Rais Samia: Tumerudisha nyongeza ya mishahara ya mwaka kwa Wafanyakazi
HAKUNA kitu Kama hicho.


Kwamba mwaka mzima, 5000 uione Kama milioni Sasa hivi, ambako hainunui hata kilo ya dagaa.
Kuna nyongeza ya 5000 kwa mwaka mzima? tupunguze chuki kwa Serikali. Chuki ikizidi ni maradhi.
 
Apunguze Kodi, PAYE.

Awaambie vyama vyake vinavyojiita vya wafanyakazi wapunguze Makato, wanaumiza wafanyakazi.

Africa mashariki yote, Tanzania ndio wafanyakazi wanakatwa Kodi kubwa.

KIKOKOTOO Cha KUSTAAFU ni uonevu.


Madaraja yapande kwa wakati.
Haya ni napendekezo mazuri.
 
Nakubaliano na wewe ila mie pointi yangu ni kwamba hiyo elfu 5 na 7 mnayoidharau sii sawa na 0 hasa kwa watu wenye hali ngumu.
Sasa ukiongezewa 5000 au 7000 alafu ukawekewa makato ya tozo kwenye ATM unakua umeongezewa nini?
 
Nakubaliano na wewe ila mie pointi yangu ni kwamba hiyo elfu 5 na 7 mnayoidharau sii sawa na 0 hasa kwa watu wenye hali ngumu.
Wafanyakazi wanatumia pesa ngapi kutoka kwenye mishahara yao hiyo hiyo kufanya kazi za serikali????


Ni zaidi ya hizo.

Unamtoa mtu Lindi, unmwajiri Kigoma, hakuna nyumba za umma, anapanga Tena kwa Mshahara wake huo huo.

Kwahiyo Mshahara huo huo:

  • Ulipe nyumba
  • Ufanyie kazi za serikali
  • Ulipe Michango eg Mwenge 🤣
  • Utapeliwe ( Matapeli wanaoshirikiana na Maafisa utumishi)
 
Inakuwaje hajagusia hata kidogo hizi ajira za juzi? Au tumepigwa na kitu kizito kichwani?
 
HV mnaochangiaga Hz mada huwa NI wafanya KAZI?nyongeza za mshahara Enzi za jk ilikuwa 5000 au 7000?
Sijui umeanza kazi lini. Though ilikua around 20000 hadi 40000, lakini haikua kila mwaka. Hapo inapaswa ulijue hili haikuwa kila mwaka, sio kweli kwamba 2006,07,08,09,10,11,12,13,14,15 ilikua inaongezeka.
 
Kwenye ile 23.3% iliongezeka kiasi gani kwenye take home?
40,000 mpaka 10,000 kutegemea na Mshahara wa mhusika.

Aliyekuwa na take home ya Tsh 350,000 ilipanda mpaka 400,00.
 
Miaka Ijayo ?

Atakuwa na Mamlaka ya Kuamua Miaka Ijayo Akishatoka Madarakani ?; Ili kuacha kuchezewa na Maamuzi ya Watawala its about Time Sheria iwepo Kama Sheria na Sio Maamuzi au Matakwa ya Mtu kufanya maamuzi kila anapoamua au kujisikia...

By the way tatizo kubwa sio kuwapa hao wachache ongezeko la Ujira; Tatizo ni kuhakikisha hawa walio wengi kitaa wanapata huo Ujira (hata huo usioongezwa majority hawana)
 
Sijui umeanza kazi lini. Though ilikua around 20000 hadi 40000, lakini haikua kila mwaka. Hapo inapaswa ulijue hili haikuwa kila mwaka, sio kweli kwamba 2006,07,08,09,10,11,12,13,14,15 ilikua inaongezeka.
Kikwete aliingia madarakani 2005 mfanyakazi mwenye digrii alikua anapata 150,000 hadi anaondoka 2015 TGDS D1 ilikua 716,000 jiongeze.
 
Miaka Ijayo ?

Atakuwa na Mamlaka ya Kuamua Miaka Ijayo Akishatoka Madarakani ?; Ili kuacha kuchezewa na Maamuzi ya Watawala its about Time Sheria iwepo Kama Sheria na Sio Maamuzi au Matakwa ya Mtu kufanya maamuzi kila anapoamua au kujisikia...

By the way tatizo kubwa sio kuwapa hao wachache ongezeko la Ujira; Tatizo ni kuakikisha hawa walio wengi kitaa wanapata huo Ujira (hata huo usioongezwa majority hawana)
Annual increment ni sheria mbona JIWE aliikanyaga?
 
Kwa lugha rahisi, hiyo ni annual increment.


Ambayo wala siyo kitu cha ajabu, Kwasababu ni ipo kisheria.


Pili, siyo hata pesa ya maajabu.


Ni Tsh 5,000, au Tsh 7,000, au Tsh 15,000, inategemeana na kiwango Cha Mshahara wako.


Tatu, hicho kiwango utakachopewa ujue labda kama ni Tsh 7,000 mtakigawana kwenye Makato ya LAZIMA ya vyama, Kodi.


Kwahiyo, KUSUBIRIA mwaka mzima, uongezwe Elfu 7 halafu ikatwe ubaki na AFU TATU ni mtindio wa UBONGO.
Chawa wake wanarukaruka huko eti ameupiga mwingi
 
Sio kweli 5000 na 7000 haiwezi Kuwa kubwa hivyo.
Kitu pekee alipaswa kuondoa tozo kwenye miamala ya ATM. Kuliko kuongeza 5000 au 7000. Bora angewaondolea tozo za miamala kwenye ATM.

Tozo kwa mwezi bank Sasa hivi inafika hadi 18000
18,000x12 =?

Analafu taahira mmoja anashangilia elfu 7 kwa mwaka?
 
Kikwete aliingia madarakani 2005 mfanyakazi mwenye digrii alikua anapata 150,000 hadi anaondoka 2015 TGDS D1 ilikua 716,000 jiongeze.
2005 TGSD na E ilikua 150000? uzuri hizi propaganda zinaisha hapa tu alafu kesho maisha yanaendelea
 
Annual increment ni sheria mbona JIWE aliikanyaga?
Hata huyo Samia anachokifanya ni utashi wake tu.

Hakuna badiliko lolote la kimfumo Wala sheria amefanya.

Ni sawa na kuacha kusaini watu waliohukumiwa kunyongwa wanyongwe, lakini kubadilisha sheria ya hukumu za kunyongwa hutaki.
 
Back
Top Bottom