Rais Samia: Uchaguzi Mkuu wa 2020 ulifanyika vizuri sana

Rais Samia: Uchaguzi Mkuu wa 2020 ulifanyika vizuri sana

Yuko sahihi

Mh.Rais SSH yuko sahihi mno

Mh. Trump alikuwa ni Rais na alilalamikia RAFU ZA WAZI ZA WAPINZANI. Hii ina maana ya kwamba hata WAPINZANI huwa wanacheza RAFU na Wakati mwingine huwafanikisha kuingia IKULU.

✓Yale mabegi ya KURA FEKI kule KAWE na kwingineko ilikuwa UJANJA MTUPU uliosukwa na "jamaa" ili KUICHAFUA CCM, NCHI NA SERIKALI YAKE.

#SiempreJMT
#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#KaziIendelee
Hivi wewe mjinga nikikutukana nitakuwa nimekosea?
 
Ni aibu na fedheha kubwa kuwafanya watanzania wote ma ndondocha.
 
Ujumbe huu mzito ameutoa leo alipokuwa akipokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 2020 iliyoandaliwa na NEC kwenye viwanja vya Ikulu

=====

Rais Samia amewapongeza Watanzania kwa kushiriki kikamilifu kuanzia zoezi la uandikishaji, kupiga kura na kushiriki uchaguzi mkuu huo ambao chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa mshindi wa urais na kuzoea karibu majimbo na kata zote.

“Hakuna shaka, yeyote aliyeshuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka jana alishuhudia jinsi ulifanyika vizuri sana tena kwa kiwango kikubwa sana,” amesema Rais Samia.


Ila Mungu ana huruma sana aise, duh, Enzi zile angefanya aliyomfanyia ANANIA NA SAFIRA , na FARAO.
 
Ujumbe huu mzito ameutoa leo alipokuwa akipokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 2020 iliyoandaliwa na NEC kwenye viwanja vya Ikulu

=====

Rais Samia amewapongeza Watanzania kwa kushiriki kikamilifu kuanzia zoezi la uandikishaji, kupiga kura na kushiriki uchaguzi mkuu huo ambao chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa mshindi wa urais na kuzoea karibu majimbo na kata zote.

“Hakuna shaka, yeyote aliyeshuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka jana alishuhudia jinsi ulifanyika vizuri sana tena kwa kiwango kikubwa sana,” amesema Rais Samia.


Chadema wanaona kinyume eti waliibiwa kura majimbo yote. Eti wao ndio waliyokua wameshinda uchaguzi wakaibiwa 😂😂. Yaani sijui ni mabwege kiasi gani? Halafu hawakukata rufaa hata jimbo moja.🤔🤔
 
Ujumbe huu mzito ameutoa leo alipokuwa akipokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 2020 iliyoandaliwa na NEC kwenye viwanja vya Ikulu

=====

Rais Samia amewapongeza Watanzania kwa kushiriki kikamilifu kuanzia zoezi la uandikishaji, kupiga kura na kushiriki uchaguzi mkuu huo ambao chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa mshindi wa urais na kuzoea karibu majimbo na kata zote.

“Hakuna shaka, yeyote aliyeshuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka jana alishuhudia jinsi ulifanyika vizuri sana tena kwa kiwango kikubwa sana,” amesema Rais Samia.

Kumbe Kuna Waislamu Haramu! Bila haya yanatamkwa Haramu
 
Ujumbe huu mzito ameutoa leo alipokuwa akipokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 2020 iliyoandaliwa na NEC kwenye viwanja vya Ikulu

=====

Rais Samia amewapongeza Watanzania kwa kushiriki kikamilifu kuanzia zoezi la uandikishaji, kupiga kura na kushiriki uchaguzi mkuu huo ambao chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa mshindi wa urais na kuzoea karibu majimbo na kata zote.

“Hakuna shaka, yeyote aliyeshuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka jana alishuhudia jinsi ulifanyika vizuri sana tena kwa kiwango kikubwa sana,” amesema Rais Samia.



Kushupalia kuvaa ushungi muda wote kunamsaidia nini mbele za Allah wakati sawa anasifia hadharani UCHAFUZI na DHULMA ya Oktoba 2020? Asisahau kuwa hapa duniani tunapita tu
 
Anaebisha, aingie kitaa kuandamana ili tumnyooshe.
Mmeshindwa kunyoosha tozo zinazoibuliwa kila saa, hiyo nguvu ungeitumia kupinga huu uonevu labda ungeonekana japo una akili kisoda
 
Ujumbe huu mzito ameutoa leo alipokuwa akipokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 2020 iliyoandaliwa na NEC kwenye viwanja vya Ikulu

=====

Rais Samia amewapongeza Watanzania kwa kushiriki kikamilifu kuanzia zoezi la uandikishaji, kupiga kura na kushiriki uchaguzi mkuu huo ambao chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa mshindi wa urais na kuzoea karibu majimbo na kata zote.

“Hakuna shaka, yeyote aliyeshuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka jana alishuhudia jinsi ulifanyika vizuri sana tena kwa kiwango kikubwa sana,” amesema Rais Samia.


Ndio maana sina dini.
Huyu mama ni muislam na ukute ana ndoto ya kuiona jannatul firdaus(pepo ya kiislam)!
 
Ujumbe huu mzito ameutoa leo alipokuwa akipokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 2020 iliyoandaliwa na NEC kwenye viwanja vya Ikulu

=====

Rais Samia amewapongeza Watanzania kwa kushiriki kikamilifu kuanzia zoezi la uandikishaji, kupiga kura na kushiriki uchaguzi mkuu huo ambao chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa mshindi wa urais na kuzoea karibu majimbo na kata zote.

“Hakuna shaka, yeyote aliyeshuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka jana alishuhudia jinsi ulifanyika vizuri sana tena kwa kiwango kikubwa sana,” amesema Rais Samia.


Tayari mtaani wanasema sijui tunaelekea wapi? Tozo za simu, luku na kadhalika
 
Ujumbe huu mzito ameutoa leo alipokuwa akipokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 2020 iliyoandaliwa na NEC kwenye viwanja vya Ikulu

=====

Rais Samia amewapongeza Watanzania kwa kushiriki kikamilifu kuanzia zoezi la uandikishaji, kupiga kura na kushiriki uchaguzi mkuu huo ambao chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa mshindi wa urais na kuzoea karibu majimbo na kata zote.

“Hakuna shaka, yeyote aliyeshuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka jana alishuhudia jinsi ulifanyika vizuri sana tena kwa kiwango kikubwa sana,” amesema Rais Samia.


"Katiba hii imenipa Madaraka makubwa sana, siku atakuja mtu ataitumia atakavyo na kuwa kama Mungu". - Mwl. Nyerere 1982.
 
Huyu mama ni msanii hata kwa Mungu wake. Maushungi hayo anafurahisha wanadamu tu lkn kwa Muumba ni chukizo.
 
Hongera sana Tume ya uchaguzi
1629563327043.png
 
Yuko sahihi

Mh.Rais SSH yuko sahihi mno

Mh. Trump alikuwa ni Rais na alilalamikia RAFU ZA WAZI ZA WAPINZANI. Hii ina maana ya kwamba hata WAPINZANI huwa wanacheza RAFU na Wakati mwingine huwafanikisha kuingia IKULU.

✓Yale mabegi ya KURA FEKI kule KAWE na kwingineko ilikuwa UJANJA MTUPU uliosukwa na "jamaa" ili KUICHAFUA CCM, NCHI NA SERIKALI YAKE.

#SiempreJMT
#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#KaziIendelee

Hivi ni kweli huwa hata aibu kidogo huwa hamuoni?
 
Back
Top Bottom