Rais Samia: Uchaguzi Mkuu wa 2020 ulifanyika vizuri sana

Hivi wewe mjinga nikikutukana nitakuwa nimekosea?
 
Ni aibu na fedheha kubwa kuwafanya watanzania wote ma ndondocha.
 
Ila Mungu ana huruma sana aise, duh, Enzi zile angefanya aliyomfanyia ANANIA NA SAFIRA , na FARAO.
 
Chadema wanaona kinyume eti waliibiwa kura majimbo yote. Eti wao ndio waliyokua wameshinda uchaguzi wakaibiwa 😂😂. Yaani sijui ni mabwege kiasi gani? Halafu hawakukata rufaa hata jimbo moja.🤔🤔
 
Kumbe Kuna Waislamu Haramu! Bila haya yanatamkwa Haramu
 

Kushupalia kuvaa ushungi muda wote kunamsaidia nini mbele za Allah wakati sawa anasifia hadharani UCHAFUZI na DHULMA ya Oktoba 2020? Asisahau kuwa hapa duniani tunapita tu
 
Anaebisha, aingie kitaa kuandamana ili tumnyooshe.
Mmeshindwa kunyoosha tozo zinazoibuliwa kila saa, hiyo nguvu ungeitumia kupinga huu uonevu labda ungeonekana japo una akili kisoda
 
Ndio maana sina dini.
Huyu mama ni muislam na ukute ana ndoto ya kuiona jannatul firdaus(pepo ya kiislam)!
 
Tayari mtaani wanasema sijui tunaelekea wapi? Tozo za simu, luku na kadhalika
 
"Katiba hii imenipa Madaraka makubwa sana, siku atakuja mtu ataitumia atakavyo na kuwa kama Mungu". - Mwl. Nyerere 1982.
 
Huyu mama ni msanii hata kwa Mungu wake. Maushungi hayo anafurahisha wanadamu tu lkn kwa Muumba ni chukizo.
 

Hivi ni kweli huwa hata aibu kidogo huwa hamuoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…