Rais Samia tunaomba uwambie kweli ZESCO na Wazanzibari hakuna Umeme wa bure wagharamikie kama TANESCO na wabara.

Rais Samia tunaomba uwambie kweli ZESCO na Wazanzibari hakuna Umeme wa bure wagharamikie kama TANESCO na wabara.

Kama machogo mnaona mnaumizwa kwenye huo mnaoita muungano, kwa nini bado mnaung'ang'ania? Acheni Zanzibar ijitawale (full autonomy) halafu ondoeni majeshi yenu ya vamizi Zanzibar. Wazanzibar watashirikiana na ndugu zetu waliopo Oman, Iran, India, UK, Canada, n.k. kuleta maendeleo visiwani. Kwani kabla ya muungano tuliishije?
 
Waweke wamtakae lakini swala la umeme kupewa bure linafikirisha sana tena sana huku wabara wakiambiwa hakuna umeme wa 27,000!
Tunamunywa huku wao wananeemeka!
 
Back
Top Bottom