Rais Samia: Tutanunua vichwa na mabehewa vya kuanzia vilivyotumika

Rais Samia: Tutanunua vichwa na mabehewa vya kuanzia vilivyotumika

Taarifa zilizopatikana mpaka muda huu nabandika hii habari hapa jukwaani ni kuwa serikali inatarajia kununua mabehewa na engine kadhaa kwa ajili kuanza kutumika kwenye kipande cha Dar - Moro.

Kauli imetolewa na amiri jeshi mkuu wa Tanzania Rais SSH na kuongeza kuwa "Lakini vipya tulivyoagiza kwa pesa nyingi tutavipokea 2023, na hivyo ndivyo vitakuja kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi. "

Kutokana na kauli hiyo ya kupokelewa mabehewa mapya na engine zake hapo mwakani ikiwa ni miezi mitano tu ijayo, wadau na mimi nauliza kuna haja gani kununua used assets ikiwa kuna muda mfupi umebaki assets mpya zinakuja?.

Na je hivyo vipya vikifika hivyo chakavu vitapelekwa wapi siulizi garama zinazotumika!.
Thanks for this

P
 
Hivi used huwa zina guarantees?
Alafu tukinunua ma used kisha yakashindwa kufanya kazi tutasema tumepigwa ama tumejipiga wenyewe?.

Mbona tunatengeneza mazingira ya watu kupiga pesa za uma kirahisi namna hii jamani hii nchi vipi hii???.
Mzigo umeshafika mkuu...
IMG_20221203_034943.jpg
 
Thanks for this

P

Mabehewa haya ni vyuma kwa 75% others material 25%, sioni tatizo hapa, vyuma vipya na vyuma vya zamani, huenda vyuma vya zamani vilichanganywa na germanium ya kutosha kuviimarisha na pengine vikawapa bora zaidi ya mabehewa hayo brand new!
 
Mabehewa haya ni vyuma kwa 75% others material 25%, sioni tatizo hapa, vyuma vipya na vyuma vya zamani, huenda vyuma vya zamani vilichanganywa na germanium ya kutosha kuviimarisha na pengine vikawapa bora zaidi ya mabehewa hayo brand new!
Kaka uoni uzito wa chuma ukiongezeka spidi inapungua? Ndiyo maana bodi zinatengenezwa kwa chuma chepesi, aluminiam, faiba ili chombo kiwe chepesi kusafiri kwa haraka.
 
Kaka uoni uzito wa chuma ukiongezeka spidi inapungua? Ndiyo maana bodi zinatengenezwa kwa chuma chepesi, aluminiam, faiba ili chombo kiwe chepesi kusafiri kwa haraka.
"OK nimekupata mkuu, Africa as Africa kutukana na uchumi wetu huwa tunanunua gari ya miaka 15 nyuma lakini ikija hapa ni mpya kabisa "
 
"OK nimekupata mkuu, Africa as Africa kutukana na uchumi wetu huwa tunanunua gari ya miaka 15 nyuma lakini ikija hapa ni mpya kabisa "
Kama ni hivyo kwa nini msemaje wenu wa serikali anatisha watu kuwa hawakununua used?.
 
Taarifa zilizopatikana mpaka muda huu nabandika hii habari hapa jukwaani ni kuwa serikali inatarajia kununua mabehewa na engine kadhaa kwa ajili kuanza kutumika kwenye kipande cha Dar - Moro.

Kauli imetolewa na amiri jeshi mkuu wa Tanzania Rais SSH na kuongeza kuwa "Lakini vipya tulivyoagiza kwa pesa nyingi tutavipokea 2023, na hivyo ndivyo vitakuja kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi. "

Kutokana na kauli hiyo ya kupokelewa mabehewa mapya na engine zake hapo mwakani ikiwa ni miezi mitano tu ijayo, wadau na mimi nauliza kuna haja gani kununua used assets ikiwa kuna muda mfupi umebaki assets mpya zinakuja?.

Na je hivyo vipya vikifika hivyo chakavu vitapelekwa wapi siulizi garama zinazotumika!.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom