#COVID19 Rais Samia: Tupo hatua za mwisho za kuagiza chanjo

#COVID19 Rais Samia: Tupo hatua za mwisho za kuagiza chanjo

Hata ingekuwa lazima bado ukitumia utaonekana mwendawazimu tu. Kuna mambo mengine common sense tu inakuambia huu ni ujinga. Mwendazake alikuwa amegeuza nchi ikawa kama ya mataahira watu wanakimbizana na malimao na tangawizi!
Uzuri ni kwamba hakulazimishwa ni sawa chanjo ambazo halazimishwi mtu, wapo ambao walitumia hayo malimao na wana ushuhuda wao na sie wengine hatukuangaika na malimao na wala hatuna mpango wa kuangaika na chanjo.
 
Najiuliza hii chanjo kutolewa kwa hiari hakuwezi kuleta madhara huko mbele ya safari kwa wale watakaokuwa hawajachanjwa kuendeleza maambukizi?

Sikumbuki kama na huko kwingine duniani hiyo chanjo ilitolewa kwa hiari, mfano tunaona nchi kama Uganda, japo wapo waliochanjwa lakini bado Corona inawasumbua.

Hii Corona tusipoichukulia serious tutakuwa tunajaza maji kwenye ndoo iliyotoboka, kama chanjo wanaziamini hazina madhara, kwanini zisiwe lazima, wengine wataelewa umuhimu wakishachanjwa.
kwanza jiulize tu mfano mdogo hapo uganda au nchi nyingine jirani ambayo wamechanjwa kwanini maambukizi yapo palepale na haohao waliochanjwa ndiyo wanauguwa? mtangulizeni mungu mbele
 
Mzee mdiliko, hakuna cha chanjo mbili wala tatu.....hiyo ni biashara endelevu ya mabeberu, yaani itafikia watu wataishi kwa kutegemea chanjo ambayo utatakiwa kudunga kila baada ya miezi 6 na hapo ndo beberu atapiga pesa kwani hatatoa chanjo za msaada kama anavyofanya sasa. Na ataweza ku enforce hii kwa kuweka restrictions kwenye usafiri kama inavyotokea sasa kwenye ndege na ku access huduma mbalimbali za kijamii, that is a real trap.....
Kwa hiyo huyo beberu ameshindwa kabisa kupiga fedha zetu kwa njia nyingine kabisa akaona afanye mahoka ya corona ili apige fedha? Alishindwa nini kutupiga kwenye bidhaa nyingine anazotuuzia? Ukumbuke huyo huyo beberu anatupa msaada mkubwa kila mwaka! Pia mazo yetu ananunua mengi tu.
 
Kwa hiyo huyo beberu ameshindwa kabisa kupiga fedha zetu kwa njia nyingine kabisa akaona afanye mahoka ya corona ili apige fedha? Alishindwa nini kutupiga kwenye bidhaa nyingine anazotuuzia? Ukumbuke huyo huyo beberu anatupa msaada mkubwa kila mwaka! Pia mazo yetu ananunua mengi tu.
Ndo hivyo mzee, tulishajiweka kwenye kivuli cha beberu toka kitambo tutulie tu tuendelee kunyolewa..
 
Unasehemu gani ya maisha yangu wewe??

Mbona unataka kuwa mjinga sasa! aisee, usitake kuiga maisha yangu, niwe nasali kwa gwajima ama wapi, inakuhusu nini wewe, inakunyima nini, au ni jambo lipi linakuhusu moja kwa moja na linakupa shida kwa kusali kwangu huko?
Du umekuwa mkali kama pilipili. Hakika wewe unaweza kuwa Gwajima tapeli the porn star! Yule aliyecheza clip ya ngono na yule mwanamke halafu akasingizia ni mkono wa baunsa! Salute 😝 kwa Gwajima the asherati! Mzee clip nyingine utatoa tena lini? Shetani hajambo?
 
Wasiochanjwa ndio wanaoongoza kueneza UVIKO-19 hivi sasa. Wengine wanaeneza ugonjwa bila hata ya wao kuonesha dalili za ugonjwa.

Kwa mujibu wa utafiti ni kuwa, watu wengi wana UVIKO-19 lakini hawahisi dalili zozote zile za ugonjwa. Wanabaki kuwa 'variant factories' kwa ajili ya kueneza mawimbi ya UVIKO-19 duniani.
 
Du umekuwa mkali kama pilipili. Hakika wewe unaweza kuwa Gwajima tapeli the porn star! Yule aliyecheza clip ya ngono na yule mwanamke halafu akasingizia ni mkono wa baunsa! Salute 😝 kwa Gwajima the asherati! Mzee clip nyingine utatoa tena lini? Shetani hajambo?
Akili zako ndoogo sana! hiyo uliyoandika inakusaidia chochote?
 
Watuletee tu maana ni kawaida kutufanya panya wa maabara, leteni COVAX tuchome nyie mmeishachoma Pfizer!, kama ARV tunazotumia sisi ni Made in India na Pakistan wakati wenyewe wanameza Made in Italy na UK alafu wanatwambia zote ni Sawa tu!

Za italy na Uk zipo zinauzwa chief unanunua tu.
Hata Pfizer ipo bosi ukienda huko ughaibuni zipo unadunga tu....Umasikini ndio mchawi hapa.
 
Wasiochanjwa ndio wanaoongoza kueneza UVIKO-19 hivi sasa. Wengine wanaeneza ugonjwa bila hata ya wao kuonesha dalili za ugonjwa.

Kwa mujibu wa utafiti ni kuwa, watu wengi wana UVIKO-19 lakini hawahisi dalili zozote zile za ugonjwa. Wanabaki kuwa 'variant factories' kwa ajili ya kueneza mawimbi ya UVIKO-19 duniani.
Lazima makuwadi wa chanjo za mabeberu mweneze propaganda kichaa kama hizi...
 
Najiuliza hii chanjo kutolewa kwa hiari hakuwezi kuleta madhara huko mbele ya safari kwa wale watakaokuwa hawajachanjwa kuendeleza maambukizi?

Sikumbuki kama na huko kwingine duniani hiyo chanjo ilitolewa kwa hiari, mfano tunaona nchi kama Uganda, japo wapo waliochanjwa lakini bado Corona inawasumbua.

Hii Corona tusipoichukulia serious tutakuwa tunajaza maji kwenye ndoo iliyotoboka, kama chanjo wanaziamini hazina madhara, kwanini zisiwe lazima, wengine wataelewa umuhimu wakishachanjwa.

Kwa hiyo mkuu unaona ni bora wote wachanje? Hapana nakupinga kwa hilo..
Tuheshimu maamuzi ya kila Mtu asee.
N.b mbeleni chanjo itakua moja na kila Mtu itamlazimu achanje kwa lazima. Sio leo wala kesho.. but mbeleni
 
Mkuu duniani karibu kila sehemu chanjo ni hiari. Ulaya, Marekani na Asia kote ni hiari. Uzuri ni kuwa nchi nyingi watu wana akili hivyo wamejitokeza kuchanja. Upinzani wa kijinga naona upo Bongo tu. Nadhani hata wanaopinga ni wajinga wachache tu. Utashangaa zikija watu watakavyozigombania.

Nchi gani hizo mkuu? Umeshafika kweli hata tu south? Acha propaganda
 
Shetani ameeamkaje? Hajambo?
Nimejiridhisha kabisa kwamba, siwezi kukuulaumu tena, kwani sio wewe, nitamlaani huyo mdudu anayejulikana kwa jina la mjinga anayekula ubongo wako!
Huyo kakukalia vibaya sana, amekufanya usijitambue, amekufanya kuwa mbea na mtu usiyechambua ni kitu gani unaweza okota hapa ili kikusaidie

Amekufanya uone Jambo la kawaida kupoteza mb zako kuongelea ujinga kwa sababu ya mdudu anayekaa kichwani kwako (mjinga) nitamlaumu yeye na siyo wewe

Umekosa faida kwa sababu ya mdudu huyu (mjinga) eeh!! haikubaliki, kwani unaweza kuepukana naye tena na ukawa kijana safi mwenye akili zako

Cha kukushauri, acha umbeya na udaku, fuatilia yale yanayokufaa, yenye kuondoa huyo mdudu wako, kijinga tupa kule
 
Back
Top Bottom