Rais Samia tunakuomba hutubia taifa, omba radhi, fanya maamuzi magumu ya kuvunja mkataba huu nchi ipone

Rais Samia tunakuomba hutubia taifa, omba radhi, fanya maamuzi magumu ya kuvunja mkataba huu nchi ipone

Mh Rais Samia ni msikikivu Sana,Mnyenyekevu Sana,Muungwana sana,Mpole kwenye mambo yanayohitaji utulivu..Mwingi wa upendo..Ni Kiongozi Mahiri na amakwiva mnoo..

Mh Tundu Lissu alipopigwa lisasi Mh Samia alibeba dhamana kubwa kumtembelea pale Nairobi Hospital licha ya Upinzani mkubwa toka ktk Chama..Haikuwa jambo rahisi..Kwa kuzingatia mazingira na nyakati..Mama Ana utu mnoo..

Hakika Hana dharau Kwa wananchi (Maskini ,Matajiri,Wakulima na wafanyakazi,Wanamichezo,Wamachinga,Bodaboda,Wauza Baa,Wanafunzi..

Nina imani ni suala la muda atazungumza na watanzania na Kwa ujasiri na ushupavu mkubwa kuweka mambo sawa Kwa maslahi makubwa ya Taifa huku akidumisha mshikamano,uhuru,Umoja na Uzalendo..

Uhuru na maslahi mapana ya Taifa letu ni muhimu kuliko chochote..Ama Kwa hakika amesikia kilio,Ushauri,Hoja,Mapendekezo na matamanio ya wananchi walio wengi..
Acha porojo!!
 
Ccm imechelewa sana kuondoka madarakani na haya ndio madhara yake.

Chama kimoja hakiwezi kutawala zaidi ya nusu karne hiyo ni dalili ya nchi husika kuwa na watu wajinga kupindukia.
Nadhani iko haja kwa Deep State ya Tanzania iwe na vyama viwili au hata zaidi ambavyo watakuwa wanavipa Mihula ya kukaa madarakani kama ilivyo Amerika baina ya Republican na Democratic,
Miaka 8 au saa nyingine 4 wanapokezana kwa manufaa ya taifa.
 
Nadhani iko haja kwa Deep State ya Tanzania iwe na vyama viwili au hata zaidi ambavyo watakuwa wanavipa Mihula ya kukaa madarakani kama ilivyo Amerika baina ya Republican na Democratic,
Miaka 8 au saa nyingine 4 wanapokezana kwa manufaa ya taifa.
....... Lakini kati ya hivyo ccm isiwepo, yenyewe inatakiwa ife kabisa, imeiletea hii nchi hasara kubwa sana.
 
Jukwaa zito sana hili..Sikujua..Hili jukwaa Lina watu wa kila aina ,wazee Kwa vijana ,Wasomi Kwa Wasio wasomi..Walio ktk mfumo na vitengo vya nchi..

Waandamizi,Wastaafu,Waliotumbuliwa na walioenguliwa..Ndugu,jamaa na marafiki ,Mashehe ,Maaskofu,Makadinari..Waliovuliwa magamba na waliokatwa mikia..
 
Una akili za kizamani mno mkuu Mlamba. Dunia ya sasa hivi ni ya kutazama unaingiza nini hazina.

Man City wamenunuliwa na tajiri wa kiarabu na wamebeba makombe matatu kwa mara ya kwanza katika historia, ina maana na Waingereza na wao wamekuwa submissive kwa waarabu?.

Hawa DPW wapo Southampton na London wakifanya shughuli hizi hizi za bandari, kwa hiyo waingereza wameamua kwa dhati kabisa kuwa watumwa wa waarabu.

Hizi ni akili za kimaskini sana yarabi.
Nimegundua wengi wanaoposti ujinga dhidi ya DP World ni wafanyakazi wa bandari na wanufaika wengine wa ufisadi uliopo pale bandarini.
 
Nimegundua wengi wanaoposti ujinga dhidi ya DP World ni wafanyakazi wa bandari na wanufaika wengine wa ufisadi uliopo pale bandarini.
Mkuu Mzee Kijana, hii ni vita nzito huyo GSM halipi kodi hapo bandarini anapitisha mizigo na anakwenda kutengeneza super profit kwani halazimiki kushusha au kupandisha bei ya bidhaa ya mwisho. Hujiulizi awamu ya sita kwanini maduka mengi ya vifaa vya michezo yameongezeka!.

Aliye nyuma ya GSM ni familia ya JK, aliyemuweka Mwigulu Nchemba wizara ya fedha na katibu mkuu hazina yaani pay master general ni JK.

Usitegemee urahisi wao wa kupata pesa wanaoufurahia awamu hii eti wakazipokea kwa tabasamu hizi habari za Rais Samia kutaka awe anasoma kinachofanyika kule bandarini akiwa ikulu. Ni ujumbe kwa GSM na biashara zake kwamba wajiandae na mabadiliko yanayokuja.

Kuna vita nzito ya watu wa JK wanaopambana ili DPW asifunge mitambo yake pale bandarini, usishtushwe na hawa wanasheria uchwara wa humu JF, usishtushwe na yule Mwabukusi, wote hao ni wapokea mshahara wa GSM na matawi yake ya ufisadi.
 
Mkuu Mzee Kijana, hii ni vita nzito huyo GSM halipi kodi hapo bandarini anapitisha mizigo na anakwenda kutengeneza super profit kwani halazimiki kushusha au kupandisha bei ya bidhaa ya mwisho. Hujiulizi awamu ya sita kwanini maduka mengi ya vifaa vya michezo yameongezeka!.

Aliye nyuma ya GSM ni familia ya JK, aliyemuweka Mwigulu Nchemba wizara ya fedha na katibu mkuu hazina yaani pay master general ni JK.

Usitegemee urahisi wao wa kupata pesa wanaoufurahia awamu hii eti wakazipokea kwa tabasamu hizi habari za Rais Samia kutaka awe anasoma kinachofanyika kule bandarini akiwa ikulu. Ni ujumbe kwa GSM na biashara zake kwamba wajiandae na mabadiliko yanayokuja.

Kuna vita nzito ya watu wa JK wanaopambana ili DPW asifunge mitambo yake pale bandarini, usishtushwe na hawa wanasheria uchwara wa humu JF, usishtushwe na yule Mwabukusi, wote hao ni wapokea mshahara wa GSM na matawi yake ya ufisadi.
Waandike tu maumivu. Hakuna kurudi nyuma. Operesheni ondoa mafisadi bandarini lazima iendelee.
 
Waandike tu maumivu. Hakuna kurudi nyuma. Operesheni ondoa mafisadi bandarini lazima iendelee.
Wanakuja kuzichota akili za wanaosoma mada za humu ndani. Tunaweza kufikia hata pato la trilioni 26 kwa mwaka, tunaweza kabisa kujitegemea kwa pato la ndani tu kama alivyosema Kagame enzi zile za JK.
 
Wanakuja kuzichota akili za wanaosoma mada za humu ndani. Tunaweza kufikia hata pato la trilioni 26 kwa mwaka, tunaweza kabisa kujitegemea kwa pato la ndani tu kama alivyosema Kagame enzi zile za JK.
Umesema kweli Mkuu. Mapato mengi ya bandari yanaishia mifukoni mwa watu. Mbaya zaidi mafisadi wa bandari hawatosheki ni wizi mwanzo mwisho. Naunga mkono Serikali kuwapa DP World bandari tena ikibidi wapewe zote tu. Baada ya bandari tuangalie na TRA nako kunahitaji mabadiliko makubwa sana.
 
Rais umefanya mema na mazuri kupitia uongozi wako. Mungu mtakatifu ana kusudi la kukupa nafasi kuu ktk nchi yetu ktk mazingira uliopewa si Kwa mapenzi ya wanadamu Bali Mungu tu..Si Kwa wewe kutaka Bali neema tu.

Wengi sana walijitokeza (Watangaza nia)ili kupewa kijiti cha kupeperusha bendera ya CCM..Walilipa fedha, Walizunguka nchi nzima wakijinadi Kwa wanachama (Wajumbe) na wananchi. Mwenyezi Mungu hakuwapa nafasi kupitia michakato mbalimbali ya Chama na kitaifa..

Ilimpendeza Mungu Hayati JPM awe kiongozi Mkuu wa taifa hili tajiri na wewe kuwa Msaidizi wake au makamu wake. Mungu alimpangia Siku,saa,mazingira ya kutwaliwa ktk mwili..Mwili wake umefariki huku roho yake ikisubiri hukumu Kama ilivyo Kwa wanadamu wote Kwa mujibu wa maandiko..

Yamkini nia na makusudi ni njema kabisa Kwa mujibu wa upembuzi wa viongozi wetu haswaa ktk kukuletea taifa tija Kina endelea ELIMU, AFYA, MIUNDOMBINU, N.K. Kwa lilivyo hili jambo sio jepesi ni zito mnoo. Limeenea mnoo..Lina ukakasi mnoo,Halina amani. Halina furaha. Halina utulivu. Linachakata mioyo, roho, fahamu Za wananchi maskini, wenye kipato cha kati na wasomi (Elimu bure imeleta effect ktk fikra)..

Viongozi wetu, Mitihani ktk maisha ya Uongozi haina budi kuruhusiwa kuwapata..Fanyeni toba Kwa Mwenyezi Mungu. Ombeni hekima na busara. Fanyeni maamuzi magumu yenye kuleta amani,Utulivu na mshikamano..

Kwa Heshima na unyenyekevu mkubwa nikuombe Mh Rais ikikupendeza hutubia taifa Kwa muda utakaokufaa na Utoe ufafanuzi wa mapana,Omba radhi kwenye mapungufu, Elimisha itakapobidi,Wajibisha wanaopaswa kuwajibishwa ,Toa dira mahsusi, Kemea uzembe wote (Watumishi na Viongozi wote wa umma hutenda kazi Kwa niaba yako Mh Rais,..Huwezi kufika kila mahali. Huwezi soma kila kitu,Huwezi fuatilia kila jambo..Huwezi saini kila nyaraka.

Mwisho usisahau kuwasamehe wote wate waliokukosea,Kukuudhi,Kuumiza moyo,na kukukwaza sana ktk kipindi hiki..Ni mtihani kwako. Mwenyezi Mungu anatusamehe makosa yetu tunaposamehe wengine wanaotukosea.

Kwa kuwa watendaji wako na wasaidizi wako ni binadamu hivyo wana mapungufu Kwa namna moja au nyingine hivyo hawawezi kuwa sahihi Kwa kila jambo Kwa kuzingatia changamoto za kimazingira, elimu, Utandawazi na mengineo.

Nina imani Watanzania wana imani na uongozi wako na jitihada zote ufanyazo ktk kuimarisha na kujenga umoja wa kitaifa. Kwa hotuba yako mjadala utakoma na mengi mema yako na serikali yatatamalaki zaidi..
Ajiuzulu tu atatuuza. Mwenyewe anatafuta hela tu.
 
Tunahitaji mapinduzi makubwa ktk uendeshaji bandari,Tunahitaji Mbia mwenye uwezo mkubwa na utalaaam yamkini ndio DPW..

Kwa kuzingatia historia ya udhaifu ktk mikataba yatupasa kulinda haki Za taifa na Watanzania (Zanzibar,Bara) Kwa sasa na baadae ktk mikataba yetu ya sasa..Terms zilizo na ukakasi ,Conditions zenye kuleta kwikwi zirebishwe na kazi iendelee..

Ni kweli kabisa..GSM (Waarabu)na Washirika wameneemeka sana na bandari..Wanayoyafanya ktk nchi hii Kama vyombo vyote vya ulinzi na usalama vikijua Kwa kina ama Kwa hakika wanapaswa kuwa jela na kufirisiwa..

TRA (Customs ) wanajua nini kinaendelea..Lakini hawana nguvu ya kumzuia sababu ya wanaodhaniwa kuwa nyuma..

TICTS,Shida ilikuwa mapana ya mkataba na uwezo kiufanisi..Wamejitahidi na wamekwama

Tufike mahali iwe mwiko kutukuza wahujumu uchumi na Taifa..
Mkuu ni vita nzito ya kiuchumi yale yale aliyokuwa akiyasema marehemu JPM ndio haya yanayotokea hivi sasa.

Na kama JPM alisema mara kwa mara tumuombee, Samia anaipigana hii vita akiwa mpole na mkimya.
 
Rais umefanya mema na mazuri kupitia uongozi wako. Mungu mtakatifu ana kusudi la kukupa nafasi kuu ktk nchi yetu ktk mazingira uliopewa si Kwa mapenzi ya wanadamu Bali Mungu tu..Si Kwa wewe kutaka Bali neema tu.

Wengi sana walijitokeza (Watangaza nia)ili kupewa kijiti cha kupeperusha bendera ya CCM..Walilipa fedha, Walizunguka nchi nzima wakijinadi Kwa wanachama (Wajumbe) na wananchi. Mwenyezi Mungu hakuwapa nafasi kupitia michakato mbalimbali ya Chama na kitaifa..

Ilimpendeza Mungu Hayati JPM awe kiongozi Mkuu wa taifa hili tajiri na wewe kuwa Msaidizi wake au makamu wake. Mungu alimpangia Siku,saa,mazingira ya kutwaliwa ktk mwili..Mwili wake umefariki huku roho yake ikisubiri hukumu Kama ilivyo Kwa wanadamu wote Kwa mujibu wa maandiko..

Yamkini nia na makusudi ni njema kabisa Kwa mujibu wa upembuzi wa viongozi wetu haswaa ktk kukuletea taifa tija Kina endelea ELIMU, AFYA, MIUNDOMBINU, N.K. Kwa lilivyo hili jambo sio jepesi ni zito mnoo. Limeenea mnoo..Lina ukakasi mnoo,Halina amani. Halina furaha. Halina utulivu. Linachakata mioyo, roho, fahamu Za wananchi maskini, wenye kipato cha kati na wasomi (Elimu bure imeleta effect ktk fikra)..

Viongozi wetu, Mitihani ktk maisha ya Uongozi haina budi kuruhusiwa kuwapata..Fanyeni toba Kwa Mwenyezi Mungu. Ombeni hekima na busara. Fanyeni maamuzi magumu yenye kuleta amani,Utulivu na mshikamano..

Kwa Heshima na unyenyekevu mkubwa nikuombe Mh Rais ikikupendeza hutubia taifa Kwa muda utakaokufaa na Utoe ufafanuzi wa mapana,Omba radhi kwenye mapungufu, Elimisha itakapobidi,Wajibisha wanaopaswa kuwajibishwa ,Toa dira mahsusi, Kemea uzembe wote (Watumishi na Viongozi wote wa umma hutenda kazi Kwa niaba yako Mh Rais,..Huwezi kufika kila mahali. Huwezi soma kila kitu,Huwezi fuatilia kila jambo..Huwezi saini kila nyaraka.

Mwisho usisahau kuwasamehe wote wate waliokukosea,Kukuudhi,Kuumiza moyo,na kukukwaza sana ktk kipindi hiki..Ni mtihani kwako. Mwenyezi Mungu anatusamehe makosa yetu tunaposamehe wengine wanaotukosea.

Kwa kuwa watendaji wako na wasaidizi wako ni binadamu hivyo wana mapungufu Kwa namna moja au nyingine hivyo hawawezi kuwa sahihi Kwa kila jambo Kwa kuzingatia changamoto za kimazingira, elimu, Utandawazi na mengineo.

Nina imani Watanzania wana imani na uongozi wako na jitihada zote ufanyazo ktk kuimarisha na kujenga umoja wa kitaifa. Kwa hotuba yako mjadala utakoma na mengi mema yako na serikali yatatamalaki zaidi..
Litapita tu hili na bandari hairudi tena. Hakuna haja kuomba msamaha
 
Back
Top Bottom