Rais Samia tusaidie, Uteuzi wa DCI Kingai, Watanzania tunaenda kuzikwa wazima wazima

Kwa maelezo yako Ofisa wa polisi hajui malalamiko na mashtaka na ndo anakuwa DCI. Hii nchi ngumu Sana
Sio kwamba hajui, bali ni maneno ambayo ni rahisi kuyatumia mbadala. Kama vile kusema "tangu juzi" au "tokea juzi".

Ukizama kwenye usomi wa Kiswahili ni moja tu hapo iko sahihi. Lakini katika maongezi ya kawaida tunatumia yote tu. Sasa hilo nililolisema mimi ni ukizama kisheria. Lakini katika uzungumzaji wa kawaida mtu akipeleka malalamiko Polisi tunasema kaenda kufungua kesi Polisi, wakati Polisi hawafungui kesi.
 
Kama kingai kapewa uDCI basi hats makonda na sabaya watateuliwa tena.

Maji hufuata mkondo wake.

Udhalimu Haina aibu Wala Soni.

Kingai for uDCI what a waste.
Katiba ni mwarobaini kwa uovu kama huu, ili anaeteuliwa kwa nafasi kama hizi kuwepo na Mamlaka huru za kutoa ushauri au kukataa uteuzi wa aliyeteuliwa. Raisi asiteue watu hata ambao hawana maadili au weledi wa kazi.
 
Duuh inatisha
 
S
Katiba ni mwarobaini kwa uovu kama huu, ili anaeteuliwa kwa nafasi kama hizi kuwepo na Mamlaka huru za kutoa ushauri au kukataa uteuzi wa aliyeteuliwa. Raisi asiteue watu hata ambao hawana maadili au weledi wa kazi.
Kweli
 
Uovu mwingi umefanyika nchi hii kuanzia 2016. Watu wanahitajika kwenye vyombo vya haki kuzuia uovu huo usiendelee kuanikwa na pengine kufuatiliwa. Waovu wanahitaji ulinzi wakati pengine mikakati ya msamaha
 
Wewe na wao nani anamjua Kingai???
 
Ukiona hivi ujue mambo yote aliyokuwa akifanya yalikuwa maelekezo mahususi. Sasa wanamzawadia fadhila..
Na hii si bahati mbaya..
 
Wakati huku Tanzania akina Kingai walipandiswa cheo, huko Kenya ambako kuna Rais wa watu hali ni Tofauti.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…