Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyeti feki bans! Kuombeleza anaona ni bonge la dili kama yeye alivyoomba vyeti akapata dili la job hadi pale JPM alivyowavurumisha!!Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.
Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
Kwa uandishi huo sidhani kama ulipaswa kuwepo hapa, although unaweza kufanya revision from my first comment reply to this last one, otherwise utakuwa unadandia train kwa mbele, ambapo unajua kitakachokukuta.TODAYS angalia kama unazo akili au kichwa chako kina kamasi. Magufuli alikufa tarehe 9/ 03/ 21 ila alitangazwa amekufa tarehe 17/ 03/ 21.
Mnabisha ujinga tu
Ni kweli ila mwasis wa upotevu huu ni Jiwe, japo kwa upande wako huamini lakini ndiyo ukweli na mimi naheshimu mawazo yakoKu-'survive'?
Hilo halina shaka, tutasavaivu tu mkuu hata tukanyagwe utosini inaonyesha waTanzania wata-'savavivu' tu!
Hapa linalotia majonzi mioyoni ni hadhi ya nchi yetu Tanzania. Tutasavaivu, lakini heshima ya nchi yetu itakuwa imegaragazwa kwenye tope na uchafu wa jalalani. Hili linasikitisha sana.
Lakini amefanya mengi , vipindi vilivyopita kila siku ufisafi mpya mnajisahaulishaHivi kuna raisi WA tz aliyekopa hela nyingi Kwa muda mfupi kama Rais Magufuli?
Pitia hotuba ya Dr mpango 2019 kuhusu deni la Taifa akituambia kuwa linavumilika Kwa sababu inawekezwa kwenye miradi ya maendeleo.
Four reasons why Tanzania’s national debt is surging
Finance and Planning minister, Dr Philip Mpango has said new loans secured by the government during implementation of mega projects was among the four reasons that has contributed to increase of...www.thecitizen.co.tz
Mpaka sasa Magufuli anashikiria rekodi ya kukopa pesa nyingi kuliko raisi yoyote Tanzania katika kipindi kifupi.
Angalia mikopo serikali ya Magufuli iliyokopa world Bank.
All News
List of all news about the World Bank’s development work in Tanzania, including press releases, loans and credits, speeches, blog posts, and more.
www.worldbank.org
Standard gauge ela imekopwa Kwa mabeberu Sweden na Norway kupitia standard chartered Bank.
Tanzania signs $1.46 billion loan for standard gauge railway construction
Mpaka mwaka 2020 deni la Taifa lilifika Zaid ya shilling trilioni 70 Sawa na 54% ya uchumi wetu.
Tanzania's debt surging, but government says it’s still sustainable | The East African
Wakati mtangulizi wake alikuwa deni la Taifa mwaka 2005 ni Dola bilioni 7 ndani ya miaka 10 deni la Taifa likaongezeka mpaka dola bilioni 18,2015 yaani ongezeko la Dola bilioni 11.
Wakati raisi Magufuli deni la Taifa lilifika Dola bilioni 30.63, ongezeko la bilioni 12 ndani ya miaka mitano Tu.
![]()
Tanzania National Debt 2015
countryeconomy.com
Tz ni nchi masikini sana na tupo ndani ya nchi 33 masikini zaidi duniani Kwa kuzingatia GNI per capita, kutembeza bakuli hakuepukiki. Karibu miradi yote ya Magufuli imejengwa Kwa pesa za mkopo.
Mkuu 'Allency', mbona leo unanishangaza kidogo, kwa maana, pamoja na kwamba mimi na wewe hatujawahi kujibishana humu ndani ya Jukwaa hili, lakini unashindwaje kujuwa ninaposimamia? Ngoja nikwambie jambo linaloweza kukushangaza kidogo. Nikirudi nyuma na kuhesabu 'likes' ulizowahi kunizawadia kwenye maoni yangu juu ya msimamo wa mambo tunayozungumzia hapa, haziwezi kupungua 20, na pengine hata kufikia 50! Halafu hapa unasahau kabisa na kunipachika hayo uliyoyaweka hapo juu?Ni kweli ila mwasis wa upotevu huu ni Jiwe, japo kwa upande wako huamini lakini ndiyo ukweli na mimi naheshimu mawazo yako
Hujui kitu mtoto mdogo weye, siyo lazima u comment, wewe soma halafu sepaKwa uandishi huo sidhani kama ulipaswa kuwepo hapa, although unaweza kufanya revision from my first comment reply to this last one, otherwise utakuwa unadandia train kwa mbele, ambapo unajua kitakachokukuta.
kutosikia tetesi huenda sababu ni vyanzo vyankutoa tetesi hizo vimebanwa au tetesi hazipo lkn haimaanishi kuwa hamna hao walioficha mkwanja njeTueleze dola bilioni 11 zilitumikaje na dola bilioni 12 zikitumikaje.
Kumbuka wakati wa bilioni 11 tetesi za akaunti za nje zilizoficha fedha za mangumashi zilikuwa nyingi, lakini wakati wa bilioni 12 hizi tetesi mbona hatuzisikii?
====
Acheni kufukua makabuli.
Kwa tekinolojia ya sasa ni vigumu sana kutotambulika. Halafu sasa hivi hakuna the so called " kibanio cha habari " za walioficha bilioni 12. Hata hivyo, Ukweli utajulikana tu.kutosikia tetesi huenda sababu ni vyanzo vyankutoa tetesi hizo vimebanwa au tetesi hazipo lkn haimaanishi kuwa hamna hao walioficha mkwanja nje
JPM alilazimisha kupokea gawio (Dividend) la Tsh Bilioni 2 kutoka TTCL mwaka jana na mwaka huu TTCL Ina madeni ya Tsh 403 Bilioni
Achana na habari ya Magufuli, huyu 'Maza Mizinguo' ni mzinguaji kweli kweli!
Sasa anakwenda kuomba hela wapi?
Hata hivi vi-stendi tu navyo mpaka twende kupiga magoti? Miaka sitini baada ya kujitawala wenyewe? Sisi tunaweza kitu gani!
India/Pakistani kwa umri wa miaka chini ya 40, tayari walishakuwa na mabomu ya nuklia, sisi hata mashimo ya vyoo rais anakwenda kuomba hela!
Matokeo ya misimamo ya aina hii utaiona tu muda sio mrefu. Tumekuwa 'cheap' sana.
EeeeenHeeee, nakumbuka ile safari ya New York na jinsi tulivyoshushuliwa na wakubwa wa huko!
Waziri anakwenda kuweka kambi kabisa, lakini wapi, hakuambulia chochote. Sasa wanatutazama tu jinsi tunavyohangaika huku wakitupangia arobaini za kutuweka dole.
Hovyo kabisa!
Endeleeni,hata JPM mlimwombea kifo kwa kusema hivyo hivyo Mag mpaka 2025 Haya yaliyotokea uliyaona. Na sasa mmeanza tena mpaka 2040.Unajua kesho yako wewe, Nyamaza kimya,tena kimya chenye mshindo.Acha Mungu afanye kazi yake,usimpangie. Usituletee USIKU TANZANIA.Na wewe ni yatima au mjane wa Sukuma gang?
Mama Samia ni yeye mpaka 2040 elewa hili kwanza ili usipate kisukari bure.
Stendi ya Mbezi bilioni 50 hatukukopa mahala. Hakuna stendi Magufuli alikopa hela.True ile stend tungekopa word bank just imagine ile stend ndo ya gharama ya juu just for 53b yaa arusha hawezi fika hata 27b hayo si makusanyo ya halmashauri tu
Mkuu, huyu mtu tulishasema na yeye amekiri hana uwezo kama wa Magufuli lakini cha ajabu anataka tena miaka mitano. Miaka Kitano ya nini? Mimi nadhani baadhi ya watu wa Pwani wana matatizo ya kupenda kuombaomba.Stendi ya Mbezi bilioni 50 hatukukopa mahala. Hakuna stendi Magufuli alikopa hela.
Kwa calculations zake, stendi zote nchini zinazotakiwa kujengwa, masoko ya kisasa, machinjiao na maegesho ya magari hayajizi bilioni 150 na alikuwa amesha zibajeti kwa hela ya ndani.
Hesabu za Magufuli administration zilikuwa hizi hapa:
https://mof.go.tz/docs/GHARAMA ZA MIRADI 2018-19 (2).pdf
Jumla bilioni 146.
Ambazo akiwa Mbezi Louis alisema zipo kwa sababu mwaka uliopita alikusanya bilioni 550 kwenye dhahabu peke yake, up from 120 bilioni za Kikwete administration.?
There is no way in hell Magufuli anabembeleza pesa kujenga stendi. Anabiringika kaburini akiona haya.
Wanaandaa mradi wa kuomba hela! Au mimi sijui kiswahili, yaani kuomba hela nako unakatengenezea mradi ili ukizipata hizo hela unazitumia kutumia kwenye mradi wa kujenga stendi!Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "Kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"
____________________________________________