Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,456
- 1,005
"Hata msipoichagua ccm, ila tambueni ccm ndio itakayounda serikali"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakuwa hivi ni viwango vya weledi wa Wana kijani sitashangaa.Yuko sahihi....
Mh.Rais SSH yuko sahihi mno....
Mh.Trump alikuwa ni Rais na alilalamikia RAFU ZA WAZI ZA WAPINZANI....hii ina maana ya kwamba hata WAPINZANI huwa wanacheza RAFU na Wakati mwingine huwafanikisha kuingia IKULU.......
✓Yale mabegi ya KURA FEKI kule KAWE na kwingineko ilikuwa UJANJA MTUPU uliosukwa na "jamaa" ili KUICHAFUA CCM ,NCHI NA SERIKALI YAKE.
#SiempreJMT
#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#KaziIendelee
Trump alilalamikia RAFU ZA WAPINZANI.....
Unaweza kuthibitisha kuwa ni maigizo?Trump alilalamikia RAFU ZA WAPINZANI.....
Si lazima mpinzani akishinda anakuwa HAJATUMIA JANJAJANJA na "setups" kama MAIGIZO YALIYOKO KATIKA PICHA HIZO HAPO JUU.....
Hapo ameongopa nini sasa?!!Huyu mama wakati anaingia nilimuamini sana. Aisee wala haogopi kuongopa. Mambo mengine heri ukae kimya. Atajajuta ile siku ni yeye na Malaika wa roho wakati akimtoa roho kwa ukatili na maumivu machungu kama wanayowaletea wananchi.
Hongera sana Tume ya uchaguzi
Wao wanaamini kwamba Watanzania ni Wajinga kabisa , Zumbukuku .Huyu mama wakati anaingia nilimuamini sana. Aisee wala haogopi kuongopa. Mambo mengine heri ukae kimya. Atajajuta ile siku ni yeye na Malaika wa roho wakati akimtoa roho kwa ukatili na maumivu machungu kama wanayowaletea wananchi.
Dera ni nguo kama ilivyo bikini, haina uhusiano na imani ya mtu.Dini ya kweli ni ile ile ya rohoni si ile ya nje kujionyesha muda wote umejitanda na kuvaa madera kumbe muongo kama nini sijui.
Lakini kila uchwao huyu mama ana feli. Nilikuwa napenda sana kumsikiliza. Lakini tangu mahojiano yake na Bbc nimetokea kudhau speech zake.Akiwakosoa inamaana hana mandate ya kuwa hapo alipo. Hamna jinsi inabidi awasifie tu.
Mama alisema Magufuli anakaguliwa tu yupo powa anachapa kazi!Dini ya kweli ni ile ile ya rohoni si ile ya nje kujionyesha muda wote umejitanda na kuvaa madera kumbe muongo kama nini sijui.
Ujumbe huu mzito ameutoa leo alipokuwa akipokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 2020 iliyoandaliwa na NEC kwenye viwanja vya Ikulu
=====
Rais Samia amewapongeza Watanzania kwa kushiriki kikamilifu kuanzia zoezi la uandikishaji, kupiga kura na kushiriki uchaguzi mkuu huo ambao chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa mshindi wa urais na kuzoea karibu majimbo na kata zote.
“Hakuna shaka, yeyote aliyeshuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka jana alishuhudia jinsi ulifanyika vizuri sana tena kwa kiwango kikubwa sana,” amesema Rais Samia.
Anapaswa kuficha uso sasa.She should be ashamed. Kuficha nywele na kusema uongo hakumpi utakatifu wowote.
Jambazi yoyote lazima afurahieNi jambo jema!
Ungempinga mwizi mwenzio?Safi sana rais Samia
Haha unajiona mjanja kumbe zobha tuAnaebisha, aingie kitaa kuandamana ili tumnyooshe.
Ukisikia kupatwa na uwendawazimu, ndiyo huku.Ujumbe huu mzito ameutoa leo alipokuwa akipokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 2020 iliyoandaliwa na NEC kwenye viwanja vya Ikulu
=====
Rais Samia amewapongeza Watanzania kwa kushiriki kikamilifu kuanzia zoezi la uandikishaji, kupiga kura na kushiriki uchaguzi mkuu huo ambao chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa mshindi wa urais na kuzoea karibu majimbo na kata zote.
“Hakuna shaka, yeyote aliyeshuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka jana alishuhudia jinsi ulifanyika vizuri sana tena kwa kiwango kikubwa sana,” amesema Rais Samia.