Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Watanzania bana hivi tukinunua kichwa used kimoja na mabehewa 15 ya kuanzia kuna ubaya gani? "sampling little portions"Ubaya labda taifa lingekuwa halina mpango wa vingine vipya hapo tungelaumu that's few are just for sampling and startup practices"Mitumba ni utamaduni wetu, mpaka papuchi za mitumba tunatumia