Rais Samia: Uchaguzi Mkuu wa 2020 ulifanyika vizuri sana

"Tena kwa kiwango kikubwa sana" amesisitiza mcha Mungu huyo!

Binafsi namuunga mkono kwa nguvu zote:

Ila kilikuwa Kiwango kikubwa sana Cha kuiba kura, kupiga na kuwatoa nje mawakala wa Vyama pinzani, pia kupita bila kupingwa!
Mtu mwongo namna hiyo, anayebambikia watu kesi, unamwita mcha Mungu? Unamaanisha mungu wa Baali?

Hakuna Mungu wa kweli pale, zaidi ni unafiki wa kutaka kuonekana ni muumini ilihali matendo ja kauli zimejaa ushetani
 
Wahi Milembe hospital. Hapa ni kwaajili ya walio wazima.
 
Mungu asingewaibisha wote waliovuruga uchaguzi mkuu maana tuliomba.
Majibu yakapatikana jiwe,sabaya, chalamila, polepole, bashiru, bashite wote chali.
 
Bi Kidude ni noma
 
Waangalizi kutoka nje walisemaje vile, maana huwa wanajitahidi kuwa fair.
 
Yuko sahihi kwa sababu bila uchaguzi ule yeye asingekua Raisi
 
Off course, Maza lazima awasifu kwa kufanya kazi vizuri kwa jinsi walivyoelekezwa. Lakini time is ticking na mwisho lazima utakuja.
 
Ama kweli msema kweli Ni mpenzi wa Mungu, kinyume chake Sasa ni motoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…