secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Hizo ndio zimeokoa wengi we ke.ngeGood, tuache maigizo kwenye afya za watu, mara sijui mapapai, mbuzi, kujifukiza, tangawizi, maembe na ujinga mwingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ndio zimeokoa wengi we ke.ngeGood, tuache maigizo kwenye afya za watu, mara sijui mapapai, mbuzi, kujifukiza, tangawizi, maembe na ujinga mwingine.
Kwa hiyo unataka kumlazimisha nani? mbw.a wee....aliyekwambia hazina madhara ni nani.....pumbav.Najiuliza hii chanjo kutolewa kwa hiari hakuwezi kuleta madhara huko mbele ya safari kwa wale watakaokuwa hawajachanjwa kuendeleza maambukizi?
Sikumbuki kama na huko kwingine duniani hiyo chanjo ilitolewa kwa hiari, mfano tunaona nchi kama Uganda, japo wapo waliochanjwa lakini bado Corona inawasumbua.
Hii Corona tusipoichukulia serious tutakuwa tunajaza maji kwenye ndoo iliyotoboka, kama chanjo wanaziamini hazina madhara, kwanini zisiwe lazima, wengine wataelewa umuhimu wakishachanjwa.
... inaumiza sana Mkuu. Mungu wa Mbinguni amwongoze na kumlinda Rais Samia!Hongera sana Mama kwa moyo wa kishujaa wapendwa wetu wengi wamekwenda na Corona sababu wataalam hawakupewa nafasi zikabaki siasa na kubrainwash watu ambao mpaka sana kuna wengine wako gizani
... safi sana! Serikali yoyote jukumu la msingi ni afya za wananchi!Zanzibar wafanyakazi wa afya tayari wamepiga chanjo ya mwanzo.
... panya wa majaribio ni wale waliotegemea "herd immunity". Acha waambukizane weee hadi survival for the fittest! Huu ni uuwaji!Hizi ndo zile zilizoidhinishwa na ikulu ya marekani? naona panya wa majaribio wakijiandaa kushiriki kwenye utafiti wa mabeberu...
Kwa hiyo herd immunity ni jambo la kufirika, BTW hiyo sumu imekinga wangapi wasipate korona au wasife....... panya wa majaribio ni wale waliotegemea "herd immunity". Acha waambukizane weee hadi survival for the fittest! Huu ni uuwaji!
... sio kila tatizo approach fulani inaweza kutumika kulitatua. Herd immunity kwa Corona? You must be crazy to attempt it.Kwa hiyo herd immunity ni jambo la kufirika, BTW hiyo sumu imekinga wangapi wasipate korona au wasife....
Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali ipo katika hatua za mwisho za kuagiza chanjo ya COVID19
Amesema ni muhimu iwepo ili anayetaka kuchoma aipate kiurahisi kwa kuwa matum,izi ya chanjo hiyo itakuwa hiyari
Amesema hayo alipokuwa katika Kongamano la Kumbukumbu ya Rais wa Awamu ya tatu, Hayati Benjamin Mkapa
Chanjo siku zote ni hiari, kinachohitajika ni elimu kwa umma, kampeni za kuhamasisha wananchi kuipokea chanjo, kinachohitajika ni majority wawe wamechanjwa ili kufikia "herd immunity"Najiuliza hii chanjo kutolewa kwa hiari hakuwezi kuleta madhara huko mbele ya safari kwa wale watakaokuwa hawajachanjwa kuendeleza maambukizi?
Sikumbuki kama na huko kwingine duniani hiyo chanjo ilitolewa kwa hiari, mfano tunaona nchi kama Uganda, japo wapo waliochanjwa lakini bado Corona inawasumbua.
Hii Corona tusipoichukulia serious tutakuwa tunajaza maji kwenye ndoo iliyotoboka, kama chanjo wanaziamini hazina madhara, kwanini zisiwe lazima, wengine wataelewa umuhimu wakishachanjwa.
Kama herd immunity haiwezekani hata chanjo haziwezi kuwa effective ukizingatia hao virus wanabadilika badilika......... sio kila tatizo approach fulani inaweza kutumika kulitatua. Herd immunity kwa Corona? You must be crazy to attempt it.
Shauri yako nasikia chanjo iliua kakakuona alivyochanjwa🤣🧼🏃♂️kwa ninayoendelea kuyaona, nitakuwa wa kwanza kuchomwa
Huwezi mlazimisha mtu ambaye haumwi. Akili ni nywele chanja wewe siyo uwasemee wengine.Najiuliza hii chanjo kutolewa kwa hiari hakuwezi kuleta madhara huko mbele ya safari kwa wale watakaokuwa hawajachanjwa kuendeleza maambukizi?
Sikumbuki kama na huko kwingine duniani hiyo chanjo ilitolewa kwa hiari, mfano tunaona nchi kama Uganda, japo wapo waliochanjwa lakini bado Corona inawasumbua.
Hii Corona tusipoichukulia serious tutakuwa tunajaza maji kwenye ndoo iliyotoboka, kama chanjo wanaziamini hazina madhara, kwanini zisiwe lazima, wengine wataelewa umuhimu wakishachanjwa.
Tatizo kuna watu mnaichukulia chanjo kama dawa au tiba, kutoelimika ni mzigo mkubwa.......kwa ninayoendelea kuyaona, nitakuwa wa kwanza kuchomwa
Herd immunity inawezekana kwa corona, herd immunity inaweza kupatikana kwa kuchanja majority ya population katika muda mfupi, tatizo huko nyuma walikuwa wanataka herd immunity kwa kuacha kirusi kisambae kwa kasi na watu watengeneze kinga, hilo ndio haliwezekani !... sio kila tatizo approach fulani inaweza kutumika kulitatua. Herd immunity kwa Corona? You must be crazy to attempt it.
Chanjo moja sh. Ngapi?... Mh. waziri wa fedha keshafafanua inaletwa chanjo ile ile waliyochanjwa Biden na Trump! Mbona hamuelewi?
Nikitoa mfano wa Uingereza, kuchoma chanjo ni hiari. Ila wanakazana kutoa muongozo na kushawishi watu wachome. Halafu walichofanya nikuzuia baadhi ya shughuli, huduma au maeneo kutotumika na watu ambao hawajapata chanjo. Wakifanikiwa kuchoma zaidi ya asilimia 75 wataweza kufikia "herd immunity" ambayo italinda wote.Najiuliza hii chanjo kutolewa kwa hiari hakuwezi kuleta madhara huko mbele ya safari kwa wale watakaokuwa hawajachanjwa kuendeleza maambukizi?
Sikumbuki kama na huko kwingine duniani hiyo chanjo ilitolewa kwa hiari, mfano tunaona nchi kama Uganda, japo wapo waliochanjwa lakini bado Corona inawasumbua.
Hii Corona tusipoichukulia serious tutakuwa tunajaza maji kwenye ndoo iliyotoboka, kama chanjo wanaziamini hazina madhara, kwanini zisiwe lazima, wengine wataelewa umuhimu wakishachanjwa.
... at least that! Chanjo kwa majority that's OK lakini sio kuwaacha wananchi waambukizane bila control ya aina yoyote!Herd immunity inawezekana kwa corona, herd immunity inaweza kupatikana kwa kuchanja majority ya population katika muda mfupi, tatizo huko nyuma walikuwa wanataka herd immunity kwa kuacha kirusi kisambae kwa kasi na watu watengeneze kinga, hilo ndio haliwezekani !
pls jaribu kuelewa mambo, hakuna mtu anaweza kukulazimisha uende hosipitali ukiwa mgojwa kaa umetimia miaka 18,na ndio hii chanjo iko, sababu ya hii corona kuenea kwa kasi ni kwa kuwa watu wasiopata chajo ndio rahisi kusika corona na kufaNajiuliza hii chanjo kutolewa kwa hiari hakuwezi kuleta madhara huko mbele ya safari kwa wale watakaokuwa hawajachanjwa kuendeleza maambukizi?
Sikumbuki kama na huko kwingine duniani hiyo chanjo ilitolewa kwa hiari, mfano tunaona nchi kama Uganda, japo wapo waliochanjwa lakini bado Corona inawasumbua.
Hii Corona tusipoichukulia serious tutakuwa tunajaza maji kwenye ndoo iliyotoboka, kama chanjo wanaziamini hazina madhara, kwanini zisiwe lazima, wengine wataelewa umuhimu wakishachanjwa.