#COVID19 Rais Samia: Tupo hatua za mwisho za kuagiza chanjo

#COVID19 Rais Samia: Tupo hatua za mwisho za kuagiza chanjo

Kwa hiyo mkuu unaona ni bora wote wachanje? Hapana nakupinga kwa hilo..
Tuheshimu maamuzi ya kila Mtu asee.
N.b mbeleni chanjo itakua moja na kila Mtu itamlazimu achanje kwa lazima. Sio leo wala kesho.. but mbeleni
Unamaanisha kutimia kwa unabii wa alama ya mnyama......
 
Ingekua ukichoma hii chanjo haufi milele mimi ningechoma. Ila kama nitachoma na kufa kuko pale hamna haja na sioni haja ya kuishadadia
 
Ingekua ukichoma hii chanjo haufi milele mimi ningechoma. Ila kama nitachoma na kufa kuko pale hamna haja na sioni haja ya kuishadadia
Hahahaha......mkuu wewe unataka chanjo ya kukukinga na kifo, kuna wademkaji humu wanajua wakichanja korona na kufa bye bye.....
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali ipo katika hatua za mwisho za kuagiza chanjo ya COVID19

Amesema ni muhimu iwepo ili anayetaka kuchoma aipate kiurahisi kwa kuwa matumizi ya chanjo hiyo itakuwa hiyari

Amesema hayo alipokuwa katika Kongamano la Kumbukumbu ya Rais wa Awamu ya tatu, Hayati Benjamin Mkapa

Walete haraka ,kazi iendelee!
 
Mzee mdiliko, hakuna cha chanjo mbili wala tatu.....hiyo ni biashara endelevu ya mabeberu, yaani itafikia watu wataishi kwa kutegemea chanjo ambayo utatakiwa kudunga kila baada ya miezi 6 na hapo ndo beberu atapiga pesa kwani hatatoa chanjo za msaada kama anavyofanya sasa. Na ataweza ku enforce hii kwa kuweka restrictions kwenye usafiri kama inavyotokea sasa kwenye ndege na ku access huduma mbalimbali za kijamii, that is a real trap.....
You are arguing with stones,,hautashinda
 
Good, tuache maigizo kwenye afya za watu, mara sijui mapapai, mbuzi, kujifukiza, tangawizi, maembe na ujinga mwingine.
Karuka mita 2000 juu

IMG-20210714-WA0110.jpg
 
Eti papai lina corona!! Hivi ukichukua sample ya mkojo ukaweka kwenye kipimio cha malaria unategemea majibu yatakuwaje? Kwanza kipimio chenyewe unakuwa umekichanganya kabisa! Jiwe sijui chemistry yake alisomea wapi.
Ukiona umeweka maji kwenye engene ya petrol na imewaka, badala ya kufurahi kama una akili lazima uhamaki.

Lakini nyumbu siku zote ni nyumbu tu nyinyi.

Sent from my INE-LX1r using JamiiForums mobile app
 
Nimejiridhisha kabisa kwamba, siwezi kukuulaumu tena, kwani sio wewe, nitamlaani huyo mdudu anayejulikana kwa jina la mjinga anayekula ubongo wako!
Huyo kakukalia vibaya sana, amekufanya usijitambue, amekufanya kuwa mbea na mtu usiyechambua ni kitu gani unaweza okota hapa ili kikusaidie

Amekufanya uone Jambo la kawaida kupoteza mb zako kuongelea ujinga kwa sababu ya mdudu anayekaa kichwani kwako (mjinga) nitamlaumu yeye na siyo wewe

Umekosa faida kwa sababu ya mdudu huyu (mjinga) eeh!! haikubaliki, kwani unaweza kuepukana naye tena na ukawa kijana safi mwenye akili zako

Cha kukushauri, acha umbeya na udaku, fuatilia yale yanayokufaa, yenye kuondoa huyo mdudu wako, kijinga tupa kule
Kwa nini Gwajima anatafuna kondoo wake, tena anajirekodi? Wewe unayedanganywa na tapeli kama yule na mimi ni nani mjinga?
 
Chanjo siku zote ni hiari, kinachohitajika ni elimu kwa umma, kampeni za kuhamasisha wananchi kuipokea chanjo, kinachohitajika ni majority wawe wamechanjwa ili kufikia "herd immunity"
Sasa hao majority utawapataje kama wengi bado hawaitaki hiyo chanjo?
 
Kwa hiyo unataka kumlazimisha nani? mbw.a wee....aliyekwambia hazina madhara ni nani.....pumbav.
Nyie ndio tatizo la hii nchi, huu ujingao wenu utawadhuru wengine.
 
Nikitoa mfano wa Uingereza, kuchoma chanjo ni hiari. Ila wanakazana kutoa muongozo na kushawishi watu wachome. Halafu walichofanya nikuzuia baadhi ya shughuli, huduma au maeneo kutotumika na watu ambao hawajapata chanjo. Wakifanikiwa kuchoma zaidi ya asilimia 75 wataweza kufikia "herd immunity" ambayo italinda wote.

Chanjo haizuiii mtu kutopata Korona ila inapunguza makali yake ukipata. Tatizo nikuwa kirusi kinabadilika haraka sana. Ikitokea kikabadilika kiasi cha kutohimiliwa na chanjo zilizotengenezwa kwa sasa, tatizo litabaki pale pale. Ndio maana chanjo nyingine unachoma zaidi ya mara moja.

Kiukweli huu ugonjwa tunao kwa muda mrefu sana.
Atleast Uingereza tumeona kwenye mashindano ya Euro watu wamejaa viwanjani, hii inaonesha chanjo imefanya kazi.
 
pls jaribu kuelewa mambo, hakuna mtu anaweza kukulazimisha uende hosipitali ukiwa mgojwa kaa umetimia miaka 18,na ndio hii chanjo iko, sababu ya hii corona kuenea kwa kasi ni kwa kuwa watu wasiopata chajo ndio rahisi kusika corona na kufa
Simply unamaanisha wasiopata chanjo wapo tayari kufa kirahisi.
 
Mkuu duniani karibu kila sehemu chanjo ni hiari. Ulaya, Marekani na Asia kote ni hiari. Uzuri ni kuwa nchi nyingi watu wana akili hivyo wamejitokeza kuchanja. Upinzani wa kijinga naona upo Bongo tu. Nadhani hata wanaopinga ni wajinga wachache tu. Utashangaa zikija watu watakavyozigombania.
Hamjibu swali langu la mwanzo, kama ni hiari vipi ikitokea wengi hawajapata hiyo chanjo, herd immunity itafanyaje kazi?
 
Back
Top Bottom