Rais Samia: Tutanunua vichwa na mabehewa vya kuanzia vilivyotumika

Rais Samia: Tutanunua vichwa na mabehewa vya kuanzia vilivyotumika

Bado eti wawakilishi wa wananchi wanagonga meza za mninga . Na pongezi za kutosha.
Serkali inanunua used. Zina garantii ipi? Aibu.
Matumizi mabaya ya kodi

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Yaani vipya vitakuja 2023, mwezi wa ngapi? Kama ni January March tusubiri tu hamna shida, hata kama ni December 2023 poa wahenga walisema kawia ufike
 
Taarifa zilizopatikana mpaka muda huu nabandika hii habari hapa jukwaani ni kuwa serikali inatarajia kununua mabehewa na engine kadhaa kwa ajili kuanza kutumika kwenye kipamde cha Dar - Moro.

Kauli imetolewa na amiri jeshi mkuu wa Tanzania Rais SSH na kuongeza kuwa "Lakini vipya tulivyoagiza kwa pesa nyingi tutavipokea 2023, na hivyo ndivyo vitakuja kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi. "

Kutokana na kauli hiyo ya kupokelewa mabehewa mapya na engine zake hapo mwakani ikiwa ni miezi mitano tu ijayo, wadau na mimi nauliza kuna haja gani kununua used assets ikiwa kuna muda mfupi umebaki assets mpya zinakuja?.

Na je hivyo vipya vikifika hivyo chakavu vitapelekwa wapi siulizi garama zinazotumika!.
acha ushambenga mtoto wa kiume taarifa ya hovyo km hii nani ataikubali. we unaishi nyumba moja na rais wakati aliongea na wananchi jana. Ndio maana mnageuzwa nyuma mbele
 
Kama vipi zile ndege alizonunua mwendazake zinazoshinda zimepark zifanyiwe modifications ili zipige mzigo hapo SGR
 
Hivi bado mpo mnaoamini propaganda za Zitto and co kuwa zile ndege ni used? Tafuta mtu anaejua ndege akwambie ule mlio ni wa nini. Kukusaidia tu haihusiani kabisa na kutoa matairi.
Na hata hizi garimoshi bila Hangaya kukiri mngebwabwaja tu kuwa ni mpya, kama kawaida.
 
Ndugu kwani hujui ma fridge na tv second hand hua yanadumu sana kuliko mapya, mi fridge ilikua second hand lkn ni zaidi ya miaka mitano sijaita hata fundi😂😂😂
 
Kwa hiyo unajaribu kuzuia upigaji katika nchi ijulikanayo kama Tanzania ha ha ha
Bora rais amekuwa muwazi kabisa angelikuwa ndg "xyz" angeliamrisha vifanyiwe service maalum alafu vitamkwe ni vipya, na mngeamini na kukaa kimyaaah.
 
Sheria ya manunuzi serikali hainunui mitumba. Yawezekana ni zawadi kapewa na inauzwa, ila kwa vile hashitakiwi, ruksa.
But ndiyo ashasema 'tunanunua'.
 
Taarifa zilizopatikana mpaka muda huu nabandika hii habari hapa jukwaani ni kuwa serikali inatarajia kununua mabehewa na engine kadhaa kwa ajili kuanza kutumika kwenye kipamde cha Dar - Moro.

Kauli imetolewa na amiri jeshi mkuu wa Tanzania Rais SSH na kuongeza kuwa "Lakini vipya tulivyoagiza kwa pesa nyingi tutavipokea 2023, na hivyo ndivyo vitakuja kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi. "

Kutokana na kauli hiyo ya kupokelewa mabehewa mapya na engine zake hapo mwakani ikiwa ni miezi mitano tu ijayo, wadau na mimi nauliza kuna haja gani kununua used assets ikiwa kuna muda mfupi umebaki assets mpya zinakuja?.

Na je hivyo vipya vikifika hivyo chakavu vitapelekwa wapi siulizi garama zinazotumika!.
Labda havina bima au 3rd party
Achana na Bongoline!
 
heri ya mama samia anaesema ukweli.....kuliko yule marehemu aliekuwa anadanganya kuwa serikali inajenga miundo mbinu kwa pesa zake kumbe anakopa kimyakimya......
 
acha ushambenga mtoto wa kiume taarifa ya hovyo km hii nani ataikubali. we unaishi nyumba moja na rais wakati aliongea na wananchi jana. Ndio maana mnageuzwa nyuma mbele
Hili ndilo tatizo la watoto uliyelelewa na mzazi mmoja hauna heshima na hata ukiwa na heshima bado sauti za kubarehe (tuliita) kibeberu zinakuathiri. -POLE!.
 
Nchi inatawaliwa na Mapaka😁😁😁
AEb8rs.jpeg
16525976734300.jpg
ummY_jc.jpg
 
Back
Top Bottom