Rais Samia: Tutatafuta Mtanzania mwenye vigezo kumrithi Dkt. Ndugulile WHO

Rais Samia: Tutatafuta Mtanzania mwenye vigezo kumrithi Dkt. Ndugulile WHO

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile itaelekezwa kwa Mtanzania mwingine mwenye sifa.

Rais Samia amesema hayo leo Jumatatu, Desemba 2, 2024 katika hafla maalumu ya kuaga mwili wa Dk Ndugulile iliyofanyika katika viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam.

Soma pia: Mkurugenzi mkuu WHO amlilia Faustine Ndugulile

"Wanadamu tunapanga yetu, lakini Mungu anatupangia, Dk Ndugulile ameiweka nchi pazuri lakini Mungu amechukua kilicho chake. Tutaingia tena kwenye mashindano tutatafuta Mtanzania mwenye sifa atakayeweza kushindana na ulimwengu, tutaingia tena na tutaweka mtu mwenye sifa ileile kutuwakilisha," amesema Rais Samia.

Rais Samia amesema amepokea salamu nyingi za pole kutoka ndani na nje ya nchi, huku akiwashukuru viongozi waliofika kumuaga Dk Ndugulile hasa kutoka WHO.​
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile itaelekezwa kwa Mtanzania mwingine mwenye sifa.

Rais Samia amesema hayo leo Jumatatu, Desemba 2, 2024 katika hafla maalumu ya kuaga mwili wa Dk Ndugulile iliyofanyika katika viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam.

Soma pia: Mkurugenzi mkuu WHO amlilia Faustine Ndugulile

"Wanadamu tunapanga yetu, lakini Mungu anatupangia, Dk Ndugulile ameiweka nchi pazuri lakini Mungu amechukua kilicho chake. Tutaingia tena kwenye mashindano tutatafuta Mtanzania mwenye sifa atakayeweza kushindana na ulimwengu, tutaingia tena na tutaweka mtu mwenye sifa ileile kutuwakilisha," amesema Rais Samia.

Rais Samia amesema amepokea salamu nyingi za pole kutoka ndani na nje ya nchi, huku akiwashukuru viongozi waliofika kumuaga Dk Ndugulile hasa kutoka WHO.​
Anaishi kwa kukariri?
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile itaelekezwa kwa Mtanzania mwingine mwenye sifa.

Rais Samia amesema hayo leo Jumatatu, Desemba 2, 2024 katika hafla maalumu ya kuaga mwili wa Dk Ndugulile iliyofanyika katika viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam.

Soma pia: Mkurugenzi mkuu WHO amlilia Faustine Ndugulile

"Wanadamu tunapanga yetu, lakini Mungu anatupangia, Dk Ndugulile ameiweka nchi pazuri lakini Mungu amechukua kilicho chake. Tutaingia tena kwenye mashindano tutatafuta Mtanzania mwenye sifa atakayeweza kushindana na ulimwengu, tutaingia tena na tutaweka mtu mwenye sifa ileile kutuwakilisha," amesema Rais Samia.

Rais Samia amesema amepokea salamu nyingi za pole kutoka ndani na nje ya nchi, huku akiwashukuru viongozi waliofika kumuaga Dk Ndugulile hasa kutoka WHO.​

Angetusaidia kumpata rais wa ajaye ingependeza zaidi.

@tlaahtlaah, Lucas Mwashambwa au nasema uongo?
 
Mnapotosha ,

Mchakato uko pale pale, hakuna kurithishana.

Wala Rais hakusema hivyo, badili title.
 
Tatizo huyu mama kazoea kurithi Hadi anafikiri na huko WHO wanarithishwa kama alivyopata msererekowa wa kurithishwa urais.
 
Tatizo huyu mama kazoea kurithi Hadi anafikiri na huko WHO wanarithishwa kama alivyopata msererekowa wa kurithishwa urais.
Kama hujui uliza ndio najua chadema imejaa wajinga hata mwenyekiti wenu alipata zero shule

USSR
 
Anawaza alivyopata urais kindondokera
Nafkiri hakuna faida ya kuelekeza kejeli kwa raisi wa taifa, leo kesho we ukipewa kiti, bado utakuwa una mengi ktk sehem ya mapungufu kama binadam.
Acha mbali nafasi ya uraisi, nafasi ya baba na mama kwa nafasi zao pia kama binadam huwa wana mapungufu yao .
 
Back
Top Bottom