Rais Samia: Tutatafuta Mtanzania mwenye vigezo kumrithi Dkt. Ndugulile WHO

Mimi nadhani Dr Cheni angefaa. Maana naona tunafanya mizaha na hiyo nafasi.
 
Bora mchungaji msigwa
 
kwanini Dr Mashinji na sio Dr Ulimboka
 
Kwan icho cheo ni mali ya ukoo kwamba wanarithiana.

Sema anaenda kugombea nafasi iloachwa wazi na marehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…