
Fedha ndogo sana ila Marehemu Mwendazake akaamua kuwadhulumu wafanyakazi.Kwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.
Ambayo wala siyo kitu cha ajabu, Kwasababu ni ipo kisheria.
Pili, siyo hata pesa ya maajabu.
Ni Tsh 5,000, au Tsh 7,000, au Tsh 15,000, inategemeana na kiwango Cha Mshahara wako.
Tatu, hicho kiwango utakachopewa ujue labda kama ni Tsh 7,000 mtakigawana kwenye Makato ya LAZIMA ya vyama vya wafanyakazi na, Kodi.
Kwahiyo, KUSUBIRIA mwaka mzima, uongezwe Elfu 7 halafu ikatwe ubaki na AFU TATU ni mtindio wa UBONGO.
Kama "hujaiona" kazi ni kwako.
Anza kufanya kazi, wacha kumtegemea dada'ko siku zote, utamzeesha mapemakum
Kumbe hukunielewa nilipokuambia acha uganga wa kienyeji, kwani tunafahamiana tofauti na jamiiforumKama "hujaiona" kazi ni kwako.
Anza kufanya kazi, wacha kumtegemea dada'ko siku zote, utamzeesha mapema.
Ni kama kwenye basi la mkoani unasafir halafu anakuja mtu anauza 🍿 popcorn wakati ndani ya basi hakuna TV wafanyakazi wa tz tusande mama anashaurika sana na wezi za haki za watanzania#mfanyishwa#kazi#nguliKwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.
Ambayo wala siyo kitu cha ajabu, Kwasababu ni ipo kisheria.
Pili, siyo hata pesa ya maajabu.
Ni Tsh 5,000, au Tsh 7,000, au Tsh 15,000, inategemeana na kiwango Cha Mshahara wako.
Tatu, hicho kiwango utakachopewa ujue labda kama ni Tsh 7,000 mtakigawana kwenye Makato ya LAZIMA ya vyama vya wafanyakazi na, Kodi.
Kwahiyo, KUSUBIRIA mwaka mzima, uongezwe Elfu 7 halafu ikatwe ubaki na AFU TATU ni mtindio wa UBONGO.
Usikope ili uwekeze.Inategemea na daraja pia ,in short Kuna mambo hataki kuyaweka hadharani!!
Pili jiongeze ndugu inchi Ina fursa kibao kopa wekeza
Rwanda wako vizuriApunguze Kodi, PAYE.
Awaambie vyama vyake vinavyojiita vya wafanyakazi wapunguze Makato, wanaumiza wafanyakazi.
Africa mashariki yote, Tanzania ndio wafanyakazi wanakatwa Kodi kubwa.
KIKOKOTOO Cha KUSTAAFU ni uonevu.
Madaraja yapande kwa wakati.
Nchi hii Ina fursa kweli.
Ila siku hizi, utumishi umegeuka JELA.
Kuna maeneo hayana fursa hata ya kufuga kuku.
Na ukishaajiriwa huko KUHAMA ni Kama unataka kupindus serikali.
Kwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.
Ambayo wala siyo kitu cha ajabu, Kwasababu ni ipo kisheria.
Pili, siyo hata pesa ya maajabu.
Ni Tsh 5,000, au Tsh 7,000, au Tsh 15,000, inategemeana na kiwango Cha Mshahara wako.
Tatu, hicho kiwango utakachopewa ujue labda kama ni Tsh 7,000 mtakigawana kwenye Makato ya LAZIMA ya vyama vya wafanyakazi na, Kodi.
Kwahiyo, KUSUBIRIA mwaka mzima, uongezwe Elfu 7 halafu ikatwe ubaki na AFU TATU ni mtindio wa UBONGO.
Ile sio annual increment inayo zungumziwa hapa.Kwenye ile 23.3% iliongezeka kiasi gani kwenye take home?
Kwasababu wewe hupokei hizoUnapokea 300,000 uongezewe 3,000 uione kama million!!?
Unless una matatizo ya akili.