Rais Samia ukifanya ziara nchini Rwanda kwa 'Genius' Kagame utafaidika na mengi kuliko ya Uganda na Kenya

Rais Samia ukifanya ziara nchini Rwanda kwa 'Genius' Kagame utafaidika na mengi kuliko ya Uganda na Kenya

Kama wahutu kweli ni mbumbumbu au less mentally gifted(kwa mujibu wa maelezo yako yenye chembe chembe za chuki dhidi ya ndugu zenu wahutu na kujiinua kwa Tutsi), wakati huo huo Hutu ndiyo ethnic group yenye population kubwa Rwanda na mmoja wa hao wahutu ni Vice- President. Then SASHA hana haja ya kwenda huko; maana ataishia kujifunza roho mbaya na ubaguzi kama uliouonesha kwenye uzi wako huu.

Lakini pia tukumbuke roho mbaya, ubaguzi, kutokata kukosolewa, kugandamiza demokrasia, kunyanyasa wapinzani , utekaji, mauaji, kujitangazia ushindi wa % kubwa kwenye chaguzi na kupenda kuabudiwa ni tabia ambazo mwenda zake kwa sehemu kubwa alikopi na kupaste kutoka kwa PA-KA.
 
Ukienda kwa Museveni Uganda

Faida kubwa huku ni Uimarishwaji tu wa Miradi kadhaa na kuendeleza Historia yetu ya Udugu kwakuwa Rais Museveni kalelewa vyema na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Ukiondoa haya hakuna mapya zaidi.

Ukienda kwa Kenyatta Kenya

Huku utapata sana 'Madili' ya kufanya Biashara na Kukuza Uwekezaji baina ya Mataifa haya Mawili ambayo ni ya Kihistoria zaidi.

Zaidi ya hapo hakuna ya ziada huko.

Ukienda kwa Kagame Rwanda

Huku utapata 'Faida Mjumuisho' kuanzia Mbinu za Kukuza Uchumi, Mikakati ya Kimaendeleo, Uwezo mkubwa wa Teknolojia kwa Maendeleo, Elimu yenye Tija, Ulinzi na Ujasusi wa Kisasa ili Kupambana vyema na Maadui na Kutuambukiza uwezo wao mkubwa wa Akili na jinsi ya Kuzitumia vyema pia hizo Akili kwa mambo ya Msingi ili tuachane na Uswahili Uswahili wetu.

Rais yeyote yule Barani Afrika na anayejitambua kwa 'IQ' Kubwa aliyonayo 'African Genius President' Paul Kagame hatoacha ama kufanya nae Kazi au hata tu kuwa nae karibu ili afaidike nae Kimaendeleo.

Nchi ambayo sikushauri sana uende kwakuwa huko hakuna Faida na 'Utaboreka' tu ni ya Burundi.

Wahutu wengi walioko huko nchini Burundi 'hawakubarikiwa' sana Kichwani (Kiakili) kama ilivyo kwa nchi ya Rwanda yenye 'Watutsi' ambao 'wamebarikiwa' mno Akili hadi zingine hawajui wazipeleke wapi au wamgawie nani.

Rais Samia fanya Ziara Rwanda haraka.
Rubbish, 😃😃🤣🤣🤣 Rwanda nchi au mkoa??? 🤣🤣
 
IQ yako Kama nizaidia ya hiyo figure uliyopropose kwa mtoa mada Basi hiyo ndio ipo overated mkuu. Nchi kama UK, Russia, USA hatufanani kijiografia, kitamaduni, rasilimali, siasa na mambo mengi sana yanayochangia moja kwa moja kukua kwa uchumi. Ukiona jirani yako ana prosperity na mazingira yenu yakiwa na ufanano basi huyo ndio wa kumshika shati...
Akili mgando
kwenye fikra yako China au Japan zingisoma Laos, Phillippinnes, au Bhutan? Na siyo Marekani au Germany? Go to school
 
Mkuu nina mengi ya kusema kuhusu bandiko lako lakini sioni sababu ya kufanya hivyo kwa sababu zifuatazo:

1. Humaanishi unachokisema

2. Huna nia njema na nchi yetu

3. Una roho ya ubaguzi iliyopitiliza

Ushauri: Kwa faida yako soma kitabu kinaitwa ‘Behind the presidential curtain” kimeandikwa na Noble Malala the former PK’s bodyguard.
 
I I salute you,ukweli mtupu na hata JPM mbinu nyingi za kukuza uchumi na misimamo ya ujenzi wa nchi aliitoa Rwanda.
Hao watu wako serious na nchi yao na si huku TZ porojo za kisiasa ili watu wapige hela tu,yani mnazitafuta hela kwa nguvu kwenye Kodi Kisha Wanakuja kuzibwia hovyo wanasiasa BUNGENI na maruzuku ya vyama wakijineemesha wachache.

Upumbavu huu wa siasa they so called Democracy hatutoboi miaka 10000
Hata dikteta mwendazake udikteta alijifunzia rwanda, uchu wake wa madaraka umemfanya aondoke mapema duniani ibilisi yule
 
Duh! Kweli JF imeshuka hadhi! Yaani JF imekuwa kama kokoro, inazoa tu! JF kwa sasa unaweza kudhani ni copy and paste ya bunge la Ndugai kwa hoja za hovyo zinazowasilishwa humo!
Umeitwa kuufungua Uzi huu? Pumbavu.
 
Rwanda wamefikia wapi kiuchumi kama TZ wenyewe tunawazidi?
1620199206691.png
 
HUKO RWANDA HAKUFAI KABISA ATAPATA ELIMU YA UKAUZU USIO NA FAIDA YOYOTE,PIA JAMAA MJANJA SANA KULIKO HATA KENYATTA,KUNAFUNUNU ALIMZIDI KETE YULE,MIELA KIBAO NA HAKUFURUKUTA KILICHOENDELEA WALINUNIANA TU.
#Ni wakati sasa wa kuwa karibu na DRC tuarakishe reli yetu huko kunasoko lenye ukubwa wa ajabu hivyo viji Rwanda Burundi ni upuuzi mtupu na kuyotumia akili kwa asilimia 100.
 
Hata dikteta mwendazake udikteta alijifunzia rwanda, uchu wake wa madaraka umemfanya aondoke mapema duniani ibilisi yule
Alijifunza mengi kwa wakati mmoja.
But kuhusu udikteta Tza ndio chuo cha madikteta.Madikteta wote jirani zetu wamewahi ishi au kusomea tza.
 
HUKO RWANDA HAKUFAI KABISA ATAPATA ELIMU YA UKAUZU USIO NA FAIDA YOYOTE,PIA JAMAA MJANJA SANA KULIKO HATA KENYATTA,KUNAFUNUNU ALIMZIDI KETE YULE,MIELA KIBAO NA HAKUFURUKUTA KILICHOENDELEA WALINUNIANA TU.
#Ni wakati sasa wa kuwa karibu na DRC tuarakishe reli yetu huko kunasoko lenye ukubwa wa ajabu hivyo viji Rwanda Burundi ni upuuzi mtupu na kuyotumia akili kwa asilimia 100.
PAKA ni janja janja sana yule mtu. Kampiga mwendazake T 7 na B kadhaa na uswahiba ukafa hata kuzikana no.
 
Ukienda kwa Museveni Uganda

Faida kubwa huku ni Uimarishwaji tu wa Miradi kadhaa na kuendeleza Historia yetu ya Udugu kwakuwa Rais Museveni kalelewa vyema na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Ukiondoa haya hakuna mapya zaidi.

Ukienda kwa Kenyatta Kenya

Huku utapata sana 'Madili' ya kufanya Biashara na Kukuza Uwekezaji baina ya Mataifa haya Mawili ambayo ni ya Kihistoria zaidi.

Zaidi ya hapo hakuna ya ziada huko.

Ukienda kwa Kagame Rwanda

Huku utapata 'Faida Mjumuisho' kuanzia Mbinu za Kukuza Uchumi, Mikakati ya Kimaendeleo, Uwezo mkubwa wa Teknolojia kwa Maendeleo, Elimu yenye Tija, Ulinzi na Ujasusi wa Kisasa ili Kupambana vyema na Maadui na Kutuambukiza uwezo wao mkubwa wa Akili na jinsi ya Kuzitumia vyema pia hizo Akili kwa mambo ya Msingi ili tuachane na Uswahili Uswahili wetu.

Rais yeyote yule Barani Afrika na anayejitambua kwa 'IQ' Kubwa aliyonayo 'African Genius President' Paul Kagame hatoacha ama kufanya nae Kazi au hata tu kuwa nae karibu ili afaidike nae Kimaendeleo.

Nchi ambayo sikushauri sana uende kwakuwa huko hakuna Faida na 'Utaboreka' tu ni ya Burundi.

Wahutu wengi walioko huko nchini Burundi 'hawakubarikiwa' sana Kichwani (Kiakili) kama ilivyo kwa nchi ya Rwanda yenye 'Watutsi' ambao 'wamebarikiwa' mno Akili hadi zingine hawajui wazipeleke wapi au wamgawie nani.

Rais Samia fanya Ziara Rwanda haraka.
wewe mjita muongo sana
 
Inarlekea
Ukienda kwa Museveni Uganda

Faida kubwa huku ni Uimarishwaji tu wa Miradi kadhaa na kuendeleza Historia yetu ya Udugu kwakuwa Rais Museveni kalelewa vyema na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Ukiondoa haya hakuna mapya zaidi.

Ukienda kwa Kenyatta Kenya

Huku utapata sana 'Madili' ya kufanya Biashara na Kukuza Uwekezaji baina ya Mataifa haya Mawili ambayo ni ya Kihistoria zaidi.

Zaidi ya hapo hakuna ya ziada huko.

Ukienda kwa Kagame Rwanda

Huku utapata 'Faida Mjumuisho' kuanzia Mbinu za Kukuza Uchumi, Mikakati ya Kimaendeleo, Uwezo mkubwa wa Teknolojia kwa Maendeleo, Elimu yenye Tija, Ulinzi na Ujasusi wa Kisasa ili Kupambana vyema na Maadui na Kutuambukiza uwezo wao mkubwa wa Akili na jinsi ya Kuzitumia vyema pia hizo Akili kwa mambo ya Msingi ili tuachane na Uswahili Uswahili wetu.

Rais yeyote yule Barani Afrika na anayejitambua kwa 'IQ' Kubwa aliyonayo 'African Genius President' Paul Kagame hatoacha ama kufanya nae Kazi au hata tu kuwa nae karibu ili afaidike nae Kimaendeleo.

Nchi ambayo sikushauri sana uende kwakuwa huko hakuna Faida na 'Utaboreka' tu ni ya Burundi.

Wahutu wengi walioko huko nchini Burundi 'hawakubarikiwa' sana Kichwani (Kiakili) kama ilivyo kwa nchi ya Rwanda yenye 'Watutsi' ambao 'wamebarikiwa' mno Akili hadi zingine hawajui wazipeleke wapi au wamgawie nani.

Rais Samia fanya Ziara Rwanda haraka.
Inarlekea wewe ni mtutsi
 
Back
Top Bottom