Rais Samia tusaidie Watanzania wote tuweze kumiliki ardhi Zanzibar

1. Zanzibar ni nchi kamili huwezi kumiliki ardhi kama hauna sifa.

2. Halafu nafasi za uongozi wanazotamba nazo ni za muungano, maana Zanzibar ni sehemu ya muungano, hakuna nchi Inaitwa Bara duniani kwasasa
Ila huku mnamiliki hadi mashamba kana kwamba ni ya mUUNGANO
 
1. Zanzibar ni nchi kamili huwezi kumiliki ardhi kama hauna sifa.

2. Halafu nafasi za uongozi wanazotamba nazo ni za muungano, maana Zanzibar ni sehemu ya muungano, hakuna nchi Inaitwa Bara duniani kwasasa
Zenji sio Nchi kamili tukiwaachia soon mtaanza kulialia maana Global warming inaongeza kina cha maji na baada ya miaka takribani 50 zenji itabakiwa na nusu ya ardhi mlionayo. sa sijui mtakimbilia wapi
 
Zenji sio Nchi kamili tukiwaachia soon mtaanza kulialia maana Global warming inaongeza kina cha maji na baada ya miaka takribani 50 zenji itabakiwa na nusu ya ardhi mlionayo. sa sijui mtakimbilia wapi
Tatizo mnapenda sana kusemea watu, tuachieni nchi uone kama mtu atalia, Zanzibar ni nchi kamili ndio maana ipo mpaka sasa, Tanganyika ni nchi ya kwenye makaratasi tu
 
Hivi unajuwa kuwa Aboud Jumbe Mwinyi Rais wa pili wa Zanzibar amezaliwa Mji Mwema na baada ya kujiuzulu alirudi kwao mpaka alipokufa ndio watoto wake wakamzika Zanzibar. Jumbe alioa Mzanzibari. Pia, Ali Hassan Mwinyi si kwao T/Bara kwa baba na mama na alikuja Zanzibar kulelewa na pia akawa Rais Zanzibar. Hivi sasa Dkt. Hussein Mwinyi pia ni wa kote Zanzibar na T/Bara na Rais wa Zanzibar na huku hata watu hawalalamiki. Ili uwe mzanzibari na kuweza kupata haki zote ikiwemo kupiga kura kwa Rais wa Zanzibar pamoja na kumiliki ardhi na kupata kitambulisho cha Mzanzibari unahitaji kuishi Zanzibar miaka 10 tu. Acheni longolongo
 
Unaijua Katiba ya Zanzibar wewe kubwa Jinga
Acha kuhamisha magoli .. Mh Samia anaweza kuwa Rais wa Zanzibar na akawa Rais wa Tanzania kama Mtanzania yoyote yule. Mzee Mwinyi alitoka bara akawa rais wa Zanzibar na baadae kuwa rais wa Tanzania, hayo mambo ya katiba ya Zanzibar au ya Tanganyika bakia nayo mwenyewe .
 
Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ardhi ya Zanzibar itamilikiwa tu na mzanzibar. Ushauri wako Ni nzuri Ila upeleke kwa raisi wa Zanzibar ili aufanyie kazi. Raisi wa jamhuri Ni kumtesa tu mama wa watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…