Rais Samia: Tumeshalipia treni 19 za Umeme na mabehewa 89, Seti 10 za treni na mabehewa 80 kwaajili ya mizigo

Rais Samia: Tumeshalipia treni 19 za Umeme na mabehewa 89, Seti 10 za treni na mabehewa 80 kwaajili ya mizigo

Yanatoka Uturuki mkuu

Ni tofauti na hizi? Na kama ni tofauti hizi ziliishia wapi?
 
Tusidanyanyane mkuu

Waziri wa Nishati akibakia huyu huyu itakua jambo la kawaida kabisa kwenda kuchomoana huko maporini.
Si aliwaambia mpeni miezi mitatu ndio critique zianze. Tuacheni kulalamika tuwe watu wenye initiative mfano hta nkikuuliza unataka majukumu ya waziri wa nishati yafanyiwe restructuring huna proposal, au hta replacement ya January hauna clue umuweke nani. So kuliko kulalamika njoo na practical solutions otherwise kila waziri atakayekuja utamuona tu hatoshi irrespective ya milestones zake
 
Umenene ya kweli tupu
Si aliwaambia mpeni miezi mitatu ndio critique zianze. Tuacheni kulalamika tuwe watu wenye initiative mfano hta nkikuuliza unataka majukumu ya waziri wa nishati yafanyiwe restructuring huna proposal, au hta replacement ya January hauna clue umuweke nani. So kuliko kulalamika njoo na practical solutions otherwise kila waziri atakayekuja utamuona tu hatoshi irrespective ya milestones zake
 
Mama awe makini na madalali, siyo watu wazuri.....mradi unaweza kujikuta umetumia zaidi ya mara mbili ya gharama halisi kwa huu ujanja ujanja.....
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
Good indeed
 
mradipic

===
Serikali ya Tanzania imesema imeingia mkataba wa ununuzi wa mabehewa ya abiria 89, vichwa vya treni ya umeme 19, seti za treni za kisasa 10 zenye behewa 80 vikiwa na gharama ya US$381,428,465 karibu TZS 880BL,

Hayo yamebainishwa leo siku ya Jumanne Desemba 28, 2021 na Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hafla ya utiaji saini mkataba wa Ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha tatu kutoka Makutupora hadi Tabora.

Kipande hiki kina urefu wa kilometa 368, kitakachogharimu Dola za Marekani bilioni 1.908 sawa Sh4.41 trilioni kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Yapi Merkez kutoka Uturuki.

Amesema pamoja na hayo Serikali inaendelea kukamilisha ununuzi wa mabehewa ya mizigo 1,430 yenye thamani dola za Marekani US$127,206,300 sawa na TZS 292BL,

“Nitumie fursa hii kuagiza wizara na TRC kuhakikisha kuwa inasimamia kwa karibu ili kasi ya ujenzi iendane na kasi ya kusimamia ununuzi wa vifaa hivyo"

"Hii itafanya vifaa viwe vimekamilika sambamba na kukamilika kwa ujenzi wa reli. Vinginevyo miundombinu ya reli itakamilika huku tukisubiri kuwasili kwa vifaa na kuhakikisha ubora unaendana na thamani ya fedha."

“Nasema hivi kwa sababu miezi michache nimekaa katika Serikali hii nimeona kuna mambo yanataka kuanza kufanyika na mimi sitakubali yafanyike"

"Kwamba mradi unasimamiwa na wizara kupitia sekta husika, anatafutwa mkandarasi anapopatikana anakuwa na wasemaji wengi ndani ya nchi, na hasemewi bure watu wanajua watavuna"

"Sasa nasema mimi sijali mkandarasi atasemewa na watu elfu ninachotaka kusema nataka reli iwe ya viwango tulivyokubaliana,” amesisitiza

===
Kazi indelee Watanzani
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Tanzania tuko katika uelekeo sahihi sana tuendelee kumwombea rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan,

Tunakila sababu ya kujivuna,
 
Back
Top Bottom