Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
PAKA sina hamu naye huyu mtu, jamaa alikaa kimya baada ya kipigo udugu na ujirani ukakatika ghafla, HATUWEZI DAI PESA ZETU ENDAPO KAMA KUNA PHISICAL EVIDENCE?PAKA ni janja janja sana yule mtu. Kampiga mwendazake T 7 na B kadhaa na uswahiba ukafa hata kuzikana no.
Ni Mtutsi + Mzanaki + Mmakuwa + MyaoInarlekea
Inarlekea wewe ni mtutsi
Akienda kule ( kwa Kagame ) ataambukizwa pia 'IQ' Kubwa ambayo akija nayo huku Tanzania 'atawaambukiza' na Watanzania wengine.Ataenda kama jirani lazima aende......
Wizi hauna evidence, mwendazake alikuwa akitupiga na kumpasia PAKA huku kajifichia kwenye ukali na kufokafoka Ili kucreate distance ya kuhoji nae kapigwa zimepotea.Bora angetununulia hata matrekta au vyuo vya VETA KILA kata.PAKA sina hamu naye huyu mtu, jamaa alikaa kimya baada ya kipigo udugu na ujirani ukakatika ghafla, HATUWEZI DAI PESA ZETU ENDAPO KAMA KUNA PHISICAL EVIDENCE?
Akienda kwa PK atafundishwa u- freemason na utoaji wa kafara. Kagame hana kitu chochote cha kufaidisha nchi kama tanzania wakati yake imemshinda njaa tupu.Ukienda kwa Museveni Uganda
Faida kubwa huku ni Uimarishwaji tu wa Miradi kadhaa na kuendeleza Historia yetu ya Udugu kwakuwa Rais Museveni kalelewa vyema na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Ukiondoa haya hakuna mapya zaidi.
Ukienda kwa Kenyatta Kenya
Huku utapata sana 'Madili' ya kufanya Biashara na Kukuza Uwekezaji baina ya Mataifa haya Mawili ambayo ni ya Kihistoria zaidi.
Zaidi ya hapo hakuna ya ziada huko.
Ukienda kwa Kagame Rwanda
Huku utapata 'Faida Mjumuisho' kuanzia Mbinu za Kukuza Uchumi, Mikakati ya Kimaendeleo, Uwezo mkubwa wa Teknolojia kwa Maendeleo, Elimu yenye Tija, Ulinzi na Ujasusi wa Kisasa ili Kupambana vyema na Maadui na Kutuambukiza uwezo wao mkubwa wa Akili na jinsi ya Kuzitumia vyema pia hizo Akili kwa mambo ya Msingi ili tuachane na Uswahili Uswahili wetu.
Rais yeyote yule Barani Afrika na anayejitambua kwa 'IQ' Kubwa aliyonayo 'African Genius President' Paul Kagame hatoacha ama kufanya nae Kazi au hata tu kuwa nae karibu ili afaidike nae Kimaendeleo.
Nchi ambayo sikushauri sana uende kwakuwa huko hakuna Faida na 'Utaboreka' tu ni ya Burundi.
Wahutu wengi walioko huko nchini Burundi 'hawakubarikiwa' sana Kichwani (Kiakili) kama ilivyo kwa nchi ya Rwanda yenye 'Watutsi' ambao 'wamebarikiwa' mno Akili hadi zingine hawajui wazipeleke wapi au wamgawie nani.
Rais Samia fanya Ziara Rwanda haraka.
Kul3 ni sawa na porini tu. Sana sana atamwambia arudishe Wasiojulikana. He i just a killer than anything else to get from him.Hakuna la Maana la kujifunza Rwanda
Huko rwanda na burundi takataka.Wakenya ni wawekezaji wazuri .....Rwanda hakuna la kujifunza....Burundi ndio kabisaaa hakuna kitu labda kidogo Uganda
Very correctDespot
kwa nini aende Rwanda na asiende UK, Israel, US, RSA au Singapore?
I estimate your IQ under 60
Ziara ya kwanza ya JPM alikuwa Rwanda. Siku hiyo hiyo nikaweka mikono KichwaniRwanda asiende kabisa alienda jiwe huko ndio akaja na mifumo yake mibovu ya kutawala niliumia sana kusikia Jiwe kaenda Rwanda yaani niliumia kweli na nilichokihisi ndicho kilichotokea hii safari ya Kenya tumeibariki utaona matunda yake muda si mrefu ..
Unataka akaambukizwe roho yakichawi kama alivyomwambukiza yule?Ukienda kwa Museveni Uganda
Faida kubwa huku ni Uimarishwaji tu wa Miradi kadhaa na kuendeleza Historia yetu ya Udugu kwakuwa Rais Museveni kalelewa vyema na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Ukiondoa haya hakuna mapya zaidi.
Ukienda kwa Kenyatta Kenya
Huku utapata sana 'Madili' ya kufanya Biashara na Kukuza Uwekezaji baina ya Mataifa haya Mawili ambayo ni ya Kihistoria zaidi.
Zaidi ya hapo hakuna ya ziada huko.
Ukienda kwa Kagame Rwanda
Huku utapata 'Faida Mjumuisho' kuanzia Mbinu za Kukuza Uchumi, Mikakati ya Kimaendeleo, Uwezo mkubwa wa Teknolojia kwa Maendeleo, Elimu yenye Tija, Ulinzi na Ujasusi wa Kisasa ili Kupambana vyema na Maadui na Kutuambukiza uwezo wao mkubwa wa Akili na jinsi ya Kuzitumia vyema pia hizo Akili kwa mambo ya Msingi ili tuachane na Uswahili Uswahili wetu.
Rais yeyote yule Barani Afrika na anayejitambua kwa 'IQ' Kubwa aliyonayo 'African Genius President' Paul Kagame hatoacha ama kufanya nae Kazi au hata tu kuwa nae karibu ili afaidike nae Kimaendeleo.
Nchi ambayo sikushauri sana uende kwakuwa huko hakuna Faida na 'Utaboreka' tu ni ya Burundi.
Wahutu wengi walioko huko nchini Burundi 'hawakubarikiwa' sana Kichwani (Kiakili) kama ilivyo kwa nchi ya Rwanda yenye 'Watutsi' ambao 'wamebarikiwa' mno Akili hadi zingine hawajui wazipeleke wapi au wamgawie nani.
Rais Samia fanya Ziara Rwanda haraka.
Mimi nilihuzunika sana hadi nilitoa machozi na ndio ilikua mwanzo na mwisho kuangalia taarifa ya habari ya Chanel zetu alipewa zawadi ya ng'ombe nikajua lile pazia tuu...yule Kagame atahukumiwa kwa aliyokua anashawishi mabaya yafanyike Tanzania...Ziara ya kwanza ya JPM alikuwa Rwanda. Siku hiyo hiyo nikaweka mikono Kichwani
Kule hana cha kujifunza zaidi ya kutekana tu.Mimi nilihuzunika sana hadi nilitoa machozi na ndio ilikua mwanzo na mwisho kuangalia taarifa ya habari ya Chanel zetu alipewa zawadi ya ng'ombe nikajua lile pazia tuu...yule Kagame atahukumiwa kwa aliyokua anashawishi mabaya yafanyike Tanzania...
Ni kweli ngoja turudi tuje tulipe Kodi Mama afanikiwe kwenye mipango yake...sio wale wahuni eti una mali za kutosha ila hawataki kuona hela zikipita bank...Kule hana cha kujifunza zaidi ya kutekana tu.
mzee biashara pia ni ukubwa wa soko, sio akili tu, kama wao kwa udogo wao na wana akili kubwa basi wajiwekeze zaidi kwenye technologi , yaani wawe creative , inovation'. kama vile The Netherlands in europe ni nchi ndogo lakini inawazidi hao kwa ukubwa kwa kuwa creative kwenye tekinologia , wajerumani wanatengeneza magari lakini vipuri vya magari yao vya kisasa vinatoka uholanzi kama chip industry ni Uholanzi, si kwamba wajerumani wanawauzia magari mengi waholanzi no,Wajerumani wanatengeneza magari mengi , mass industry lakini vipuri muhimu vinatoka uholanzi,Ukienda kwa Museveni Uganda
Faida kubwa huku ni Uimarishwaji tu wa Miradi kadhaa na kuendeleza Historia yetu ya Udugu kwakuwa Rais Museveni kalelewa vyema na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Ukiondoa haya hakuna mapya zaidi.
Ukienda kwa Kenyatta Kenya
Huku utapata sana 'Madili' ya kufanya Biashara na Kukuza Uwekezaji baina ya Mataifa haya Mawili ambayo ni ya Kihistoria zaidi.
Zaidi ya hapo hakuna ya ziada huko.
Ukienda kwa Kagame Rwanda
Huku utapata 'Faida Mjumuisho' kuanzia Mbinu za Kukuza Uchumi, Mikakati ya Kimaendeleo, Uwezo mkubwa wa Teknolojia kwa Maendeleo, Elimu yenye Tija, Ulinzi na Ujasusi wa Kisasa ili Kupambana vyema na Maadui na Kutuambukiza uwezo wao mkubwa wa Akili na jinsi ya Kuzitumia vyema pia hizo Akili kwa mambo ya Msingi ili tuachane na Uswahili Uswahili wetu.
Rais yeyote yule Barani Afrika na anayejitambua kwa 'IQ' Kubwa aliyonayo 'African Genius President' Paul Kagame hatoacha ama kufanya nae Kazi au hata tu kuwa nae karibu ili afaidike nae Kimaendeleo.
Nchi ambayo sikushauri sana uende kwakuwa huko hakuna Faida na 'Utaboreka' tu ni ya Burundi.
Wahutu wengi walioko huko nchini Burundi 'hawakubarikiwa' sana Kichwani (Kiakili) kama ilivyo kwa nchi ya Rwanda yenye 'Watutsi' ambao 'wamebarikiwa' mno Akili hadi zingine hawajui wazipeleke wapi au wamgawie nani.
Rais Samia fanya Ziara Rwanda haraka.