Rais Samia tusaidie, Uteuzi wa DCI Kingai, Watanzania tunaenda kuzikwa wazima wazima

Rais Samia tusaidie, Uteuzi wa DCI Kingai, Watanzania tunaenda kuzikwa wazima wazima

Kwa maelezo yako Ofisa wa polisi hajui malalamiko na mashtaka na ndo anakuwa DCI. Hii nchi ngumu Sana
Sio kwamba hajui, bali ni maneno ambayo ni rahisi kuyatumia mbadala. Kama vile kusema "tangu juzi" au "tokea juzi".

Ukizama kwenye usomi wa Kiswahili ni moja tu hapo iko sahihi. Lakini katika maongezi ya kawaida tunatumia yote tu. Sasa hilo nililolisema mimi ni ukizama kisheria. Lakini katika uzungumzaji wa kawaida mtu akipeleka malalamiko Polisi tunasema kaenda kufungua kesi Polisi, wakati Polisi hawafungui kesi.
 
Kama kingai kapewa uDCI basi hats makonda na sabaya watateuliwa tena.

Maji hufuata mkondo wake.

Udhalimu Haina aibu Wala Soni.

Kingai for uDCI what a waste.
Katiba ni mwarobaini kwa uovu kama huu, ili anaeteuliwa kwa nafasi kama hizi kuwepo na Mamlaka huru za kutoa ushauri au kukataa uteuzi wa aliyeteuliwa. Raisi asiteue watu hata ambao hawana maadili au weledi wa kazi.
 
View attachment 2298251
Shikamoo Rais Samia

Huyu Kingai anaenda kutumaliza, visasi vingi na atahakikisha wabaye wake wanakipata cha mtemakuni.

Kingai haijui hata PGO, atakuwaje Mkurugenzi wa Upelelezi? Twafwa.

Kesi dhidi ya Mbowe ya Ugaidi, nilitegemea imfumbue macho Rais ili ajue waliomzunguka. Naamini rais kashauriwa Vibaya. Tusimlaumu sana sababu bado anayo nafasi ya kubadilisha.

Huu ndo Ushauri Lukuvi anampa rais wetu? Kingai? Huyu wa Kinondoni au yupo Kingai mwingine Jeshini?

Kama Afande Kingai angesoma PGO vizuri, angegundua kuwa SHTAKA linafunguliwa BAADA ya mtuhumiwa KUHOJIWA! Ikibainika "maelezo ya onyo" yanafichua KOSA, ndipo Jalada la Mashtaka HUANDALIWA. Kingai alipoulizwa na Wakili wa Serikali kwanini aliwatoa watuhumiwa Moshi kuwaleta DSM,

alijibu, "huko ndiko mashtaka yao yalipofunguliwa!" Sasa, ilikuwaje ukafungua mashtaka ya hawa Vijana wakati bado hawajakamatwa, na wala KUHOJIWA!

PGO isomwe jamani, tena isomwe vizuri! Mnadhalilisha hili Jeshi.

Kingai alimnyima dhamana mtu aliyehoji kutaka kujua kama Hayati Magufuli anaumwa. Eti hakupasa kuhoji akakamatwa akapigwa na kunyimwa dhamana.

Aloshiriki kumdanganya rais Samia ili amteue Kingai, achukuliwe hatua.

View attachment 2298249
View attachment 2298250
Duuh inatisha
 
S
Katiba ni mwarobaini kwa uovu kama huu, ili anaeteuliwa kwa nafasi kama hizi kuwepo na Mamlaka huru za kutoa ushauri au kukataa uteuzi wa aliyeteuliwa. Raisi asiteue watu hata ambao hawana maadili au weledi wa kazi.
Kweli
 
View attachment 2298251
Shikamoo Rais Samia

Huyu Kingai anaenda kutumaliza, visasi vingi na atahakikisha wabaye wake wanakipata cha mtemakuni.

Kingai haijui hata PGO, atakuwaje Mkurugenzi wa Upelelezi? Twafwa.

Kesi dhidi ya Mbowe ya Ugaidi, nilitegemea imfumbue macho Rais ili ajue waliomzunguka. Naamini rais kashauriwa Vibaya. Tusimlaumu sana sababu bado anayo nafasi ya kubadilisha.

Huu ndo Ushauri Lukuvi anampa rais wetu? Kingai? Huyu wa Kinondoni au yupo Kingai mwingine Jeshini?

Kama Afande Kingai angesoma PGO vizuri, angegundua kuwa SHTAKA linafunguliwa BAADA ya mtuhumiwa KUHOJIWA! Ikibainika "maelezo ya onyo" yanafichua KOSA, ndipo Jalada la Mashtaka HUANDALIWA. Kingai alipoulizwa na Wakili wa Serikali kwanini aliwatoa watuhumiwa Moshi kuwaleta DSM,

alijibu, "huko ndiko mashtaka yao yalipofunguliwa!" Sasa, ilikuwaje ukafungua mashtaka ya hawa Vijana wakati bado hawajakamatwa, na wala KUHOJIWA!

PGO isomwe jamani, tena isomwe vizuri! Mnadhalilisha hili Jeshi.

Kingai alimnyima dhamana mtu aliyehoji kutaka kujua kama Hayati Magufuli anaumwa. Eti hakupasa kuhoji akakamatwa akapigwa na kunyimwa dhamana.

Aloshiriki kumdanganya rais Samia ili amteue Kingai, achukuliwe hatua.

View attachment 2298249
View attachment 2298250
Uovu mwingi umefanyika nchi hii kuanzia 2016. Watu wanahitajika kwenye vyombo vya haki kuzuia uovu huo usiendelee kuanikwa na pengine kufuatiliwa. Waovu wanahitaji ulinzi wakati pengine mikakati ya msamaha
 
Ukiona hivi ujue mambo yote aliyokuwa akifanya yalikuwa maelekezo mahususi. Sasa wanamzawadia fadhila..
Na hii si bahati mbaya..
 
Wakati huku Tanzania akina Kingai walipandiswa cheo, huko Kenya ambako kuna Rais wa watu hali ni Tofauti.
 
Back
Top Bottom