Rais Samia ukifanya ziara nchini Rwanda kwa 'Genius' Kagame utafaidika na mengi kuliko ya Uganda na Kenya

Kama wahutu kweli ni mbumbumbu au less mentally gifted(kwa mujibu wa maelezo yako yenye chembe chembe za chuki dhidi ya ndugu zenu wahutu na kujiinua kwa Tutsi), wakati huo huo Hutu ndiyo ethnic group yenye population kubwa Rwanda na mmoja wa hao wahutu ni Vice- President. Then SASHA hana haja ya kwenda huko; maana ataishia kujifunza roho mbaya na ubaguzi kama uliouonesha kwenye uzi wako huu.

Lakini pia tukumbuke roho mbaya, ubaguzi, kutokata kukosolewa, kugandamiza demokrasia, kunyanyasa wapinzani , utekaji, mauaji, kujitangazia ushindi wa % kubwa kwenye chaguzi na kupenda kuabudiwa ni tabia ambazo mwenda zake kwa sehemu kubwa alikopi na kupaste kutoka kwa PA-KA.
 
Rubbish, 😃😃🤣🤣🤣 Rwanda nchi au mkoa??? 🤣🤣
 
Akili mgando
kwenye fikra yako China au Japan zingisoma Laos, Phillippinnes, au Bhutan? Na siyo Marekani au Germany? Go to school
 
Mkuu nina mengi ya kusema kuhusu bandiko lako lakini sioni sababu ya kufanya hivyo kwa sababu zifuatazo:

1. Humaanishi unachokisema

2. Huna nia njema na nchi yetu

3. Una roho ya ubaguzi iliyopitiliza

Ushauri: Kwa faida yako soma kitabu kinaitwa ‘Behind the presidential curtain” kimeandikwa na Noble Malala the former PK’s bodyguard.
 
Hata dikteta mwendazake udikteta alijifunzia rwanda, uchu wake wa madaraka umemfanya aondoke mapema duniani ibilisi yule
 
Duh! Kweli JF imeshuka hadhi! Yaani JF imekuwa kama kokoro, inazoa tu! JF kwa sasa unaweza kudhani ni copy and paste ya bunge la Ndugai kwa hoja za hovyo zinazowasilishwa humo!
Umeitwa kuufungua Uzi huu? Pumbavu.
 
HUKO RWANDA HAKUFAI KABISA ATAPATA ELIMU YA UKAUZU USIO NA FAIDA YOYOTE,PIA JAMAA MJANJA SANA KULIKO HATA KENYATTA,KUNAFUNUNU ALIMZIDI KETE YULE,MIELA KIBAO NA HAKUFURUKUTA KILICHOENDELEA WALINUNIANA TU.
#Ni wakati sasa wa kuwa karibu na DRC tuarakishe reli yetu huko kunasoko lenye ukubwa wa ajabu hivyo viji Rwanda Burundi ni upuuzi mtupu na kuyotumia akili kwa asilimia 100.
 
Hata dikteta mwendazake udikteta alijifunzia rwanda, uchu wake wa madaraka umemfanya aondoke mapema duniani ibilisi yule
Alijifunza mengi kwa wakati mmoja.
But kuhusu udikteta Tza ndio chuo cha madikteta.Madikteta wote jirani zetu wamewahi ishi au kusomea tza.
 
PAKA ni janja janja sana yule mtu. Kampiga mwendazake T 7 na B kadhaa na uswahiba ukafa hata kuzikana no.
 
wewe mjita muongo sana
 
Inarlekea Inarlekea wewe ni mtutsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…