Rais Samia: Tutanunua vichwa na mabehewa vya kuanzia vilivyotumika

Rais Samia: Tutanunua vichwa na mabehewa vya kuanzia vilivyotumika

Hivi bado mpo mnaoamini propaganda za Zitto and co kuwa zile ndege ni used? Tafuta mtu anaejua ndege akwambie ule mlio ni wa nini. Kukusaidia tu haihusiani kabisa na kutoa matairi.
Kazikwe nae chattle. Ndege ilitembea miezi 4 ikataga uwanja wa ndege mwanza ma miezi kibao, alafu unataka kutetea ujinga hapa. Mpya inaweza kuatamia kwa muda mfupi hivyo
 
Taarifa zilizopatikana mpaka muda huu nabandika hii habari hapa jukwaani ni kuwa serikali inatarajia kununua mabehewa na engine kadhaa kwa ajili kuanza kutumika kwenye kipande cha Dar - Moro.

Kauli imetolewa na amiri jeshi mkuu wa Tanzania Rais SSH na kuongeza kuwa "Lakini vipya tulivyoagiza kwa pesa nyingi tutavipokea 2023, na hivyo ndivyo vitakuja kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi. "

Kutokana na kauli hiyo ya kupokelewa mabehewa mapya na engine zake hapo mwakani ikiwa ni miezi mitano tu ijayo, wadau na mimi nauliza kuna haja gani kununua used assets ikiwa kuna muda mfupi umebaki assets mpya zinakuja?.

Na je hivyo vipya vikifika hivyo chakavu vitapelekwa wapi siulizi garama zinazotumika!.
Utaambiwa ni mabehewa ya kuanzia, lakini yakatumiaka kwa miaka kumi kabla ya kufikiria kununua mapya. Unaweza kukuta behewa mtumba linanunuliwa kwa bei ya Behewa jipya.
 
Utaambiwa ni mabehewa ya kuanzia, lakini yakatumiaka kwa miaka kumi kabla ya kufikiria kununua mapya. Unaweza kukuta behewa mtumba linanunuliwa kwa bei ya Behewa jipya.
Hii ndiyo nchi yetu hii, no way to escape from this issues...
 
Taarifa zilizopatikana mpaka muda huu nabandika hii habari hapa jukwaani ni kuwa serikali inatarajia kununua mabehewa na engine kadhaa kwa ajili kuanza kutumika kwenye kipande cha Dar - Moro.

Kauli imetolewa na amiri jeshi mkuu wa Tanzania Rais SSH na kuongeza kuwa "Lakini vipya tulivyoagiza kwa pesa nyingi tutavipokea 2023, na hivyo ndivyo vitakuja kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi. "

Kutokana na kauli hiyo ya kupokelewa mabehewa mapya na engine zake hapo mwakani ikiwa ni miezi mitano tu ijayo, wadau na mimi nauliza kuna haja gani kununua used assets ikiwa kuna muda mfupi umebaki assets mpya zinakuja?.

Na je hivyo vipya vikifika hivyo chakavu vitapelekwa wapi siulizi garama zinazotumika!.
Thanks to Mama Samia Suluhu, amekuwa very honest yani and we have to be grateful for that.
 
Taarifa zilizopatikana mpaka muda huu nabandika hii habari hapa jukwaani ni kuwa serikali inatarajia kununua mabehewa na engine kadhaa kwa ajili kuanza kutumika kwenye kipande cha Dar - Moro.

Kauli imetolewa na amiri jeshi mkuu wa Tanzania Rais SSH na kuongeza kuwa "Lakini vipya tulivyoagiza kwa pesa nyingi tutavipokea 2023, na hivyo ndivyo vitakuja kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi. "

Kutokana na kauli hiyo ya kupokelewa mabehewa mapya na engine zake hapo mwakani ikiwa ni miezi mitano tu ijayo, wadau na mimi nauliza kuna haja gani kununua used assets ikiwa kuna muda mfupi umebaki assets mpya zinakuja?.

Na je hivyo vipya vikifika hivyo chakavu vitapelekwa wapi siulizi garama zinazotumika!.
Kwani sheria za manunuzi zimebedilika? Maana serikali huwa hainunui vitu vilivyotumika. Wataalamu wa manunuzi mtusaidie
 
Zile kauli za tutembee kifua mbele zinaanza kunipotea
 
Kauli imetolewa na amiri jeshi mkuu wa Tanzania Rais SSH na kuongeza kuwa "Lakini vipya tulivyoagiza kwa pesa nyingi tutavipokea 2023, na hivyo ndivyo vitakuja kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi. "
Rais anakuwa Adressed kwa title hii anaposhughulikia masuala yanayohusiana na Majeshi ya ulinzi na usalama kama JW, POLISI, MAGEREZA, UHAMIAJI, ZIMAMOTO, WANYAMAPORI ma mengineyo.
Hapa title ya RAIS inatosha sana
 
Haya Wabongo walikuwa wanawacheka na kuwakejeli Wakenya, sasa na Bongo pia wanaagiza mitumba!
Ndiyo maana mimi ule uzi wa battle ya dar vs nairobi nimekimbia ...kwa sababu na amini nina akili timamu kuweza kusoma nyakati ...serikali kuwa chini ya wapumbavu na wahuni kisha utarajie mema ni ujinga
 
Hilo halikubaliki, ila we nunua Kwa matakwa yako, najua chawa wataongea kama unaupiga mwingi kununua locomotive used, Ila watanzania hawakubaliani na hilo, najua chawa watakusifia huku wakijua sheria za manunuzi hazikuruhusu kufanya hivyo
 
Reli mpya, mfumo mpya wa uendeshaji kwa kutumia umeme, lakini tunapanga kununua vichwa na mabehewa chakavu kufanya majaribio? Haraka ya nini kufanya majaribio kama manunuzi ya vifaa vipya hayajakamilika?.....Inafikirisha, yawezekana baadhi ya vifaa vilivyotumika kujenga reli ya SGR-TZ baadhi ni chakavu pia.
 
Hivi used huwa zina guarantees?
Alafu tukinunua ma used kisha yakashindwa kufanya kazi tutasema tumepigwa ama tumejipiga wenyewe?.

Mbona tunatengeneza mazingira ya watu kupiga pesa za uma kirahisi namna hii jamani hii nchi vipi hii???.
 
Back
Top Bottom