Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Vyama vipi vilihudhuria?
Amandla...
Amandla...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mwongo namna hiyo, anayebambikia watu kesi, unamwita mcha Mungu? Unamaanisha mungu wa Baali?"Tena kwa kiwango kikubwa sana" amesisitiza mcha Mungu huyo!
Binafsi namuunga mkono kwa nguvu zote:
Ila kilikuwa Kiwango kikubwa sana Cha kuiba kura, kupiga na kuwatoa nje mawakala wa Vyama pinzani, pia kupita bila kupingwa!
Wahi Milembe hospital. Hapa ni kwaajili ya walio wazima.Yuko sahihi
Mh.Rais SSH yuko sahihi mno
Mh. Trump alikuwa ni Rais na alilalamikia RAFU ZA WAZI ZA WAPINZANI. Hii ina maana ya kwamba hata WAPINZANI huwa wanacheza RAFU na Wakati mwingine huwafanikisha kuingia IKULU.
✓Yale mabegi ya KURA FEKI kule KAWE na kwingineko ilikuwa UJANJA MTUPU uliosukwa na "jamaa" ili KUICHAFUA CCM, NCHI NA SERIKALI YAKE.
#SiempreJMT
#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#KaziIendelee
Uislam hauko hivi anajifedheheshaDini ya kweli ni ile ile ya rohoni si ile ya nje kujionyesha muda wote umejitanda na kuvaa madera kumbe muongo kama nini sijui.
Tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chiniUkisikia kupatwa na uwendawazimu, ndiyo huku.
Oyaaa[emoji1787][emoji1787]Anaebisha, aingie kitaa kuandamana ili tumnyooshe.
Vp kama utajitanda na utakuwa na msimamo??, au kila anaejitanda huwa muuni??Dini ya kweli ni ile ile ya rohoni si ile ya nje kujionyesha muda wote umejitanda na kuvaa madera kumbe muongo kama nini sijui.
Ujumbe huu mzito ameutoa leo alipokuwa akipokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 2020 iliyoandaliwa na NEC kwenye viwanja vya Ikulu
=====
Rais Samia amewapongeza Watanzania kwa kushiriki kikamilifu kuanzia zoezi la uandikishaji, kupiga kura na kushiriki uchaguzi mkuu huo ambao chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa mshindi wa urais na kuzoea karibu majimbo na kata zote.
“Hakuna shaka, yeyote aliyeshuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka jana alishuhudia jinsi ulifanyika vizuri sana tena kwa kiwango kikubwa sana,” amesema Rais Samia.
Mwendazake Mungu alimnyooshaAnaebisha, aingie kitaa kuandamana ili tumnyooshe.
Sawa sawa
Sisi hatujabisha
Tumepokea
Ujumbe huu mzito ameutoa leo alipokuwa akipokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 2020 iliyoandaliwa na NEC kwenye viwanja vya Ikulu
=====
Rais Samia amewapongeza Watanzania kwa kushiriki kikamilifu kuanzia zoezi la uandikishaji, kupiga kura na kushiriki uchaguzi mkuu huo ambao chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa mshindi wa urais na kuzoea karibu majimbo na kata zote.
“Hakuna shaka, yeyote aliyeshuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka jana alishuhudia jinsi ulifanyika vizuri sana tena kwa kiwango kikubwa sana,” amesema Rais Samia.