Rais Samia ukifanya ziara nchini Rwanda kwa 'Genius' Kagame utafaidika na mengi kuliko ya Uganda na Kenya

Rais Samia ukifanya ziara nchini Rwanda kwa 'Genius' Kagame utafaidika na mengi kuliko ya Uganda na Kenya

Rwanda wamefikia wapi kiuchumi kama TZ wenyewe tunawazidi?
unaongea kama unapakuliwa vilee...

1 Rwandan franc equals
2.35 Tanzanian Shilling
5 May, 15:06 UTC ·

Uchumi wa Rwanda wakua kwa asilimia 8.9 katika mwaka wa fedha 2017/18​

(GMT+08:00) 2018-11-30 08:58:34
Benki kuu ya Rwanda imesema uchumi wa Rwanda umekua kwa asilimia 8.9 katika mwaka wa fedha 2017/18, ikilinganishwa na asilimia 3.4 ya mwaka uliotangulia.
Akiwasilisha ripoti ya benki kuu kwenye kikao cha bunge mjini Kigali, Gavana wa benki kuu ya Rwanda Bw. John Rwangombwa amesema ukuaji huo wa uchumi unatokana na hali nzuri ya hewa kwa uzalishaji wa kilimo, kufufuka kwa sekta ya ujenzi na kuboreka kwa bei za bidhaa za kimataifa.
Bw. Rwangombwa amesema utendaji mzuri wa uchumi wa dunia pia ulichangia ongezeko la asilimia 57.6 la uuzaji nje wa bidhaa za Rwanda kwa mwaka huu, ikilinganishwa na asilimia 7.1 ya mwaka jana, ukuaji ambao ulipunguza urari mbaya wa Rwanda kwenye biashara za kimataifa kwa asilimia 21.1.

sasa jiulize wewe uchumi wako TZ kwa sasa uko vipi
 
Despot
kwa nini aende Rwanda na asiende UK, Israel, US, RSA au Singapore?
I estimate your IQ under 60
Hiyo ndiyo akili na huko ndiyo kuna brain. Sisi wenyewe tumewafunfisha Rwanda mambo mengi wakati wa BWM kama mifumo ya mapato na Benki
 
Duh kweli ubaguzi bado uko Rwanda...


Genta ninyi watusi Ni wabaguzi Sana...

Mission failed though. Hii ndio tanzania
 
Ukienda kwa Museveni Uganda

Faida kubwa huku ni Uimarishwaji tu wa Miradi kadhaa na kuendeleza Historia yetu ya Udugu kwakuwa Rais Museveni kalelewa vyema na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Ukiondoa haya hakuna mapya zaidi.

Ukienda kwa Kenyatta Kenya

Huku utapata sana 'Madili' ya kufanya Biashara na Kukuza Uwekezaji baina ya Mataifa haya Mawili ambayo ni ya Kihistoria zaidi.

Zaidi ya hapo hakuna ya ziada huko.

Ukienda kwa Kagame Rwanda

Huku utapata 'Faida Mjumuisho' kuanzia Mbinu za Kukuza Uchumi, Mikakati ya Kimaendeleo, Uwezo mkubwa wa Teknolojia kwa Maendeleo, Elimu yenye Tija, Ulinzi na Ujasusi wa Kisasa ili Kupambana vyema na Maadui na Kutuambukiza uwezo wao mkubwa wa Akili na jinsi ya Kuzitumia vyema pia hizo Akili kwa mambo ya Msingi ili tuachane na Uswahili Uswahili wetu.

Rais yeyote yule Barani Afrika na anayejitambua kwa 'IQ' Kubwa aliyonayo 'African Genius President' Paul Kagame hatoacha ama kufanya nae Kazi au hata tu kuwa nae karibu ili afaidike nae Kimaendeleo.

Nchi ambayo sikushauri sana uende kwakuwa huko hakuna Faida na 'Utaboreka' tu ni ya Burundi.

Wahutu wengi walioko huko nchini Burundi 'hawakubarikiwa' sana Kichwani (Kiakili) kama ilivyo kwa nchi ya Rwanda yenye 'Watutsi' ambao 'wamebarikiwa' mno Akili hadi zingine hawajui wazipeleke wapi au wamgawie nani.

Rais Samia fanya Ziara Rwanda haraka.

Invisible & Moderator naomba Tafadhali fanyeni kazi yenu kwa umakini. Kwa maana naona huyu kaandika mada yake vizuri kwa kuanzia. Lkn mwishoni kamalizia kwa ubaguzi wa hali ya juu.
Na moja kati ya masharti ya JF ni kutokuwa na ubaguzi wa aina yoyote. Sasa huyu kamalizia uzi wake kwa kuleta chuki na uhasama. Naomba ushirikiano wenu tafadhali.
 
IQ yako Kama nizaidia ya hiyo figure uliyopropose kwa mtoa mada Basi hiyo ndio ipo overated mkuu. Nchi kama UK, Russia, USA hatufanani kijiografia, kitamaduni, rasilimali, siasa na mambo mengi sana yanayochangia moja kwa moja kukua kwa uchumi. Ukiona jirani yako ana prosperity na mazingira yenu yakiwa na ufanano basi huyo ndio wa kumshika shati...
Ruanda ina-prosperity kwenye nini? uchumi watu Tz ni mkubwa kuliko wa ruanda. you better shut up.
 
Ukienda kwa Museveni Uganda

Faida kubwa huku ni Uimarishwaji tu wa Miradi kadhaa na kuendeleza Historia yetu ya Udugu kwakuwa Rais Museveni kalelewa vyema na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Ukiondoa haya hakuna mapya zaidi.

Ukienda kwa Kenyatta Kenya

Huku utapata sana 'Madili' ya kufanya Biashara na Kukuza Uwekezaji baina ya Mataifa haya Mawili ambayo ni ya Kihistoria zaidi.

Zaidi ya hapo hakuna ya ziada huko.

Ukienda kwa Kagame Rwanda

Huku utapata 'Faida Mjumuisho' kuanzia Mbinu za Kukuza Uchumi, Mikakati ya Kimaendeleo, Uwezo mkubwa wa Teknolojia kwa Maendeleo, Elimu yenye Tija, Ulinzi na Ujasusi wa Kisasa ili Kupambana vyema na Maadui na Kutuambukiza uwezo wao mkubwa wa Akili na jinsi ya Kuzitumia vyema pia hizo Akili kwa mambo ya Msingi ili tuachane na Uswahili Uswahili wetu.

Rais yeyote yule Barani Afrika na anayejitambua kwa 'IQ' Kubwa aliyonayo 'African Genius President' Paul Kagame hatoacha ama kufanya nae Kazi au hata tu kuwa nae karibu ili afaidike nae Kimaendeleo.

Nchi ambayo sikushauri sana uende kwakuwa huko hakuna Faida na 'Utaboreka' tu ni ya Burundi.

Wahutu wengi walioko huko nchini Burundi 'hawakubarikiwa' sana Kichwani (Kiakili) kama ilivyo kwa nchi ya Rwanda yenye 'Watutsi' ambao 'wamebarikiwa' mno Akili hadi zingine hawajui wazipeleke wapi au wamgawie nani.

Rais Samia fanya Ziara Rwanda haraka.
I'm very sorry to read such an idiotic thread, uchumi wetu ni mkubwa kuliko wa hao wanyaruanda. Watusi ni majority both Rwanda na Burundi over 80%. hujui lolote zaidi ya upopoma tu.
 
Ukienda kwa Museveni Uganda

Faida kubwa huku ni Uimarishwaji tu wa Miradi kadhaa na kuendeleza Historia yetu ya Udugu kwakuwa Rais Museveni kalelewa vyema na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Ukiondoa haya hakuna mapya zaidi.

Ukienda kwa Kenyatta Kenya

Huku utapata sana 'Madili' ya kufanya Biashara na Kukuza Uwekezaji baina ya Mataifa haya Mawili ambayo ni ya Kihistoria zaidi.

Zaidi ya hapo hakuna ya ziada huko.

Ukienda kwa Kagame Rwanda

Huku utapata 'Faida Mjumuisho' kuanzia Mbinu za Kukuza Uchumi, Mikakati ya Kimaendeleo, Uwezo mkubwa wa Teknolojia kwa Maendeleo, Elimu yenye Tija, Ulinzi na Ujasusi wa Kisasa ili Kupambana vyema na Maadui na Kutuambukiza uwezo wao mkubwa wa Akili na jinsi ya Kuzitumia vyema pia hizo Akili kwa mambo ya Msingi ili tuachane na Uswahili Uswahili wetu.

Rais yeyote yule Barani Afrika na anayejitambua kwa 'IQ' Kubwa aliyonayo 'African Genius President' Paul Kagame hatoacha ama kufanya nae Kazi au hata tu kuwa nae karibu ili afaidike nae Kimaendeleo.

Nchi ambayo sikushauri sana uende kwakuwa huko hakuna Faida na 'Utaboreka' tu ni ya Burundi.

Wahutu wengi walioko huko nchini Burundi 'hawakubarikiwa' sana Kichwani (Kiakili) kama ilivyo kwa nchi ya Rwanda yenye 'Watutsi' ambao 'wamebarikiwa' mno Akili hadi zingine hawajui wazipeleke wapi au wamgawie nani.

Rais Samia fanya Ziara Rwanda haraka.
Asiende kule atakuwa na akili kama mwendazake
 
Ukienda kwa Museveni Uganda

Faida kubwa huku ni Uimarishwaji tu wa Miradi kadhaa na kuendeleza Historia yetu ya Udugu kwakuwa Rais Museveni kalelewa vyema na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Ukiondoa haya hakuna mapya zaidi.

Ukienda kwa Kenyatta Kenya

Huku utapata sana 'Madili' ya kufanya Biashara na Kukuza Uwekezaji baina ya Mataifa haya Mawili ambayo ni ya Kihistoria zaidi.

Zaidi ya hapo hakuna ya ziada huko.

Ukienda kwa Kagame Rwanda

Huku utapata 'Faida Mjumuisho' kuanzia Mbinu za Kukuza Uchumi, Mikakati ya Kimaendeleo, Uwezo mkubwa wa Teknolojia kwa Maendeleo, Elimu yenye Tija, Ulinzi na Ujasusi wa Kisasa ili Kupambana vyema na Maadui na Kutuambukiza uwezo wao mkubwa wa Akili na jinsi ya Kuzitumia vyema pia hizo Akili kwa mambo ya Msingi ili tuachane na Uswahili Uswahili wetu.

Rais yeyote yule Barani Afrika na anayejitambua kwa 'IQ' Kubwa aliyonayo 'African Genius President' Paul Kagame hatoacha ama kufanya nae Kazi au hata tu kuwa nae karibu ili afaidike nae Kimaendeleo.

Nchi ambayo sikushauri sana uende kwakuwa huko hakuna Faida na 'Utaboreka' tu ni ya Burundi.

Wahutu wengi walioko huko nchini Burundi 'hawakubarikiwa' sana Kichwani (Kiakili) kama ilivyo kwa nchi ya Rwanda yenye 'Watutsi' ambao 'wamebarikiwa' mno Akili hadi zingine hawajui wazipeleke wapi au wamgawie nani.

Rais Samia fanya Ziara Rwanda haraka.
Hivi Uchumi wa Rwanda ni mkubwa kwa kiasi gani?,Rwanda imetoka kwenye kundi la Nchi masikini?,per capita income yao ni ngapi?.
 
Uchumi na watu kuishi kwa uhuru ndiyo jadi yetu sisi watanzania.Tanzania haina cha kujifunza Rwanda.Watanzania sisi tunaishi kindugu tunapendana makabila yote.Moto wa kigeni hatuutaki.
 
Hahahaha Popoma kakimbia Uzi wake
Kwa sasa yuko busy anapitia madaftari yake ya matusi aje akamwage upupu wake humu dhidi ya wenye akili kumzidi...eti taifa letu lina cha kujifunza kutoka Rwanda! Sijui JF imeruhusuje hali kama hii iendelee humu. Subiri tu, bado kidogo muda si mrefu ataingia ushuhudie ninalosema....tik tak...tik tak...tik tak
 
Back
Top Bottom