Rais Samia ukifanya ziara nchini Rwanda kwa 'Genius' Kagame utafaidika na mengi kuliko ya Uganda na Kenya

PAKA ni janja janja sana yule mtu. Kampiga mwendazake T 7 na B kadhaa na uswahiba ukafa hata kuzikana no.
PAKA sina hamu naye huyu mtu, jamaa alikaa kimya baada ya kipigo udugu na ujirani ukakatika ghafla, HATUWEZI DAI PESA ZETU ENDAPO KAMA KUNA PHISICAL EVIDENCE?
 
Ataenda kama jirani lazima aende......
Akienda kule ( kwa Kagame ) ataambukizwa pia 'IQ' Kubwa ambayo akija nayo huku Tanzania 'atawaambukiza' na Watanzania wengine.
 
PAKA sina hamu naye huyu mtu, jamaa alikaa kimya baada ya kipigo udugu na ujirani ukakatika ghafla, HATUWEZI DAI PESA ZETU ENDAPO KAMA KUNA PHISICAL EVIDENCE?
Wizi hauna evidence, mwendazake alikuwa akitupiga na kumpasia PAKA huku kajifichia kwenye ukali na kufokafoka Ili kucreate distance ya kuhoji nae kapigwa zimepotea.Bora angetununulia hata matrekta au vyuo vya VETA KILA kata.
Unapiga nawe unapigwa.
 
Rwanda wanaweza kuwa na uongozi wenye ubunifu mkubwa lakini eneo lao ni dogo sana kulinganisha na Kenya. Ni kama mkoa wa Tanzania tena Tabora na Morogoro ni zaidi ya hiyo nchi. Hawawezi kuwa na uzoefu wa masuala ya uzalishaji kama Kenya.

Kenya ni taifa kubwa kulinganisha na Rwanda, uhuru walipata zamani na ni wabobezi wa masuala ya uzalishaji.

Kuwa karibu na Kenya kuna faida zinazodumu kwa muda mrefu, Uganda pia ni wa kupewa kipaumbele wakiwa na eneo kubwa na utajiri mwingi wa rasilimali.
 
Wakenya ni wawekezaji wazuri .....Rwanda hakuna la kujifunza....Burundi ndio kabisaaa hakuna kitu labda kidogo Uganda
 
Akienda kwa PK atafundishwa u- freemason na utoaji wa kafara. Kagame hana kitu chochote cha kufaidisha nchi kama tanzania wakati yake imemshinda njaa tupu.
 
Ziara ya kwanza ya JPM alikuwa Rwanda. Siku hiyo hiyo nikaweka mikono Kichwani
 
Yani Tanzania iende Rwanda kujifunza uchumi?
You guy be serious...

Hapa hakuna cha kujadili
 
Unataka akaambukizwe roho yakichawi kama alivyomwambukiza yule?
Roho ya kupenda damu za watanzania
 
Ziara ya kwanza ya JPM alikuwa Rwanda. Siku hiyo hiyo nikaweka mikono Kichwani
Mimi nilihuzunika sana hadi nilitoa machozi na ndio ilikua mwanzo na mwisho kuangalia taarifa ya habari ya Chanel zetu alipewa zawadi ya ng'ombe nikajua lile pazia tuu...yule Kagame atahukumiwa kwa aliyokua anashawishi mabaya yafanyike Tanzania...
 
Mimi nilihuzunika sana hadi nilitoa machozi na ndio ilikua mwanzo na mwisho kuangalia taarifa ya habari ya Chanel zetu alipewa zawadi ya ng'ombe nikajua lile pazia tuu...yule Kagame atahukumiwa kwa aliyokua anashawishi mabaya yafanyike Tanzania...
Kule hana cha kujifunza zaidi ya kutekana tu.
 
mzee biashara pia ni ukubwa wa soko, sio akili tu, kama wao kwa udogo wao na wana akili kubwa basi wajiwekeze zaidi kwenye technologi , yaani wawe creative , inovation'. kama vile The Netherlands in europe ni nchi ndogo lakini inawazidi hao kwa ukubwa kwa kuwa creative kwenye tekinologia , wajerumani wanatengeneza magari lakini vipuri vya magari yao vya kisasa vinatoka uholanzi kama chip industry ni Uholanzi, si kwamba wajerumani wanawauzia magari mengi waholanzi no,Wajerumani wanatengeneza magari mengi , mass industry lakini vipuri muhimu vinatoka uholanzi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…