Rais Samia tusaidie Watanzania wote tuweze kumiliki ardhi Zanzibar

Rais Samia tusaidie Watanzania wote tuweze kumiliki ardhi Zanzibar

Mkuu Leak, aridhi za kumilikishwa au kusaidiwa kumili, hata huku bara, hazipo! Wewe pambania kumiliki au fursa yoyote uitakayo, lakini ukisubiri kutafuniwa, utakufa masikini...

Unapiga chenga hoja.... hoja mbona dar watu wa zanzibar wana viwanja na mashamba ifakara.. ila watu wa bara haturuhusiwi kumiliki kiwanja zanzibar.. wapemba kibao wana nyumba dar.. je kuna mchaga hata mmoja mwenye nyumba zanzibar?
 
Nataka mfahamu hii Wa Zanzaibari wote wana haki popote tanzania sababu ni watanzania.

Si watanzania wote wenye haki zanzibar ila uwe mzanzibari. hii ndio ilivyo na ndio katiba ya nchi.

kama si mzanzibari huna haki
  1. kupiga kura zanzibar kumchaguwa raisi wa zanzibar
  2. ya kucha gua mjumbe wa baraza la wakilishi
  3. ku miliki Ardhi
  4. na mengine.
 
Unapiga chenga hoja.... hoja mbona dar watu wa zanzibar wana viwanja na mashamba ifakara.. ila watu wa bara haturuhusiwi kumiliki kiwanja zanzibar.. wapemba kibao wana nyumba dar.. je kuna mchaga hata mmoja mwenye nyumba zanzibar?
Wapo! Ninamjua Mchungaji mmoja msukuma ana nyumba kadhaa Unguja!
 
Hawakawii kusema wao ni kama mkoa kwa hiyo hakuna ardhi, lakini ukiangalia maeneo mengi ya nje ya miji ni mapori na mashamba tu wote wamejikusanya mijini.
 
Juzi nimepita na mwewe kutoka nyanda za juu kusini,kwenda town,nimeshuhudia jinsi Tanzania tulivyobarikiwa kuwa na ardhi kubwa na yenye rutuba,mito,maziwa na mabonde yaliyobarikiwa uoto wa asili .

Mpaka sasa hata robo ya ardhi ya Tanzania hatujaimaliza. Hata miaka buku hatutaimaliza. Nikajiuliza kwa nini tugombana ksbb ya ardhi. Unakuta watu wanauana ksbb ya mita moja tu ya kipande cha ardhi. Ilihali tuna ardhi kibao haijaguswa.

Nafikiri sasa kitu cha kufanya ni sisi wananchi kuipigia kelele sana kuimba sana iwe kipaumbele serikali igawe maeneo mengi kwa ramani na mpangilio,iweke alama kabisa. Then iweke miundombinu sehemu nyingi nyingi. Watu waingie huko waanzishe maisha wakiikuta miundombinu kwanza barabara,umeme,maji tosha sana
 
Ujinga upumbavu watanganyika ujinga unawamaliza hamtushukuru kwamba WAZANZIBAR tukikutawaleni huwa hatuna issue ya kukutieni katika viroba tukawatupa ktk mto msimbazi
We mla urojo aka mdebwedo utamuweza kweli Mtanganyika ngangari mla nguna? kutwa mwanaume umevaa msuri .
 
Mh Rais...Bwana asifiwe...

Nimatumaini yangu wewe ni mzima wa afya na sisi Watanzania tunaendele kukuombea uendelee kuwa na afya njema. Mh Rais wewe umeonesha wazi ni mpenda haki na ni wazi umeonesha unataka muungano ulio imara kabisa bila kujali chochote umehakikisha wazanzibari wanapata nafasi mabli mbali huku bara na bila kusahau umehakikisha wazanzibar wana nufaika na Muungano wetu..

Mimi naleta ombi moja kwako kuhakikisha unachukua hatua za kutusaidia sisi wa bara kumiliki ardhi kule zanzibar na pia kushiriki kikamilifu kwenye serikali ya zanzibar hasa kwenye nafsi za uteuzi kama wazanzibar wanavyo tamba kwenye nafsi za uteuzi huku bara na hii itaimarisha sana Muungano na undugu wetu.

Ni hilo tuu Mh Rais
Wazanzibar wanatufaidi sana bara huku wanajimilikisha ardhi kama vile wapo kwao Zenj
 
Mh Rais...Bwana asifiwe...

Nimatumaini yangu wewe ni mzima wa afya na sisi Watanzania tunaendele kukuombea uendelee kuwa na afya njema. Mh Rais wewe umeonesha wazi ni mpenda haki na ni wazi umeonesha unataka muungano ulio imara kabisa bila kujali chochote umehakikisha wazanzibari wanapata nafasi mabli mbali huku bara na bila kusahau umehakikisha wazanzibar wana nufaika na Muungano wetu..

Mimi naleta ombi moja kwako kuhakikisha unachukua hatua za kutusaidia sisi wa bara kumiliki ardhi kule zanzibar na pia kushiriki kikamilifu kwenye serikali ya zanzibar hasa kwenye nafsi za uteuzi kama wazanzibar wanavyo tamba kwenye nafsi za uteuzi huku bara na hii itaimarisha sana Muungano na undugu wetu.

Ni hilo tuu Mh Rais
Naunga mkono hoja
 
Nataka mfahamu hii Wa Zanzaibari wote wana haki popote tanzania sababu ni watanzania.

Si watanzania wote wenye haki zanzibar ila uwe mzanzibari. hii ndio ilivyo na ndio katiba ya nchi.

kama si mzanzibari huna haki
  1. kupiga kura zanzibar kumchaguwa raisi wa zanzibar
  2. ya kucha gua mjumbe wa baraza la wakilishi
  3. ku miliki Ardhi
  4. na mengine.
Sawa ila maboresho yafanyike yaondolewe , hayana tija tukitaka muungano uwe mzuri zaidi
 
Sijui tunakwama wapi sisi Watanganyika!!!
Watanganyika milioni 60 tumeshindwa kumtoa kiongozi miongoni mwetu atutawale, kaja mvaa ushingi toka miongoni mwa watu milioni 1 ndio kawa kiongozi wetu.
Hiyo si ajabu, ajabu ni kwamba sisi watu milioni 60 hatuwezi hata kumweka Mwenyekiti wa mtaa mwembe togwa kule Zanzibar.
 
Ardhi ya Unguja na Pemba ukiiunga pamoja hailingani na mkoa kama Morogoro au Iringa.

Tuliiandama sana Chato wakati wa JPM sasa tunaiandama Zanzibar wakati wa Samia.

Mawazo ya aina hii ni mabovu.
 
Sijui tunakwama wapi sisi Watanganyika!!!
Watanganyika milioni 60 tumeshindwa kumtoa kiongozi miongoni mwetu atutawale, kaja mvaa ushingi toka miongoni mwa watu milioni 1 ndio kawa kiongozi wetu.
Hiyo si ajabu, ajabu ni kwamba sisi watu milioni 60 hatuwezi hata kumweka Mwenyekiti wa mtaa mwembe togwa kule Zanzibar.
Wakati mwingine watanzania akili zetu ni za kipumbavu sana.

Magufuli kabla lake ni msukuma wana mikoa mitano na ndio kabila kubwa Tanzania na bado watu wamemtukana sana.

Leo kaja mama kutoka kabila dogo na bado tunaandika ugoro.

Hakuna rais mkamilifu kwani binadamu hana ukamilifu.
 
1.Zanzibar ni nchi kamili huwezi kumiliki ardhi kama hauna sifa.

2.Halafu nafasi za uongozi wanazotamba nazo ni za muungano, maana Zanzibar ni sehemu ya muungano, hakuna nchi Inaitwa Bara duniani kwasasa
So TANGANYIKA sio nchi kamili, dawa ndugu zetu wabara tuanze kampen ya miaka kumi kuanzia Sasa ya kuoa Zanzibar baada ya mda tutakua na mchanganyiko Safi na ni kizazi icho kitakuja fanya vizuri Sana kwenye muungano,
 
1.Zanzibar ni nchi kamili huwezi kumiliki ardhi kama hauna sifa.

2.Halafu nafasi za uongozi wanazotamba nazo ni za muungano, maana Zanzibar ni sehemu ya muungano, hakuna nchi Inaitwa Bara duniani kwasasa
So TANGANYIKA sio nchi kamili, dawa ndugu zetu wabara tuanze kampen ya miaka kumi kuanzia Sasa ya kuoa Zanzibar baada ya mda tutakua na mchanganyiko Safi na ni kizazi icho kitakuja fanya vizuri Sana kwenye muungano,
 
Back
Top Bottom