Amani iwe kwenu watanzania
Sizani na Sion kama Kuna mtu ana sifa za kurithi nafasi ya ndugulile huko WHO kumzidi dk mashinji
Hatuwezi kupeleka watu waliofel kuisaidia nchi tukawaacha watu wa maana kama dk mashinji
Dk mashinji na aliwakilishe taifa
AMINA